Serikali iingilie kati juu ya Ubakaji unaoendelea Coco Beach jijini Dar!

Nikiwa kama mdada mwenye uchungu na suala la kufanya mapenzi na mtu usietegemea nimeona nililete hili suala hapa.

Kule Coco Beach kuna wakaka huwa wanakodisha maboya ya kuogelea. Ukienda kukodi wanakuambia tukufundishe kuogelea, ukikubali wanakupeleka katikati ya kina cha maji ambapo unakuwa huwezi kukataa jambo lolote maana hujui kuogelea na akikuachia huwezi kumudu hayo mawimbi ya maji, basi hukulazimisha kufanya mapenzi bila hiari yako.

Unafanya naye mapenzi na kama tunavyojua kubakwa ni kitendo cha aibu huwezi kusema kokote zaidi ya kuugulia maumivu moyoni. Mbaya zaidi huwa hawavai mpira wanakufanya kavu kitendo ambacho kupata mimba au UKIMWI ni rahisi. Ni kitendo cha dakika tano lakini kinaweza kikakugharimu maisha yako yoote.

Jumamosi moja jirani yetu aligundua binti yake ana dalili za kuumwa, akampeleka hospitali akagundua ana ugonjwa wa zinaa. Jirani yule aliumia saana akaamua kuniita ili nimsaidie kumhoji binti yule kuwa imekuwaje kapata huo ugonjwa wa zinaa na binti ni mdogo yuko form three tuu shule moja hivi naihifadhi, ndipo akatupa mkasa uliompata kuwa ni vijana wanaokodisha matairi kuwa ndio waliomfanyia unyama huo.

Na mimi nikaona kabla sijaandika humu nikaona ni bora nikashuhudie nikaenda pale nikakodi mpira kijana akanisihi anifundishe ili nijue kuogelea. Tukaanza safari ya kuogelea kufika sehemu penye maji mengi nikaona yule kaka macho yameanza kuwa mekundu, mdudu ushaanza kusimama na ananilazimisha kunipeleka mbaali. Nikaanza kuvutana naye kwamba siwezi kuendelea mbele hapa pametosha. Kwa kuwa hakukuwa mbali saana na watu wako karibu na mimi ninaongea kwa sauti kubwa ndipo akaamua kunirudisha kwa kudai kuwa ni muoga tuu na siwezi kuyazoea maji.

Ombi langu kwa serikali: Kuna haja ya kuwasaidia wadada juu ya kadhia hii maana wengine hawawezi kusema na ni wake za watu wanaishia tuu kunyamaza na maumivu makali.



mhhh LAKINI SIJAELEWA...huko katikati ya maji kwenye kina kirefu anakubakaje sasa...? Mnasimama vipi au kulala vipi au kuinama vipi hadi aweze kuingiza na kutoa...hebu ufafanuzi please... Maana nionavyo maji ni mengi, nyie mnaelea.. sasa inakuwaje..
 
Nikiwa kama mdada mwenye uchungu na suala la kufanya mapenzi na mtu usietegemea nimeona nililete hili suala hapa.

Kule Coco Beach kuna wakaka huwa wanakodisha maboya ya kuogelea. Ukienda kukodi wanakuambia tukufundishe kuogelea, ukikubali wanakupeleka katikati ya kina cha maji ambapo unakuwa huwezi kukataa jambo lolote maana hujui kuogelea na akikuachia huwezi kumudu hayo mawimbi ya maji, basi hukulazimisha kufanya mapenzi bila hiari yako.

Unafanya naye mapenzi na kama tunavyojua kubakwa ni kitendo cha aibu huwezi kusema kokote zaidi ya kuugulia maumivu moyoni. Mbaya zaidi huwa hawavai mpira wanakufanya kavu kitendo ambacho kupata mimba au UKIMWI ni rahisi. Ni kitendo cha dakika tano lakini kinaweza kikakugharimu maisha yako yoote.

