Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Prof. Mabula Mchembe amesema idadi ya watu waliopata maambukizi ya Ugonjwa huo kwenye baadhi ya vituo vya matibabu imepungua na wengi wao wanaendelea vizuri
Ametaja idadi ya wagonjwa kwa siku ya leo kwa Mkoa wa Dar na Pwani katika Hospitali ya Amana kuna wagonjwa 12, Kisoka- Mloganzila 6 pamoja na Kituo cha Kibaha chenye wagonjwa 24
View attachment 1451311
Nyumbani kwako wamekufa wangapi ili namba iongezeke!?Watu wanafia majumbani mwao
I will never ever believe these lunatics!
Nyumbani kwako wamekufa wangapi ili namba iongezeke!?
Kaka tuchati tukwani si nimesikia kuna watu wanasema wagonjwa wako nyumbani.
ila hawajalala kitandani kama mnavyoombea,mbwa nyinyi.Mungu ibariki Tanzania.
Wapo waliokua wamejipanga kulitumia hili janga kisiasa lakini wanafeli kadri siku zinavyozidi kwenda.
jana alisherehesha siku ya familia vizuri sana kwa hotuba nzuri. yupo vizuri kwenye ku deliver speech. anapiga sarufi hatari haruki mkato wala nukta.Ummy Mwalimu nimemwelewa sana ktk janga hili. Hakuna waziri aliyekuwa mstari kutuongoza vema ktk mapambano haya Kama Ummy. Hakulala kila wakati nilimwona akisaka wagonjwa au wenye dalili popote kusudi Ugonjwa usienee lkn kupitia hotuba za mabosi itakuwa aligundua kitu cha hatari sana. Itakuwa alihisi anapambana na Corona na team ya watu wanaodhani wanapambana Ugonjwa wa Upele. Katulia kimyaaa anausoma mchezo kwa mbaaali huku akisubiri maagizo tu ya team Upele yatolewe atekeleze
siyo ninazolipwa, ninazolipa.Umemisi zile laki tatu unazolipwa pale inglishi midiam skuli?
Sista anajua na tena hana Ile tabia ya kutajataja watu wanaodhani wanamiliki roho za watanzania. Yani Kuna majitu likipigiwa au likiiba kura linadhani limechaguliwa kuongoza roho za watu halafu lenyewe ndio Limungu lenye mbingu na enzi. Ummy hana hizo na anaheshima sanajana alisherehesha siku ya familia vizuri sana kwa hotuba nzuri. yupo vizuri kwenye ku deliver speech. anapiga sarufi hatari haruki mkato wala nukta.