Fikiria watu na si mtu mmoja pekee. watakaoathirika ni wengi na hii miradi ya kulipuka lipuka bila plan endelevu matokeo yake ndo haya. pia ndo muone uchungu wa pesa za misaada. wahisani wnatoa pesa na amri nyuma yake.
Cha msingi na mbolea ni kutafuta nanmna nyingine ya kupitisha huo msongo. kwa nini wasipitishe kati kati ya tuta la barabara maana wameresevu nafasi kubwa ya kutosha kati kati na ni ardhi ya serikali. mbona wanataka kuwa kama wachaga hii serikali yetu???? hawaridhiki???????????
Mkuu msanii - heshima mbele
mradi si wa kuripukaripuka kama wengi wanavyofikiria, vipimo vyote vilishafanyika chini ya wale wajapani (hata mie nilishiriki mwanzoni kabisa mwa mwaka 2007 katika upimaji ule kutoka tanesco makao makuu mpaka victoria. pale kwa Kakobe hapawezi kuwa na tatizo kwani nyaya zinapita kwenye hifadhi ya barabara na si kwenye eneo lake. yeye (kakobe) hapaswi kutumia eneo la nje ya geti kwani ni eneo la public. eneo lake ni ndani ya geti.
jamani msitetee tu huyu kakobe ana wataalamu gani? kama si muhuni tu
Nilikuwa nakutafuta wewe unayejifanya ulifanya huo mradi.
Source: globalpublisherstz.com
hizi data alizotoa Kakobe hapa ni feki kabisa. mtu hata usiye mtaalamu nenda kasimame kwenye nguzo pale karibu na dispensary ya Edward Michaud (karibu na keepleft /kakobe) na itizame nguzo nyingine pale kwenye junction ya kuingia moli/meeda bar utaona tu kuwa umeme unapita mbali na ukuta wake. hizo nguzo mbili ndiyo zitabeba ule umeme. hapo aliposema unapita overhead kwenye gate 1 ni uongo kabisa.
anawakaanga wale waumini wake bure ili kupitisha agenda zake feki. tunaomba mkuu wa Mkoa aingilie kati awatimue wale wananchi waende wakafanye kazi.
Askofu Mkuu Zakaria Kakobe is powerful, the man has powers from wherever he got them, be devine or devil does not matter what matters he has the powers!
Jana nimemsikia kwenye media akigomea kushiriki kwenye EIA kwa kusema wameshapanga matokeo!/
Askofu Mkuu ana lake jambo, anataka kupractice powers ili kuvuna waumini. Anaiprovoke Tanesco, serikali na jeshi la polisi ili hatua zozote zikichukuliwa dhidi yake, atumie powers zake kuonyesha who is mightier, hivyo kuvuna waumini.
Kuanzia mwaka huu tunahamia kwenye Digital Broadcasting, hivyo hakuna cha interfiarance, TCRA wafuatwe watoe statement, Askofu afunge mdomo, umeme upite!.
Waberoya, EIA, ilihafanywa na matokeo yapo, na Kakobe through his powers ameshayajua na kakataa kwenda kuyapokea.sikusoma hii post naona imeingia wakati naandika.
ebu nijuvye, ina maana EIA kumbe kweli haikufanyika? my God!! nimetoka kumweleza jamaa hapo juu. Kwa hiyo kuna watu walitaka fukia fukia tu??
Huu mradi unaingia kwenye case studies!
kuna ndugu hapo juu amesema FFU, FFU haitawezekana, TANESCO kama walishakosea basi gharama zake ni kubwa kuzilipa, yaani kwa hali ilivyo hata Kakowb akikataa anashinda! wenye fedha watachukua fedha yao
watakachofaya serikali ni kwendanaye hivyo hivyo!!
My company is doing lots of EIA kwenye migodi na power lines. NI LAZIMA sio ombi!!
Waberoya, EIA, ilihafanywa na matokeo yapo, na Kakobe through his powers ameshayajua na kakataa kwenda kuyapokea.
