Serikali imeshindwa kuendesha mashirika ya umma

Alwayz on top

JF-Expert Member
Jun 5, 2012
706
264
Salaam! wana jf serikali ya tanzania imeshndwa kabisa kuendesha mashirika yake mf-shirika la ndege limekufa,shirika la reli ya kati..mimi nipo tazara hapo tazara wafanyakaz tuna mwez wa tatu hatujalipwa mshahara mbaya zaidi serikal ya zambia imetoa dola milion 3 lkn wametoa memo kwamba hela zote walipwe wastaafu wa kizambia huo ni ubaguz wa waz.
 
Huo ni ujali wa WATU wa Zambia wa viongozi wa Zambia. Sie tujipe pole kwa aina ya viongozi na vipaumbele vyetu.
 
kwani walishindwa leo au jana?

Toka wakati wa Nyerere, alipoingia Mwinyi akasema shirika lisiloweza kujiendesha lenyewe, Serikali haitotoa ruzuku.

Hakuna kitu kiitwacho mali ya umma, huo ni msamiati wa mtu ambae sio mchumi.
 
Mkiambiwa hatuna serikali mnajitia kukomaa kuandamana kupinga mtazamo huo. Mashirika uliyoyataja ni baadhi tu hata ofisi za serikali kuu they are bankrupt. Ni vema mmeanza kuelewa
 
miez 3 mfanyakaz hajalipwa hyo nchi au kituko cha kushangaza mawazir wote wakija tazara tukiwaelezea matatzo mwishon wanakua upande wa management...mf-wazir omar nundu tulimpa ushahid wa watu 7 waliofanya ufisad kwenye shirika akawasimamisha kaz cha kushangaza mwakyembe anasema wale warud coz mchakato wa kuwasimamisha haukufuata tartibu..pia Managing director (Akashambatwa lewanika mbikusita) mzambia huyu kachukua behewa karibu 300 kazpeleka congo na hela zote znaenda mfukon kwake...Deputy managing direct
 
kwani walishindwa leo au jana?

Toka wakati wa Nyerere, alipoingia Mwinyi akasema shirika lisiloweza kujiendesha lenyewe, Serikali haitotoa ruzuku.

Hakuna kitu kiitwacho mali ya umma, huo ni msamiati wa mtu ambae sio mchumi.


Kauli ya zomba!
 
kwani walishindwa leo au jana?

Toka wakati wa Nyerere, alipoingia Mwinyi akasema shirika lisiloweza kujiendesha lenyewe, Serikali haitotoa ruzuku.

Hakuna kitu kiitwacho mali ya umma, huo ni msamiati wa mtu ambae sio mchumi.
wewe umesema kweli, nchi iliharibika tangia 1967!njia zote za uchumi ziko mikononi mwa umma!
 
Kauli ya zomba!

When Tanzanians didn't move into the ujamaa villages the way he had hoped, Nyerere began losing patience with voluntary socialism. Nyerere veered toward Mao Zedong's China as a more appropriate model for a developing country. In 1973 he began forcefully relocating villagers, uprooting communities in the middle of the agricultural season and moving them to new locations that didn't always have a supply of water. The harvest suffered. By 1976, Tanzania had gone from being one of Africa's largest exporters of agricultural products to its largest importer.
Source: Heaven on Earth . Leaders and Thinkers: Julius Nyerere | PBS
 
Back
Top Bottom