Serikali iache kutisha Watanzania

Jibu la andiko lako lote lipo kwenye mstari huo mmoja uliouandika.

Hadi sasa hakuna ushahidi wowote usiopingika unaosema wazi kwamba: "Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatokana na wananchi"

Kwa hiyo, serikali kama hiyo haiwajibiki kwa wananchi; ila serikali yenyewe ndiyo inayowawajibisha wananchi, kama inavyofanya sasa.

Mambo hapa kwetu yanafanyika kinyumenyume.
Inasikitisha sana
 
Wewe ni mzigo kwelikweli, Kwa hiyo Usipokuwa na kiwanda cha nguo au utaalamu wa kutengeneza nguo unamaanisha hauwezi pia kuchagua nguo nzuri inayofiti mwili wako? Kwa hiyo wewe unajichukulia tu na hauna haki ya kutambua hii inakufaa na hii haikufai Kwa sababu tu huna utalaamu wa kutengeneza nguo Siyo?

Komboka na utoke utumwani
Kuchagua nguo na kuchagua vipimo bora vya kupimia CORONA ni mambo/vitu viwili tofauti.
 
Kimsingi Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania haitokani na Serikali yenyewe bali inatokana na wananchi.

Watanzania ndiyo wenye Serikali na siyo Serikali ndiyo inawamiliki watanzania. Serikali inawajibika kwa Watanzania na watanzania wanawajibika kwa sheria za nchi na baadhi ya yaliyomo kwenye Katiba ya JMT.

Na ndiyo maana wanasiasa wamewekewa kwenye Katiba kuwepo madarakani kwa miaka mitano, watumishi wa Umma wanaruhusiwa kufanya Kazi mwisho miaka sitini na baada ya hapo wanatakiwa kustaafu Kazi.

Lakini hakuna muda wa mwisho wa Mtanzania kuwa Mtanzania.

Kwa hivyo, Maelekezo, maonyo, mazuio, makatazo yoyote yanayotolewa na waliomo serikalini KINYUME cha Katiba na sheria za nchi, bila ya kujali vyeo walivyo navyo, ni BATILI.

Kwa mfano watanzania wanao Uhuru wa kujieleza unaolindwa na Katiba. Mtanzania hazuiwi na Katiba anapotaka kuelezea hisia zake. Na Serikali haina haki ya kulazimisha hisia zake ndiyo ziwe hisia za Watanzania.

Kwa mfano kwa kuwa hakuna kipimo cha kisayansi kuthibitisha wanaokufa kama wanakufa kwa COVID 19 au la, basi wananchi wanaohisi ndugu zao wamekufa kwa COVID 19 wasizuiwe kueleza hisia zao hizo kwamba ndugu zao wamekufa kwa COVID 19.

Kama Serikali inataka Watanzania waache kutumia hisia kwenye kuelezea vifo vya ndugu zao vinavyotokea sasa, basi Serikali itumie vipimo vya kisayansi kupima CORONA.

Maana tangu Mheshimiwa Rais aseme vipimo vilivyokuwa vinatumiwa kupimia CORONA ni FEKI, Serikali haijawahi kusema kama imeagiza vipimo vingine.

Kwa ivo inawezekana na Serikali nayo haina uhakika kama wanaokufa nao wanakufa kwa COVID 19 au la.

Ili wananchi waache kuhisi ndugu zao kama wamekufa kwa CORONA, ni LAZIMA Serikali Sasa ianze kupima wagonjwa wote wanaohisiwa kuwa wamembukizwa COVID 19.

Kinyume cha hapo serikali itakuwa inahisi tu kuwa wanaokufa hawafi kwa COVID 19 haki ambayo wananchi nao pia wanayo ya kusema kuwa ndugu zao wanakufa kwa COVID 19.
Hivi kumbe serikali ndio inayotakiwa kupima wagonjwa eeh!?
 
Kimsingi Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania haitokani na Serikali yenyewe bali inatokana na wananchi.

Watanzania ndiyo wenye Serikali na siyo Serikali ndiyo inawamiliki watanzania. Serikali inawajibika kwa Watanzania na watanzania wanawajibika kwa sheria za nchi na baadhi ya yaliyomo kwenye Katiba ya JMT.

Na ndiyo maana wanasiasa wamewekewa kwenye Katiba kuwepo madarakani kwa miaka mitano, watumishi wa Umma wanaruhusiwa kufanya Kazi mwisho miaka sitini na baada ya hapo wanatakiwa kustaafu Kazi.

