Serikali ikikosea (grammatical errors) kwenye barua za kizungu zinazokwenda kwa umma; utaratibu wakuifuta mitandaoni ni upi?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
887
4,131
Endapo ikatokea serikali imetoa barua na kuirusha mkutanoni lakini ikabainika ina tatizo la kiufundi kwamba mwandishi alikosea lugha ni hatua zipi ufuatwa kuiondoa mtandaoni na kuweka barua iliyo sahihi?

Lazima iandikwe barua ya kuifuta? Au ndio zile zinaandikwaga puuzeni ujumbe huu?

Je , ni sahihi kuandika barua ya jumuia za kimataifa bila kuwa address moja kwa moja( yaani barua kwa umma haitakiwi kuwekewa walengwa)? Diplomatic channel zipoje kwenye hoja kama hizi za grammer or thematic error?

Elimu Elimu Elimu
 
Endapo ikatokea serikali imetoa barua na kuirusha mkutanoni lakini ikabainika ina tatizo la kiufundi kwamba mwandishi alikosea lugha ni hatua zipi ufuatwa kuiondoa mtandaoni na kuweka barua iliyo sahihi?

Lazima iandikwe barua ya kuifuta? Au ndio zile zinaandikwaga puuzeni ujumbe huu?

Je , ni sahihi kuandika barua ya jumuia za kimataifa bila kuwa address moja kwa moja( yaani barua kwa umma haitakiwi kuwekewa walengwa)? Diplomatic channel zipoje kwenye hoja kama hizi za grammer or thematic error?

Elimu Elimu Elimu
Serikalini hakuna wataalamu wa lugha ya kiingereza hata kifaransa.Ukisoma utasikitika tu kwanini mtu fulani kapewa cheo kikubwa lakini hatofautishi lugha ya kuongea na ya kimaandishi inatakiwa izingatie vitu gani.
 
Back
Top Bottom