Maadui wakubwa wa Tanzania ni maradhi, ujinga na umaskini.
Hili la watu kulishwa mchele feki linaondoa vita ya maadui wetu watatu. Kwani kutokana na watu kula mchele huo wa "plastic" adui maradhi tunamkaribisha kwa mikono miwili.
Siku za karibuni kuna video nyingi zimekuwa zinazunguka mitandaoni kuonyesha watu wakidundisha wali kama kitenesi. Na jibu la mwisho kutoka serikalini lilikuwa hata mchele wa kawaida ukiiva sana unadunda.
Lakini je kudunda kule ndio kumeanza leo? Kwani siku zote tulikuwa hatuli wali? Mbona haya hayakuwepo?
Kama kufunga chipsi tu kwenye mfuko wa plastic kuna madhara kiafya vipi kuhusu kula wali wa plastic?
Kama serikali inasema taarifa hizo ni uongo na waliorecord sura zao zinaonekana je sheria ya mtandao iko kwa maswala y siasa tu, kwanini hawa watu wasitumike kupata ushahidi?
"Ni bora simu feki kuliko chakula feki"
Hili la watu kulishwa mchele feki linaondoa vita ya maadui wetu watatu. Kwani kutokana na watu kula mchele huo wa "plastic" adui maradhi tunamkaribisha kwa mikono miwili.
Siku za karibuni kuna video nyingi zimekuwa zinazunguka mitandaoni kuonyesha watu wakidundisha wali kama kitenesi. Na jibu la mwisho kutoka serikalini lilikuwa hata mchele wa kawaida ukiiva sana unadunda.
Lakini je kudunda kule ndio kumeanza leo? Kwani siku zote tulikuwa hatuli wali? Mbona haya hayakuwepo?
Kama kufunga chipsi tu kwenye mfuko wa plastic kuna madhara kiafya vipi kuhusu kula wali wa plastic?
Kama serikali inasema taarifa hizo ni uongo na waliorecord sura zao zinaonekana je sheria ya mtandao iko kwa maswala y siasa tu, kwanini hawa watu wasitumike kupata ushahidi?
"Ni bora simu feki kuliko chakula feki"