Lakini hakuna muda wa mwisho wa Mtanzania kuwa Mtanzania.

Kwa hivyo, Maelekezo, maonyo, mazuio, makatazo yoyote yanayotolewa na waliomo serikalini KINYUME cha Katiba na sheria za nchi, bila ya kujali vyeo walivyo navyo, ni BATILI.

Kwa mfano watanzania wanao Uhuru wa kujieleza unaolindwa na Katiba. Mtanzania hazuiwi na Katiba anapotaka kuelezea hisia zake. Na Serikali haina haki ya kulazimisha hisia zake ndiyo ziwe hisia za Watanzania.

Kwa mfano kwa kuwa hakuna kipimo cha kisayansi kuthibitisha wanaokufa kama wanakufa kwa COVID 19 au la, basi wananchi wanaohisi ndugu zao wamekufa kwa COVID 19 wasizuiwe kueleza hisia zao hizo kwamba ndugu zao wamekufa kwa COVID 19.

Kama Serikali inataka Watanzania waache kutumia hisia kwenye kuelezea vifo vya ndugu zao vinavyotokea sasa, basi Serikali itumie vipimo vya kisayansi kupima CORONA.

Maana tangu Mheshimiwa Rais aseme vipimo vilivyokuwa vinatumiwa kupimia CORONA ni FEKI, Serikali haijawahi kusema kama imeagiza vipimo vingine.

Kwa ivo inawezekana na Serikali nayo haina uhakika kama wanaokufa nao wanakufa kwa COVID 19 au la.

Ili wananchi waache kuhisi ndugu zao kama wamekufa kwa CORONA, ni LAZIMA Serikali Sasa ianze kupima wagonjwa wote wanaohisiwa kuwa wamembukizwa COVID 19.

Kinyume cha hapo serikali itakuwa inahisi tu kuwa wanaokufa hawafi kwa COVID 19 haki ambayo wananchi nao pia wanayo ya kusema kuwa ndugu zao wanakufa kwa COVID 19.
Eti ukisema amekufa kutokana na korona unakamatwa why?
 
Wewe ni mzigo kwelikweli, Kwa hiyo Usipokuwa na kiwanda cha nguo au utaalamu wa kutengeneza nguo unamaanisha hauwezi pia kuchagua nguo nzuri inayofiti mwili wako? Kwa hiyo wewe unajichukulia tu na hauna haki ya kutambua hii inakufaa na hii haikufai Kwa sababu tu huna utalaamu wa kutengeneza nguo Siyo?

Komboka na utoke utumwani
Mfano wako ni irrelevant kwa comment ya Kadhi Mkuu 1 kuna kanuni ya kimaana inayoongoza utoaji au uundaji wa mifano.

“pengine” wewe ndiye mzigo kweli kweli kama ulivyomuita yeye.
 
Hoja umeielewa!!??

Kama wao wanasema waliokufa hawajafa kwa CORONA, jee waliwapima na kujiridhisha Kuwa hawana CORONA kabla ya kufa kwao!!?
Hivi ni kweli unafikilia wanaokufa ni corona? Kwa hiyo sababu za vifo nyingine zote zipo likizo? Unajua ugonjwa wa mtu au marehemu ni za siri? Una uhusiano gani na marehemu hao?
 
Kimsingi Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania haitokani na Serikali yenyewe bali inatokana na wananchi.

Watanzania ndiyo wenye Serikali na siyo Serikali ndiyo inawamiliki watanzania. Serikali inawajibika kwa Watanzania na watanzania wanawajibika kwa sheria za nchi na baadhi ya yaliyomo kwenye Katiba ya JMT.

Na ndiyo maana wanasiasa wamewekewa kwenye Katiba kuwepo madarakani kwa miaka mitano, watumishi wa Umma wanaruhusiwa kufanya Kazi mwisho miaka sitini na baada ya hapo wanatakiwa kustaafu Kazi.

Lakini hakuna muda wa mwisho wa Mtanzania kuwa Mtanzania.

Kwa hivyo, Maelekezo, maonyo, mazuio, makatazo yoyote yanayotolewa na waliomo serikalini KINYUME cha Katiba na sheria za nchi, bila ya kujali vyeo walivyo navyo, ni BATILI.

