Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,427
- 21,118
Hapana!siungi mkono hoja. Wengine ndio starehe yetu sasa wakifungia tutaishije jamani
dah
Hapana!siungi mkono hoja. Wengine ndio starehe yetu sasa wakifungia tutaishije jamani
Jamaa umenichekesha sana.I hate it I use it
Tafuta starehe nyingine.
Starehe zipo nyingi tu!
Tafuta starehe nyingine.
Starehe zipo nyingi tu!
Hata mimi namshangaa,sasa papuchi za bure tukaangalie wapi?Acha roho mbaya mkuu, kila mtu na starehe zake.
Unataka chabo zirudi tena wewe si bureeeSerikali ya Uingereza tayari wameshapitisha sheria ya censorship, wanafungia websites zote za porn.
Hatua hiyo imekuja Mara baada ya tafiti kugundua vijana wenye umri Kati ya miaka 11-18 ndio walioathirika zaidi. Serikali ya Uingereza kwa kujali hatma na muelekeo wa vijana wao tayari washapitisha sheria hiyo.
Nachukua fursa hii kuishauri serikali iingize mswada huu bungeni ili sheria ya censorship ipitishwe. Waathirika wakubwa ni vijana/wanafunzi. Vijana/wanafunzi wakiharibika taifa limeharibika.
Madhara ya porn yapo mengi;
1. Vijana wengi wanaathirika kisaikolojia na wengi wameshaharibika, mtu anayetizama porn sana akili yake hudumaa na hata capacity ya kuelewa/IQ yake hupungua.
2. Punyeto kwa vijana wengi.
3. Upotezaji wa muda.
4. Wenye kuangalia porn sana tafiti zinaonyesha ndoa zao hazidumu.
N.k.
Yapo madhara mengi; kiakili, kitabia, saikolojia na kadhalika.
Shauri yakoSitakiiiiiiih
Serikali ya Uingereza tayari wameshapitisha sheria ya censorship, wanafungia websites zote za porn.
Hatua hiyo imekuja Mara baada ya tafiti kugundua vijana wenye umri Kati ya miaka 11-18 ndio walioathirika zaidi. Serikali ya Uingereza kwa kujali hatma na muelekeo wa vijana wao tayari washapitisha sheria hiyo.
Nachukua fursa hii kuishauri serikali iingize mswada huu bungeni ili sheria ya censorship ipitishwe. Waathirika wakubwa ni vijana/wanafunzi. Vijana/wanafunzi wakiharibika taifa limeharibika.
Madhara ya porn yapo mengi;
1. Vijana wengi wanaathirika kisaikolojia na wengi wameshaharibika, mtu anayetizama porn sana akili yake hudumaa na hata capacity ya kuelewa/IQ yake hupungua.
2. Punyeto kwa vijana wengi.
3. Upotezaji wa muda.
4. Wenye kuangalia porn sana tafiti zinaonyesha ndoa zao hazidumu.
N.k.
Yapo madhara mengi; kiakili, kitabia, saikolojia na kadhalika.
Yah ni kweli ,angalia usijekuta ya mtu wakoSasa hivi kuna kitu cha xvideos hiko mpaka mdada wa mtaa wa pili namuona na video yake...
Tafuta starehe nyingine.
Starehe zipo nyingi tu!
Wanazuia mitandao ya ngono halafu wanaruhusu ushoga na usagaji then unakuja kuwatumia hapa kama reference hivi are we serious kweli watanzania......Serikali ya Uingereza tayari wameshapitisha sheria ya censorship, wanafungia websites zote za porn.
Hatua hiyo imekuja Mara baada ya tafiti kugundua vijana wenye umri Kati ya miaka 11-18 ndio walioathirika zaidi. Serikali ya Uingereza kwa kujali hatma na muelekeo wa vijana wao tayari washapitisha sheria hiyo.
Nachukua fursa hii kuishauri serikali iingize mswada huu bungeni ili sheria ya censorship ipitishwe. Waathirika wakubwa ni vijana/wanafunzi. Vijana/wanafunzi wakiharibika taifa limeharibika.
Madhara ya porn yapo mengi;
1. Vijana wengi wanaathirika kisaikolojia na wengi wameshaharibika, mtu anayetizama porn sana akili yake hudumaa na hata capacity ya kuelewa/IQ yake hupungua.
2. Punyeto kwa vijana wengi.
3. Upotezaji wa muda.
4. Wenye kuangalia porn sana tafiti zinaonyesha ndoa zao hazidumu.
N.k.
Yapo madhara mengi; kiakili, kitabia, saikolojia na kadhalika.