Serikali ijaze nafasi zilizoachwa na wafanyakazi waliofukuzwa kutokana na kuwa vyeti feki ili kuongeza uzalishaji

tramadol

JF-Expert Member
Oct 10, 2015
5,383
4,318
Idara na Taasisi nyingi za Serikali kuna nafasi nyingi ziko wazi kufuatia wafanyakazi kufukuzwa kazi kutokana na kuwasilisha vyeti feki wakati wa zoezi la uhakiki watumishi wa umma.

Hali hiyo imesababisha watumishi wengi kuwa overworked hata kama wanalipwa overtime lakini efficient ya kazi inapungua siku hadi siku na mwishowe uzalishaji au utoaji wa huduma utakuwa wa chini sana kwa sababu ya akili kuchoka

Human resources management ni muhimu sana ktk production au hata katika service delivering.
 
Idara na Taasisi nyingi za Serikali kuna nafasi nyingi ziko wazi kufuatia wafanyakazi kufukuzwa kazi kutokana na kuwasilisha vyeti feki wakati wa zoezi la uhakiki watumishi wa umma.

Hali hiyo imesababisha watumishi wengi kuwa overworked hata kama wanalipwa overtime lakini efficient ya kazi inapungua siku hadi siku na mwishowe uzalishaji au utoaji wa huduma utakuwa wa chini sana kwa sababu ya akili kuchoka

Human resources management ni muhimu sana ktk production au hata katika service delivering.
Kazi imekuwa kubwa sana. Kazi za watu watatu zinafanywa na mtu mmoja
 
serikali yetu ni kama baba mlevi, analewa na kujitapa mtaani/bar kwamba ana pesa na anawanunulia watu pombe hovyo ila ndani kwake watoto wanavaa midabwada na kula kwa shida.

hapa kwetu serikali inanunua ndege cash, ila pesa ya kuajili watanzania haina bora wahangaike tu.
 
Idara na Taasisi nyingi za Serikali kuna nafasi nyingi ziko wazi kufuatia wafanyakazi kufukuzwa kazi kutokana na kuwasilisha vyeti feki wakati wa zoezi la uhakiki watumishi wa umma.

Hali hiyo imesababisha watumishi wengi kuwa overworked hata kama wanalipwa overtime lakini efficient ya kazi inapungua siku hadi siku na mwishowe uzalishaji au utoaji wa huduma utakuwa wa chini sana kwa sababu ya akili kuchoka

Human resources management ni muhimu sana ktk production au hata katika service delivering.
Serikali mfilisi hii haina pesa ya kutosha, mapato kwa mwezi yameshuka kutoka trillion 1 hadi bilioni 6 tu, hivyo serikali yetu haiwezi kuhimili mzigo huo
 
Serikali mfilisi hii haina pesa ya kutosha, mapato kwa mwezi yameshuka kutoka trillion 1 hadi bilioni 6 tu, hivyo serikali yetu haiwezi kuhimili mzigo huo
Hiyo ya 600billion ni taarifa rasmi?
 
Kama amejisifu kwa kupunguza bajeti ya mishahara kwa mwezi kutoka 770 bilioni hadi 221 bilioni sioni dalili ya kuajiri watumishi wengine kwa kweli.
Hata hizo wanazotangaza kila uchao ni danganya toto tu....mwenzetu ana tatizo la kuamini ubahili ndo njia ya kusonga mbele kiuchumi
 
serikali yetu ni kama baba mlevi, analewa na kujitapa mtaani/bar kwamba ana pesa na anawanunulia watu pombe hovyo ila ndani kwake watoto wanavaa midabwada na kula kwa shida.

hapa kwetu serikali inanunua ndege cash, ila pesa ya kuajili watanzania haina bora wahangaike tu.
Well said tu, mfano tu lkn mengI yanakwama na bado hayo yanasemwa
 
Back
Top Bottom