Serikali imeombwa kuhamasisha ufugaji wa Ngamia hasa kwenye maeneo ambayo yamekuwa na migogoro kati ya wafugaji na wakulima , ili kupunguza migogoro hiyo ikiwemo
Akizungumza na waandishi wa habari leo mfugaji wa wanyama hao Dahir Jama Yussuf mkazi wa kijiji cha Mtakuja kata ya Kia, wilayani Hai mkoani waliomtembelea kijijini hapo, kufahamu namna alivyo weza kuwafuga wanyama hao bila ya kuwepo kwa migogoro kati ya wakulima na wafugaji.
Yusufu,alisema wanyama hao ni rafiki na wakulima kwani wakipita shambani hawali mazo kama walivyo wanyama wengine kama Mbuzi na kondoo
Ngamia ni rafiki wa mazingira kutokana na kwamba wanyama hao hawali mimea ya kupandwa isipokuwa miti ya majani ya asilia na kwamba hawana kwato ambazo zingesababisha aridhi kuchimbika na kusababisho lisema Yusufu.
Ili kuamliza au kupunguza migogo hiyo nashauri watu wafuge mnyama huyo kwa hana ngarama kubwa ya kumtunza na wala hali mazao ya wakulima''alisema
Akizungumzia kuhusu maziwa ya ngamia yametajwa kuwa moja ya chakula muhimu chenye virutubisho vingi vyenye kinga ya magonjwa mbalimbali mwilini yakiwemo magonjwa ya ukimwi , kisukari vidonda vya tumbo, fizi kutoa damu upungufu wa vitamin C,”alisema
Na kwamba ngamia mmoja anauwezo wa kutoa lita ishirini kwa siku moja na maziwa hayp lita moja inauzwa sh,3000,ambapo alisema soko lipo baadhi ya mikoa ikiwamo Arusha ,Dodoma na Daar salaam
Changamoto kwamba baadhi ya watu wanamuamko mdogo kuhusu unywaji wa maziwa hayo hivyo kusababisha soko kuwa dogo la bidhaa hiyo nimeanza kufuga wanya hao toka 1996 na sasa nina ngamia 80
Alisema mbali na kuwa na faida hiyo ya kutoa maziwea yenye virutubingamia ni mnyama anayeweza kutumika kubebea mazao shambani , usafiri wa kubebea wagonjwa au kama usafiri wa kawaida kutoka eneo moja hadi jingine.
Kwa upande wake Mkurungenzi wa Kituo cha utafiti wa Mifugo Kilichopo Westi Kilimanjaro Wilayani Siha,Nguluma Athumani ,alisema maziwa ya Ngamia ni mazuri mbali na Kinywaji na Dawa ya vidonda vya tumbo pia inasaidia kuongezeza nguvu za kiume
“Maziwa ni mlo kamili kwani yamebeba virutubishoi vya aina zote vinavyohitajika katika mwili wa binadamu, kwani unapokunywa maziwa kwa wingi yanafaida ya kuujenga mwili pamoja na kinga ya magonjwa,”alisema Athumani
Mwisho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akizungumza na waandishi wa habari leo mfugaji wa wanyama hao Dahir Jama Yussuf mkazi wa kijiji cha Mtakuja kata ya Kia, wilayani Hai mkoani waliomtembelea kijijini hapo, kufahamu namna alivyo weza kuwafuga wanyama hao bila ya kuwepo kwa migogoro kati ya wakulima na wafugaji.
Yusufu,alisema wanyama hao ni rafiki na wakulima kwani wakipita shambani hawali mazo kama walivyo wanyama wengine kama Mbuzi na kondoo
Ngamia ni rafiki wa mazingira kutokana na kwamba wanyama hao hawali mimea ya kupandwa isipokuwa miti ya majani ya asilia na kwamba hawana kwato ambazo zingesababisha aridhi kuchimbika na kusababisho lisema Yusufu.
Ili kuamliza au kupunguza migogo hiyo nashauri watu wafuge mnyama huyo kwa hana ngarama kubwa ya kumtunza na wala hali mazao ya wakulima''alisema
Akizungumzia kuhusu maziwa ya ngamia yametajwa kuwa moja ya chakula muhimu chenye virutubisho vingi vyenye kinga ya magonjwa mbalimbali mwilini yakiwemo magonjwa ya ukimwi , kisukari vidonda vya tumbo, fizi kutoa damu upungufu wa vitamin C,”alisema
Na kwamba ngamia mmoja anauwezo wa kutoa lita ishirini kwa siku moja na maziwa hayp lita moja inauzwa sh,3000,ambapo alisema soko lipo baadhi ya mikoa ikiwamo Arusha ,Dodoma na Daar salaam
Changamoto kwamba baadhi ya watu wanamuamko mdogo kuhusu unywaji wa maziwa hayo hivyo kusababisha soko kuwa dogo la bidhaa hiyo nimeanza kufuga wanya hao toka 1996 na sasa nina ngamia 80
Alisema mbali na kuwa na faida hiyo ya kutoa maziwea yenye virutubingamia ni mnyama anayeweza kutumika kubebea mazao shambani , usafiri wa kubebea wagonjwa au kama usafiri wa kawaida kutoka eneo moja hadi jingine.
Kwa upande wake Mkurungenzi wa Kituo cha utafiti wa Mifugo Kilichopo Westi Kilimanjaro Wilayani Siha,Nguluma Athumani ,alisema maziwa ya Ngamia ni mazuri mbali na Kinywaji na Dawa ya vidonda vya tumbo pia inasaidia kuongezeza nguvu za kiume
“Maziwa ni mlo kamili kwani yamebeba virutubishoi vya aina zote vinavyohitajika katika mwili wa binadamu, kwani unapokunywa maziwa kwa wingi yanafaida ya kuujenga mwili pamoja na kinga ya magonjwa,”alisema Athumani
Mwisho.
Sent using Jamii Forums mobile app