Serikali imeshindwa kuajiri Walimu?

baba aura

JF-Expert Member
Aug 5, 2023
230
348
Habar Wakuu,ivi serikali yetu husika inashindwaje kuajiri waalimu,yaani pamoja na kupewa taarifa za mapato either kutoka halimashauri

Katika pitapita zangu vijijini huko kwenye kula sikukuu nimekutana na habari ya kuwa Kuna waalimu wa sekondari na shule ya msingi wanalipwa na wazazi na sio kila mwezi

Hawa waalimu wemepachikwa tu kijanja janja ilimradi mkate wa siku waupate sasa sijui kama utendaji wao kazi ni wakiwango gani,

Serikari iajiri waalimu na kuwalipa ns sio wazazi wawalipe walimu
 
Hao huwa ni walimu wa kujitolea, na sio wamepachikwa kijanja, na mara nyingi huwa ni wale wa masomo ambayo shule husika haina mwalimu, hivyo wazazi na walimu wanakubaliana kuajiri wao wenyewe moja kwa moja kuliko kusubiri serikali ilete mwalimu,

Kuhusu kazi hawa walimu wanafanyishwa kazi zaidi ya punda,

Ni utaratibu mzuri, ila tuendelee kuishinikiza serikali itibu tatizo la uhaba wa walimu
 
Habar Wakuu,ivi serikali yetu husika inashindwaje kuajiri waalimu,yaani pamoja na kupewa taarifa za mapato either kutoka halimashauri

Katika pitapita zangu vijijini huko kwenye kula sikukuu nimekutana na habari ya kuwa Kuna waalimu wa sekondari na shule ya msingi wanalipwa na wazazi na sio kila mwezi

Hawa waalimu wemepachikwa tu kijanja janja ilimradi mkate wa siku waupate sasa sijui kama utendaji wao kazi ni wakiwango gani,

Serikari iajiri waalimu na kuwalipa ns sio wazazi wawalipe walimu
Wapo busy kugawana posho Dodoma hayo ya wapiga kura maskini no body cares.
 
Walimu wana hali ngumu, (walimu) na wao wana umuhimu (walimu) watazua kitimutimu (walimu) hadi wizara ya elimu (walimu) x 2
 
Habar Wakuu,ivi serikali yetu husika inashindwaje kuajiri waalimu,yaani pamoja na kupewa taarifa za mapato either kutoka halimashauri

Katika pitapita zangu vijijini huko kwenye kula sikukuu nimekutana na habari ya kuwa Kuna waalimu wa sekondari na shule ya msingi wanalipwa na wazazi na sio kila mwezi

Hawa waalimu wemepachikwa tu kijanja janja ilimradi mkate wa siku waupate sasa sijui kama utendaji wao kazi ni wakiwango gani,

Serikari iajiri waalimu na kuwalipa ns sio wazazi wawalipe walimu
Suala la Ajira ni ishu ya uchumi regardless ya upungufu uliopo.Ajira zitatolewa pale tuu ambapo Uchumi utaruhisu.

Mwaka ujao Serikali inapanga Kuajiri walimu takribani 13,000 kupunguza tatizo.
 
Back
Top Bottom