Kwa mfano watanzania wanao Uhuru wa kujieleza unaolindwa na Katiba. Mtanzania hazuiwi na Katiba anapotaka kuelezea hisia zake. Na Serikali haina haki ya kulazimisha hisia zake ndiyo ziwe hisia za Watanzania.

Kwa mfano kwa kuwa hakuna kipimo cha kisayansi kuthibitisha wanaokufa kama wanakufa kwa COVID 19 au la, basi wananchi wanaohisi ndugu zao wamekufa kwa COVID 19 wasizuiwe kueleza hisia zao hizo kwamba ndugu zao wamekufa kwa COVID 19.

Kama Serikali inataka Watanzania waache kutumia hisia kwenye kuelezea vifo vya ndugu zao vinavyotokea sasa, basi Serikali itumie vipimo vya kisayansi kupima CORONA.

Maana tangu Mheshimiwa Rais aseme vipimo vilivyokuwa vinatumiwa kupimia CORONA ni FEKI, Serikali haijawahi kusema kama imeagiza vipimo vingine.

Kwa ivo inawezekana na Serikali nayo haina uhakika kama wanaokufa nao wanakufa kwa COVID 19 au la.

Ili wananchi waache kuhisi ndugu zao kama wamekufa kwa CORONA, ni LAZIMA Serikali Sasa ianze kupima wagonjwa wote wanaohisiwa kuwa wamembukizwa COVID 19.

Kinyume cha hapo serikali itakuwa inahisi tu kuwa wanaokufa hawafi kwa COVID 19 haki ambayo wananchi nao pia wanayo ya kusema kuwa ndugu zao wanakufa kwa COVID 19.
Kumbe tuna watu wenye akili sijui ilikuwaje tukawa na viongozi sampuli hii
 
Kimsingi Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania haitokani na Serikali yenyewe bali inatokana na wananchi.

Watanzania ndiyo wenye Serikali na siyo Serikali ndiyo inawamiliki watanzania. Serikali inawajibika kwa Watanzania na watanzania wanawajibika kwa sheria za nchi na baadhi ya yaliyomo kwenye Katiba ya JMT.

Na ndiyo maana wanasiasa wamewekewa kwenye Katiba kuwepo madarakani kwa miaka mitano, watumishi wa Umma wanaruhusiwa kufanya Kazi mwisho miaka sitini na baada ya hapo wanatakiwa kustaafu Kazi.

Lakini hakuna muda wa mwisho wa Mtanzania kuwa Mtanzania.

Kwa hivyo, Maelekezo, maonyo, mazuio, makatazo yoyote yanayotolewa na waliomo serikalini KINYUME cha Katiba na sheria za nchi, bila ya kujali vyeo walivyo navyo, ni BATILI.

Kwa mfano watanzania wanao Uhuru wa kujieleza unaolindwa na Katiba. Mtanzania hazuiwi na Katiba anapotaka kuelezea hisia zake. Na Serikali haina haki ya kulazimisha hisia zake ndiyo ziwe hisia za Watanzania.

Kwa mfano kwa kuwa hakuna kipimo cha kisayansi kuthibitisha wanaokufa kama wanakufa kwa COVID 19 au la, basi wananchi wanaohisi ndugu zao wamekufa kwa COVID 19 wasizuiwe kueleza hisia zao hizo kwamba ndugu zao wamekufa kwa COVID 19.

Kama Serikali inataka Watanzania waache kutumia hisia kwenye kuelezea vifo vya ndugu zao vinavyotokea sasa, basi Serikali itumie vipimo vya kisayansi kupima CORONA.

Maana tangu Mheshimiwa Rais aseme vipimo vilivyokuwa vinatumiwa kupimia CORONA ni FEKI, Serikali haijawahi kusema kama imeagiza vipimo vingine.

Kwa ivo inawezekana na Serikali nayo haina uhakika kama wanaokufa nao wanakufa kwa COVID 19 au la.

Ili wananchi waache kuhisi ndugu zao kama wamekufa kwa CORONA, ni LAZIMA Serikali Sasa ianze kupima wagonjwa wote wanaohisiwa kuwa wamembukizwa COVID 19.

Kinyume cha hapo serikali itakuwa inahisi tu kuwa wanaokufa hawafi kwa COVID 19 haki ambayo wananchi nao pia wanayo ya kusema kuwa ndugu zao wanakufa kwa COVID 19.
Kuna kitu unakitafuta kwa lazima kwa mgongo wa hisia na uhuru wa kujieleza-umepotea njia kama unadhani kile ambacho huwa unajidanganya kwamba kwa kuwa unahisia zako unahaki ya kufanya chochote chenye hisia hizo bila kujali athari pana zaidi.