The rest ni practice of powers!.
Nilikuwa nakutafuta wewe unayejifanya ulifanya huo mradi.
Risk assessment mlifanya?
EIA mlifanya?
Public engagement ilikuwa ya aina gani?
je walisaini ??
Kama hamkufanya hayo hapo juu, basi hiyo hela ya Japan inarudi kwao; International standard za kufanya hiyo miradi ni lazima jamii husika iwe engaged na wasaini. Huu ndio utaratibu wa kisasa. Hii inasaidia
1, Miradi yote isiyo salama kwa jamii inakuwa evaluated na kama kuna jambo litatokea wahusika wanatakiwa kuwalipa jamii
2. Kuna miradi -mfano asbestos imeacha makovu na watu wanateseka kwa kansa mpaka leo
3. Kuepeuka hatari ya wajanja wachache kujineemesha, kwa mfano huo umeme unawezekana ukawana unaenda kwenye kiwanda kimoja tu! raia wengine wakaonekana wananufaika kumbe uongo
Faida za ku-engage public
1. Project inarun -smooth, mfano
leo hii mna schedule, fund, timeline, n.k pengine mmeingia mkataba na wataalamu muwalipe kwa kazi ya mwaka mmoja, je hujaona kitendo kilichotokea sasa kimeleta hasara sana?
Mifano mingine Tanzania
Migodi mingi imeanzishwa kwa mtindo kama mnaoutaka kuutumia, leo hii wakazi wa maeneo hayo hawana say, hawana mkataba, tatizo likitokea hakuna wa kumuuliza, watu walifukiwa n.k
All in all, Kilichofanywa na Tanesco was total unprofessional way ya kuendesha miradi kama hiyo
Kakobe utamlaumu, sisi wengine tunaangalia nani alitakiwa kufanya nini hapo kwanza. Mlikosea mnaweza kutafuta wataalamu wa risk analysis wakawapiga lecture.
Na inaonekana kabisa kwa post zako hizi bado huko dunia ya nne! mlichofanya kimepitwa na wakati ningekutolea mifano mingi duniani ujue dunia iko wapi sasa!!
halafu kesho unageuka na kulaumu wawekezaji migodini, kumbe na wewe unafanya the same kwa jina la umeme!
Join Date: Mon Feb 2010
Posts: 1
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
wachangiaji wote za mada hii,wamejaa mawazo mgando, na chuki binafsi juu ya walokole,na wakristo ingekuwa msikiti usingeguswa.
Awali ya yote ningependa kutoa salamu kwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam kwa kuweza kukaa kimya na kuangalia nguvu kazi kubwa ikiwa inapotelea barabarani mbele ya kanisa la Kakobe.
Hivi anawaonea haya au anashindwa kuelewa ya kwamba kuna sheria ya nguvu kazi? Ningelikuwa mimi wote hao wangekuwa keko au segerea kwa uzururaji na uzembe. Wanaacha kufanyakazi jioni wanakuwa ombaomba. Hilo namwachia mkuu wa Mkoa.
Jambo lingine ni hili la huyu mwenye hilo jumba wanapokaa hao wazururaji na wabomoa uchumi wa taifa letu. Hivi huyu anataka kuiweka serikali mfukoni au vipi?
Nashindwa kuelewa mtu wa kawaida namna hii anakataa kukutana na waziri kuhusu kaswala kadogo anataka aonane na Mkulu ili azuie umeme unaohitajika kutumiwa na mamilioni ya wananchi kwa ajili ya uchumi wa taifa letu usipite mbele ya kitega uchumi chake. Nauliza huyu ni nani hata awe na confidence la namna hiyo? Sasa kwa mamalaka ninayojipa mwenyewe namwagiza waziri anayehusika atumie mamlaka aliyo nayo kisheria apitishe umeme hapo chini ya ulinzi wa FFU na gari la washa washa.
