Mkuu Ng'azagala unaongea mambo ya Msingi sana, na hii inatokana na Ukweli kwamba ubatumia Profession kufanya argument, mimi nimeuilza sana na sijajibiwa narudia tena kuuliza
1: Huo umeme unaoleta Mgogoro ni wa Kv ngapi?
2: Unapita underground au Kuna nguzo?
3: Je Ule umeme unaotoka kidato na Mtera ambao unakuja kuwasha Tv na Redio
zetu dar hauna madhara kwa paa za nyumba unakokatiza?
Mkuu siku zote za sakata hili uko wapi??
- ni 132KV
- ni kwenye nguzo
- unatokea Ubungo tanesco kwenda Victoria kwenye mini-sub station