Jumamosi moja jirani yetu aligundua binti yake ana dalili za kuumwa, akampeleka hospitali akagundua ana ugonjwa wa zinaa. Jirani yule aliumia saana akaamua kuniita ili nimsaidie kumhoji binti yule kuwa imekuwaje kapata huo ugonjwa wa zinaa na binti ni mdogo yuko form three tuu shule moja hivi naihifadhi, ndipo akatupa mkasa uliompata kuwa ni vijana wanaokodisha matairi kuwa ndio waliomfanyia unyama huo.

Na mimi nikaona kabla sijaandika humu nikaona ni bora nikashuhudie nikaenda pale nikakodi mpira kijana akanisihi anifundishe ili nijue kuogelea. Tukaanza safari ya kuogelea kufika sehemu penye maji mengi nikaona yule kaka macho yameanza kuwa mekundu, mdudu ushaanza kusimama na ananilazimisha kunipeleka mbaali. Nikaanza kuvutana naye kwamba siwezi kuendelea mbele hapa pametosha. Kwa kuwa hakukuwa mbali saana na watu wako karibu na mimi ninaongea kwa sauti kubwa ndipo akaamua kunirudisha kwa kudai kuwa ni muoga tuu na siwezi kuyazoea maji.

Ombi langu kwa serikali: Kuna haja ya kuwasaidia wadada juu ya kadhia hii maana wengine hawawezi kusema na ni wake za watu wanaishia tuu kunyamaza na maumivu makali.
Kwani kuogelea hadi kina kirefu ni lazima? Waache waendelee kubakwa tu hadi watakapoacha ujinga.
 
Nikiwa kama mdada mwenye uchungu na suala la kufanya mapenzi na mtu usietegemea nimeona nililete hili suala hapa.

Kule Coco Beach kuna wakaka huwa wanakodisha maboya ya kuogelea. Ukienda kukodi wanakuambia tukufundishe kuogelea, ukikubali wanakupeleka katikati ya kina cha maji ambapo unakuwa huwezi kukataa jambo lolote maana hujui kuogelea na akikuachia huwezi kumudu hayo mawimbi ya maji, basi hukulazimisha kufanya mapenzi bila hiari yako.

Unafanya naye mapenzi na kama tunavyojua kubakwa ni kitendo cha aibu huwezi kusema kokote zaidi ya kuugulia maumivu moyoni. Mbaya zaidi huwa hawavai mpira wanakufanya kavu kitendo ambacho kupata mimba au UKIMWI ni rahisi. Ni kitendo cha dakika tano lakini kinaweza kikakugharimu maisha yako yoote.

Jumamosi moja jirani yetu aligundua binti yake ana dalili za kuumwa, akampeleka hospitali akagundua ana ugonjwa wa zinaa. Jirani yule aliumia saana akaamua kuniita ili nimsaidie kumhoji binti yule kuwa imekuwaje kapata huo ugonjwa wa zinaa na binti ni mdogo yuko form three tuu shule moja hivi naihifadhi, ndipo akatupa mkasa uliompata kuwa ni vijana wanaokodisha matairi kuwa ndio waliomfanyia unyama huo.

Na mimi nikaona kabla sijaandika humu nikaona ni bora nikashuhudie nikaenda pale nikakodi mpira kijana akanisihi anifundishe ili nijue kuogelea. Tukaanza safari ya kuogelea kufika sehemu penye maji mengi nikaona yule kaka macho yameanza kuwa mekundu, mdudu ushaanza kusimama na ananilazimisha kunipeleka mbaali. Nikaanza kuvutana naye kwamba siwezi kuendelea mbele hapa pametosha. Kwa kuwa hakukuwa mbali saana na watu wako karibu na mimi ninaongea kwa sauti kubwa ndipo akaamua kunirudisha kwa kudai kuwa ni muoga tuu na siwezi kuyazoea maji.

Ombi langu kwa serikali: Kuna haja ya kuwasaidia wadada juu ya kadhia hii maana wengine hawawezi kusema na ni wake za watu wanaishia tuu kunyamaza na maumivu makali.
 
Hivi kuna ulazima wowote wa kwenda huko Coco beach, unadhani ukishalowa maji mwilini kinachofata nini.
NASHAURI SI LAZIMA UFIKE huko
 
Nikiwa kama mdada mwenye uchungu na suala la kufanya mapenzi na mtu usietegemea nimeona nililete hili suala hapa.

