Serikali ianzishe mamlaka ya udhibiti wa sekta ya afya

kiwiko

JF-Expert Member
Aug 7, 2014
1,308
2,070
Huduma za afya ni mbovu. Watendaji wa sekta hii baadhi ni wazembe na wanatoa lugha chafu kwa wagonjwa.

Tulalamike wapi ?? Ni wakati muafaka serikali ianzishe shirika la kusimamia huduma na kutetea wananchi ili wapate huduma bora kama wanavofanya tcra,sumatra,ewura,ssra na wengine.

Kwanini wananchi wakose watetezi kwenye huduma za afya wakati ndo uhai wao???

Wizara ya afya imeshindwa kabisa ni wakati sasa tuwe na shirika la umma kwa hii kazi maalum.

Nawasilisha.
 
Mkiambiwa Ummy Mwalimu awezi kuja na mbinu za standardization kwenye hiyo sector na hana hizo qualification za kuwa waziri kwenye hiyo wizara kuna mijitu inamsifia.

Sometimes I think you deserve on what services you get kuna mambo mengi sana kwenye sector ya afya yanaepukika without capital investment with only proper management iwapo wizara ingekuwa na watu sahihi.
 
Mnapenda kulalamika huduma mbovu, mkiambiwa mlipie gharama HALISI mtaweza? Umeona wapo unafungua file sh.3000/= then utegemee utapata huduma nzuri!!! Daktari na wauguzi hawajalipwa call allowances miaka 2 kwny district hospitals !!! Tuacha kulalamika hovyo
 
Mnapenda kulalamika huduma mbovu, mkiambiwa mlipie gharama HALISI mtaweza? Umeona wapo unafungua file sh.3000/= then utegemee utapata huduma nzuri!!! Daktari na wauguzi hawajalipwa call allowances miaka 2 kwny district hospitals !!! Tuacha kulalamika hovyo
Kama hulipwi unachotaka(allowance),na haujafungwa kamba una subili nini kuondoka/kuacha kazi nafasi yako ichukuliwe na mtu atayefanya kazi katika mazingira hayo bila kunungunika?
 
Back
Top Bottom