Unapojinasibisha kwamba unahaki ya kupayupa chochote unachohisi basi hebu payupa pia kwamba mzazi waki amekufa kwa ukimwi, homa ya ini, ugonjwa wa wizi, ugonjwa wa migogoro nk ili fahari yako itime.

Hakuna uthibitisho wa kisayansi unaoaminisha kwamba ukitangaza unaumwa UVIKO utaepusha wengine kuugua kama hakuna tahadhari inayochukuliwa na raia mmoja mmoja.

Ni tabia mbaya iliyokithiri kwako wewe kama raia kama unavyojinasibu usishabikie mambo yasiyofaa. Milipoko ya ugonjwa kama UVIKO izingatie taratibu za kutahadharisha na kupambana navyo isitumike kuleta taharuki kwa wengine wenye fadhaa ya moyo na kuchochea kukata tamaa. Hata sayansi inakiri kwamba penye ugumu wa jambo lolote huishia na dokezo la nadharia ya kwamba inawezekana kwa kutumia nguvu ya ziada iliyojuu ya kibinadamu 'Super power'. Mimi kama sehemu ya biandamu waliopo hapa duniani na niliyefunzwa uwezo wa sayansi kutawala mfumo wa maisha ya viumbe hai naunga mkono kuhusiana na hili kama ilivyoainishwa na Marilyn Adamson kwenye makala yake. Nanukuu
".......

1. The complexity of our planet points to a deliberate Designer who not only created our universe, but sustains it today.​

Many examples showing God's design could be given, possibly with no end. But here are a few:

The Earth...its size is perfect. The Earth's size and corresponding gravity holds a thin layer of mostly nitrogen and oxygen gases, only extending about 50 miles above the Earth's surface. If Earth were smaller, an atmosphere would be impossible, like the planet Mercury. If Earth were larger, its atmosphere would contain free hydrogen, like Jupiter.3 Earth is the only known planet equipped with an atmosphere of the right mixture of gases to sustain plant, animal and human life.

Photo showing the earth's relative size and perfect distance to the sun as evidence of God's existence in creating the universe.
The Earth is located the right distance from the Sun. Picture a typical front door of a house. If the Sun were at the top of the door frame, the Earth would be like a small coin sitting on the bottom door frame.4

Consider the temperature swings we encounter, roughly -30 degrees to +120 degrees. If the Earth were any further away from the sun, we would all freeze. Any closer and we would burn up. Even a fractional variance in the Earth's position to the sun would make life on Earth impossible.

The Earth remains this perfect distance from the sun while it rotates around the sun at a speed of nearly 67,000 mph. It is also rotating on its axis, allowing the entire surface of the Earth to be properly warmed and cooled every day.

And our Moon is the perfect size and distance from the Earth for its gravitational pull. The Moon creates important ocean tides and movement so ocean waters do not stagnate, and yet our massive oceans are restrained from spilling over across the continents.5

Water...colorless, odorless and without taste, and yet no living thing can survive without it. Plants, animals and human beings consist mostly of water (about two-thirds of the human body is water). You'll see why the characteristics of water are uniquely suited to life:

It has wide margin between its boiling point and freezing point. Water allows us to live in an environment of fluctuating temperature changes, while keeping our bodies a steady 98.6 degrees.

Photo from underwater in a lake or ocean to illustrate one more property of water that God designed, that water freezes from the top down, allowing fish to live in the winter.
Water is a universal solvent allowing various chemicals, minerals and nutrients to easily dissolve and be carried throughout our bodies and into the smallest blood vessels.6

Water is also chemically neutral. Without affecting the makeup of the substances it carries, water enables food, medicines and minerals to be absorbed and used by the body.

Water has a unique surface tension. Water in plants can therefore flow upward against gravity, bringing life-giving water and nutrients to the top of even the tallest trees.

Water freezes from the top down and floats, so fish can live in the winter.

