MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,366
- 7,239
Nimesikitika sana kuona mwananchi wa tanzania anajieleza kwenye vyombo vya habari anakunywa uji uliowekwa chumvi. Wito wangu kwa serikali ambayo ndio Baba ijisikiye aibu kidogo na kujifunza kukopa na kuwekeza kwa malengo kama wenzetu siyo unakopa unajenga likitu la kupigia picha mabwana harusi.