Kule Coco Beach kuna wakaka huwa wanakodisha maboya ya kuogelea. Ukienda kukodi wanakuambia tukufundishe kuogelea, ukikubali wanakupeleka katikati ya kina cha maji ambapo unakuwa huwezi kukataa jambo lolote maana hujui kuogelea na akikuachia huwezi kumudu hayo mawimbi ya maji, basi hukulazimisha kufanya mapenzi bila hiari yako.

Unafanya naye mapenzi na kama tunavyojua kubakwa ni kitendo cha aibu huwezi kusema kokote zaidi ya kuugulia maumivu moyoni. Mbaya zaidi huwa hawavai mpira wanakufanya kavu kitendo ambacho kupata mimba au UKIMWI ni rahisi. Ni kitendo cha dakika tano lakini kinaweza kikakugharimu maisha yako yoote.

Jumamosi moja jirani yetu aligundua binti yake ana dalili za kuumwa, akampeleka hospitali akagundua ana ugonjwa wa zinaa. Jirani yule aliumia saana akaamua kuniita ili nimsaidie kumhoji binti yule kuwa imekuwaje kapata huo ugonjwa wa zinaa na binti ni mdogo yuko form three tuu shule moja hivi naihifadhi, ndipo akatupa mkasa uliompata kuwa ni vijana wanaokodisha matairi kuwa ndio waliomfanyia unyama huo.

Na mimi nikaona kabla sijaandika humu nikaona ni bora nikashuhudie nikaenda pale nikakodi mpira kijana akanisihi anifundishe ili nijue kuogelea. Tukaanza safari ya kuogelea kufika sehemu penye maji mengi nikaona yule kaka macho yameanza kuwa mekundu, mdudu ushaanza kusimama na ananilazimisha kunipeleka mbaali. Nikaanza kuvutana naye kwamba siwezi kuendelea mbele hapa pametosha. Kwa kuwa hakukuwa mbali saana na watu wako karibu na mimi ninaongea kwa sauti kubwa ndipo akaamua kunirudisha kwa kudai kuwa ni muoga tuu na siwezi kuyazoea maji.

Ombi langu kwa serikali: Kuna haja ya kuwasaidia wadada juu ya kadhia hii maana wengine hawawezi kusema na ni wake za watu wanaishia tuu kunyamaza na maumivu makali.
Hili bandiko la mwaka gani?
 
Ili vyombo husika viweze kutoa Msaada wa haraka ni vyema yapatikane majina kamili ya hao beach boys wenye tabia chafu maana naamini sio wote ila ni baadhi tu.
 
Siku nyingine ukija coco jitahidi kunicheki ili nikufundishe mie kuogelea maana mie natumiaga "ndomu "
 
Si mnajifanya mnaishi kizungu ninyi??? acha hao wakokotozi wawale inakuaje mtoto wa kike anakwenda beach!! ni kiherehere gani kina mpeleka huko?? hiyo sii asili ya mtanzania hata siku moja. Mtoto wa kike anatakiwa awe chini ya uangalizi mkali wa wazazi na kaka zake usijjifanye unampenda binti yako eti unaenda kumtembeza beach kuna siku atapaona ni pa kawaida atakuwa anakuja mwenyewe na ndipo anapokutana na hayo mashwahiba.
 
Pole sana Dada - bila shaka hao jamaa huwa wanakula hivyo vitu vya kawaida tu; itakuwa mbaya sana kama huwa wanawala mpaka ule mtandao ambao makao makuu yake yako hapo Makumbusho (0713). Anyway - usipende sana vitu vya bure - mara nyingi huwa vina malipo yaliyojificha (hidden costs).
 
Sehemu zote beach wako hivyo ninawajua beach boy wawili waathirika na hiyo ndo michezo yao wanazunguka beach zote dar
Wataambukiza wengi sababu vijana wengi beach boys kule coco beach wanalala hukohuko ufukweni kwenye vile vibanda kazi yao ni kupora watu nyakati za jioni,kukodisha yale maboya bubu na kubaka waogeleaji.Akibakwa mtoto wa kigogo watafuatilia
 
..mnajipeleka wenyewe huko beach Na chupi zenu alafu mkibakwa mnalalamika nini??...kwanza mimaji yenyewe ya huko michafu nashangaa unaezaje kuoga humo...kinyaa mno....sasa angalizo mnalo ..Na mnaona wabakaji wanafunguliwa kwenye vifungo vya maisha na watawala.. Hivi mnafikiri nani atawasikiliza???.....pambaneni Na hali zenu kwenye utawala huu....mkitiwa huko beach mmejipeleka wenyewe na chupi zenu...mtatiwa sana jimboro....
 