Photo of rain falling on plants, showing the process of evaporation and water distribution on our planet critical to life, another evidence that God exists.
Ninety-seven percent of the Earth's water is in the oceans. But on our Earth, there is a system which removes salt from the water and then distributes that water throughout the globe. Evaporation takes the ocean waters, leaving the salt, and forms clouds which are easily moved by the wind to disperse water over the land, for vegetation, animals and people. It is a system of purification and supply that sustains life on this planet, a system of recycled and reused water.7

The human brain...simultaneously processes an amazing amount of information. Your brain takes in all the colors and objects you see, the temperature around you, the pressure of your feet against the floor, the sounds around you, the dryness of your mouth, the texture of your mobile device. Your brain holds and processes all your emotions, thoughts and memories. At the same time your brain keeps track of the ongoing functions of your body like your breathing pattern, eyelid movement, hunger and movement of the muscles in your hands.

Photo of a woman thinking, to illustrate the human brain's ability to process a million messages a second, an amazing ability that answers the question, 'Is There a God?'
The human brain processes more than a million messages a second.8 Your brain weighs the importance of all this data, filtering out the relatively unimportant. This screening function is what allows you to focus and operate effectively in your world. The brain functions differently than other organs. There is an intelligence to it, the ability to reason, to produce feelings, to dream and plan, to take action, and relate to other people.

The eye...can distinguish among seven million colors. It has automatic focusing and handles an astounding 1.5 million messages -- simultaneously.9 Evolution focuses on mutations and changes from and within existing organisms. Yet evolution alone does not fully explain the initial source of the eye or the brain -- the start of living organisms from nonliving matter.

2. Is God real? The universe had a start - what caused it?​

Scientists are convinced that our universe began with one enormous explosion of energy and light, which we now call the Big Bang. This was the singular start to everything that exists: the beginning of the universe, the start of space, and even the initial start of time itself.

Photo shows an explosion of light to illustrate the start of the universe, compatible to when God said, 'Let there be light.'
Astrophysicist Robert Jastrow, a self-described agnostic, stated, "The seed of everything that has happened in the Universe was planted in that first instant; every star, every planet and every living creature in the Universe came into being as a result of events that were set in motion in the moment of the cosmic explosion...The Universe flashed into being, and we cannot find out what caused that to happen."10

Steven Weinberg, a Nobel laureate in Physics, said at the moment of this explosion, "the universe was about a hundred thousands million degrees Centigrade...and the universe was filled with light."11

The universe has not always existed. It had a start...what caused that? Scientists have no explanation for the sudden explosion of light and matter.

3. Evidence for God: The universe operates by uniform laws of nature. Why does it?​

Much of life may seem uncertain, but look at what we can count on day after day: gravity remains consistent, a hot cup of coffee left on a counter will cool, the earth rotates in the same 24 hours, and the speed of light doesn't change -- on earth or in galaxies far from us.

All of the sciences--molecular biology, chemistry, physics, astronomy, etc.--hinge on the consistent laws of nature.

Dr. Emily Baldwin commented, "One of the most important numbers in physics, the proton-electron mass ratio, is the same in a galaxy six billion light years away as it is here on Earth…"12

Photo of mathematical equations on a blackboard to illustrate the mathematical nature of our laws of nature, another evidence that God exists.
How is it that we can identify laws of nature that never change? Why is the universe so orderly, so reliable?

"The greatest scientists have been struck by how strange this is. There is no logical necessity for a universe that obeys rules, let alone one that abides by the rules of mathematics. This astonishment springs from the recognition that the universe doesn't have to behave this way. It is easy to imagine a universe in which conditions change unpredictably from instant to instant, or even a universe in which things pop in and out of existence."13

Physicist Paul C. Davies, comments, "…to be a scientist, you had to have faith that the universe is governed by dependable, immutable, absolute, universal, mathematical laws…”14

All of our ability to discover, solve problems, create is made possible by the orderly laws of the universe that never change and can be measured with precision.

Richard Feynman, a Nobel Prize winner for quantum electrodynamics, said, "Why nature is mathematical is a mystery...The fact that there are rules at all is a kind of miracle."15

4. A Divine Programmer: The DNA code informs, programs a cell's behavior.​

Photo shows a wall of computer binary code of zeros and ones to illustrate that the 3 billion DNA molecules that God created in every human cell is much like a computer program.
All instruction, all teaching, all training comes with intent. Someone who writes an instruction manual does so with purpose. Did you know that in every cell of our bodies there exists a very detailed instruction code, much like a miniature computer program?

