Serikali idhibiti ongezeko la Wachina nchini

Kweli tozi flat ndo hbr ya mjini nani anatumia tv chogo karne hii afu flat hamna fake vtu og bana,hzo inye kwa show off wanajitahid hongera zao,but ukweli na usemwe 3G haina mpnzani 4G tupa kule!!!
 
Baada ya kufa kwa ukomunisti duniani, China inawatupa kwa nguvu wanavijiji wake{proleretariants) barani Africa. Hawa wachina ni wale jamii ya watu waliojulikana kama proleretariants au walala hoi wasio na elimu na uwezo wa kumiliki mali. Wengi wao elimu yao wameishia darasa la nne. Watu hawa hivi sasa ni mzigo mkubwa sana kwa serikali ya China hivi sasa ndio maana inawatupa kijanja katika nchi za Africa.

Zambia wamelalamika nusura ya kuandamana kwa sababu wachina hawa wanafanya kazi za raia wao masikini kama vile kuuza maandazi, korosho na ubwabwa mitaani. Serikali isipowaangalia wachina hawa itakuja kujutia miaka ya 2090 maana watafikia uwezo wa kumiliki ardhi na raia wetu kubakia wapagazi wao.
unajua shughuli wanazofanya Waafrika walioko nchini China? stop xenophobia just do what you do to your best competition is inevitable
 
Back
Top Bottom