Suluhu ni kuacha kwenda kufundishwa kuogelea.

Ninyi wazazi kwa nini muwapeleke/muwaruhusu mabinti zenu beach ya hovyo kama coco?

Mtu wa kwanza kumlaumu na kushikishwa adabu katika kadhia hii ni yule aliyemruhusu binti kwenda coco beach
Nakubaliana na hili mzazi ni lazima awalinde na kuhakikisha watoto wake wanakuwa katika usalama wakati wote swala hili suluhisho linaanza katika jamii zetu.
 
Nakubaliana na hili mzazi ni lazima awalinde na kuhakikisha watoto wake wanakuwa katika usalama wakati wote swala hili suluhisho linaanza katika jamii zetu.
Serikali nayo inawajibika huku kwetu ukara kuna myalo (fukwe) za wanawake na wanaume huko dar mchanganyiko mambo ya hovyo vizuri tutenge fukwe za wanawake huko wakitaka wasaule kama huku kwetu. Kwahili ngoja shonza aje na huko
 
Niombe kutoa Taarifa zenye mfanano na hizo
Kwanza Mimi ni m/kiti wa shina no 4
Ilemela Mtaa Igombe B
Mwaka 29
017 ulikuwa Mwaka mgumu kwangu na kiongozi mwenzangu wa shina Jirani ,Huku kwetu kuliibuka Tatizo la Vijana wenye umri 18_24 kuwa na kikundi cha uharifu wa aina mbalimbali ikiwa ubakaji ukwapuaji wa Simu smart phones wizi wa betery za solary na sola zenyewe ,hatukupendezwa na tabia hiyo tulianza harakati za kuhakikisha ysalama wa Jamii tunazoongoza pia kuwashauri Vijana kuepusha na tabia Hizo hatari niliwasilisha majina Polisi walipoazimia kuniangamiza Mimi na familia yangu nilipata Habari kuwa wangetumia kila njia kuniangamiza nikiwa njiani au nyumbani pia nilipata taarifa kuwa kulikuwa na mkakati wa kunichomea Ndani ya nyumba Usiku na familia yangu ,ili fikia hatua mmoja wao kunifuata kwangu saa 7 Usiku kama kujisalimisha alitaja wenzake wengi na akasema walikuwepo baadhi ya Wazazi walikuwa nyuma ya Mpango wa kuniangamiza kutokana na kuwa niliingilia Shughuli inayolisha familia zao ,Kiongozi wa Mtaa Wetu aliita Baadhi ya Vijana walikiri kuwa ni waharifu sugu na wakaahidi kuachana na uharifu na waliahidi kunilinda Mimi na famulia yangu ili Mradi wasipelekwe Polisi na kila kila mmoja alijieleza kwa maandishi aliosaini,unafuu ulikuwe hadi Sikukuu zote leo Jioni Nimepata taarifa kuwa wazazi wameibua hoja ya kunifanyizia tena eti Vijana wao wanasakamwa na Polisi kutokana na Mimi wakati sijakutana na Polisi kwa mwaka huu baadhi ya Wazazi ni watu ambao pia ni Viongozi hivyo naiarfu Polisi hasa kamanda wa Mkoa Mwanza na OCD Ilemela na wote wapendao Amani na wanachukia Uharifu ikitokea ni mashirika au familia yangu ikadhulika Vijana hao na Wazazi wao Ndio wahusika wakiongozwa na Abel Grevaz ,Lutumbi ni wazazi Vijana Baadhi ni Frank Abel,Mabura na Allan na wenzao
Pia naomba Ushauri je niache Uongozi au mnani shaurije wana jf
Komaa nao tu
 
Back
Top Bottom