Kwanza siamini kama huo mjumba umefuata taratibu zote za mipango miji katika ujenzi kwa sababu naona liko barabarani sana. Pamoja na yote hayo, kwani ni lazima ibada zifanyike barabarani? Kwa nini asiende mbali kama mzee wa upako na hao kondoo zake wakamfuata huko huko? Kama waziri atashindwa kufuata agizo langu nitamwomba mkulu atumie uwezo wake wa kisheria wa kuirudisha ardhi ya eneo hilo mikononi mwa serikali. I think that will be a lesser evel than infringing the right of millions of people to get reliable power.
Mkulu tumempa dhana ya ardhi yote hivyo tunatanguliza ombi letu kama huyo mdogo wako uliyempa mamlaka atashindwa tumia dhamana tuliyokupa kurudisha hiyo ardhi mikononi mwa serikali.
MUNGU IBARIKI TANZANIA NA WALAANI WALE WANAOTEGEA KAZI NA KUSHINDA BARABARANI WAKIZUIA MAENDELEO YA TAIFA. WASAIDIE WAKUMBUKE KUWA MAANDIKO YANASEMA KUWA MAMLAKA ZOTE HUTOKA KWA MUNGU HIVYO WAZIHESHIMU PAMOJA NA MAAMUZI YOA.
mbona wanataka kuwa kama [B said:Wachaga [/B]hii serikali yetu???? hawaridhiki???????????
Mkuu Waberoya heshima mbele. tuliza mzuka, taratibu,
kitu unachopaswa kujua hapa ni kuwa hiyo project inafanyika kwenye ROW (mali ya serikali), na si katika kiwanja cha Kakobe. na project hii ya Umeme si ya kwanza, kuna nyaya ngapi zimejengwa toka Kidatu/mtela/ nk? zimezagaa kila sehemu na ni nchi zima?
hivi unafahamu beacon za kiwanja chake(kanisa) zipo wapi na wapi? na je sheria ya ujenzi (building permit) inasemaje? ajenge kiasi gani ndani ya kiwanja chake?
kama hizi taratibu zingefuatwa hili tatizo halingekuwepo. yeye analipigania eneo la nje ya kiwanja chake ambalo hapaswi kulitumia (pale wanapokaa waumini na penye mabango makubwa ni eneo la barabara).
ndugu askofu si mtu mdogo kama unavyotamka ni mtu mkubwa kuliko hata huyo waziri kwenye ulimwengu wa roho waziri anatakiwa amfate askofu ofisini kwake alafu tuache ushabiki wa kisiasa askofu wanachokitetea au kupinga ni haki kabisa na kinamadhara vinginevyo wasingepinga mabona barabara ilipopitishwa awakupinga na umeme walitaka kupitisha eeneo la udsm waligoma na wakaamua kuvusha fasta kwa askofu
Source: globalpublisherstz.com
hizi data alizotoa Kakobe hapa ni feki kabisa. mtu hata usiye mtaalamu nenda kasimame kwenye nguzo pale karibu na dispensary ya Edward Michaud (karibu na keepleft /kakobe) na itizame nguzo nyingine pale kwenye junction ya kuingia moli/meeda bar utaona tu kuwa umeme unapita mbali na ukuta wake. hizo nguzo mbili ndiyo zitabeba ule umeme. hapo aliposema unapita overhead kwenye gate 1 ni uongo kabisa.
anawakaanga wale waumini wake bure ili kupitisha agenda zake feki. tunaomba mkuu wa Mkoa aingilie kati awatimue wale wananchi waende wakafanye kazi.
ndugu askofu si mtu mdogo kama unavyotamka ni mtu mkubwa kuliko hata huyo waziri kwenye ulimwengu wa roho waziri anatakiwa amfate askofu ofisini kwake alafu tuache ushabiki wa kisiasa askofu wanachokitetea au kupinga ni haki kabisa na kinamadhara vinginevyo wasingepinga mabona barabara ilipopitishwa awakupinga na umeme walitaka kupitisha eeneo la udsm waligoma na wakaamua kuvusha fasta kwa askofu