Mchosis
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 247
- 66
Sidhani kama jamaa anatishia mtu. Kwani ha bb si watu tunaoishi nao mitaani, au wanatoka sayari gani? Watu wanawafahamu ns ndio maana wanasema. Watu mnatahadharishwa na bado mnaleta masihara na kufanya mioyo kuwa migumu. Ashupazaye shingo..............!!!Hahahahah....wewe Wacha kuwatisha wenzako.