As you may know, a computer program is made up of ones and zeros, like this: 110010101011000. The way they are arranged tell the computer program what to do. The DNA code in each of our cells is very similar. It's made up of four chemical units, called nucleotide bases, that scientists abbreviate as A, T, G, and C. These are arranged in the human cell like this: CGTGTGACTCGCTCCTGAT and so on. There are three billion pairs of these letters in every human cell.15b

Well, just like you can program your phone to sound for specific reasons, DNA instructs the cell. DNA is a complex, arranged program telling the cell to act in a certain way. It is a full instruction manual.16

Proof God exists - Photo of closeup DNA letters of CGTA with a magnifying loop, to illustrate the ordered 3 billion chemicals of DNA within each human cell.
Why is this so amazing? One has to ask....how did this information program wind up in each human cell? These are not just chemicals. These are chemicals that instruct, that code in a very detailed way exactly how the person's body should function.

Natural, biological causes are completely lacking as an explanation when programmed information is involved. You cannot find instruction, precise information like this, without someone intentionally constructing it.

5. We know God exists because he pursues us. He is constantly initiating and seeking for us to come to him.​

I was an atheist at one time. And like many atheists, the issue of people believing in God bothered me greatly. What is it about atheists that we would spend so much time, attention, and energy refuting something that we don't believe even exists?! What causes us to do that?

When I was an atheist, I attributed my intentions as caring for those poor, delusional people...to help them realize their hope was completely ill-founded. To be honest, I also had another motive. As I challenged those who believed in God, I was deeply curious to see if they could convince me otherwise. Part of my quest was to become free from the question of God. If I could conclusively prove to believers that they were wrong, then the issue is off the table, and I would be free to go about my life.

Photo of sunset on an ocean short to illustrate the warmth of God's love toward us.
I didn't realize that the reason the topic of God weighed so heavily on my mind, was because God was pressing the issue. I have come to find out that God wants to be known. He created us with the intention that we would know him. He has surrounded us with evidence of himself and he keeps the question of his existence squarely before us.

It was as if I couldn't escape thinking about the possibility of God. In fact, the day I chose to acknowledge God's existence, my prayer began with, "Ok, you win..." It might be that the underlying reason atheists are bothered by people believing in God is because God is actively pursuing them.

I am not the only one who has experienced this. Malcolm Muggeridge, socialist and philosophical author, wrote, "I had a notion that somehow, besides questing, I was being pursued." C.S. Lewis said he remembered, "...night after night, feeling whenever my mind lifted even for a second from my work, the steady, unrelenting approach of Him whom I so earnestly desired not to meet. I gave in, and admitted that God was God, and knelt and prayed: perhaps, that night, the most dejected and reluctant convert in all of England."

Lewis went on to write a book titled, "Surprised by Joy" as a result of knowing God. I too had no expectations other than rightfully admitting God's existence. Yet over the following several months, I became amazed by his love for me.

6. Unlike any other revelation of God, Jesus Christ is the clearest, most specific proof of God revealing himself to us.​

Why Jesus? Look throughout the major world religions and you'll find that Buddha, Muhammad, Confucius and Moses all identified themselves as teachers or prophets. None of them ever claimed to be equal to God. Surprisingly, Jesus did. That is what sets Jesus apart from all the others. He said God exists and you're looking at him.

Though he talked about his Father in heaven, it was not from the position of separation, but of very close union, unique to all humankind. Jesus said that anyone who had seen Him had seen the Father, anyone who believed in him, believed in the Father.

Photo of a man reading the Bible to illustrate that God has revealed his existence to us in the Bible.
He said, "I am the light of the world, he who follows me will not walk in darkness, but will have the light of life."17 He claimed attributes belonging only to God: to be able to forgive people of their sin, free them from habits of sin, give people a more abundant life and give them eternal life in heaven.

Unlike other teachers who focused people on their words, Jesus pointed people to himself. He did not say, "follow my words and you will find truth." He said, "I am the way, the truth, and the life, no one comes to the Father but through me."18



What proof did Jesus give for claiming to be divine?​

He did what people can't do. Jesus performed miracles. He healed people...blind, crippled, deaf, even raised a couple of people from the dead. He had power over objects...created food out of thin air, enough to feed crowds of several thousand people.


He performed miracles over nature...walked on top of a lake, commanding a raging storm to stop for some friends. People everywhere followed Jesus, because he constantly met their needs, doing the miraculous. He said if you do not want to believe what I'm telling you, you should at least believe in me based on the miracles you're seeing.19

Jesus Christ showed God to be gentle, loving, aware of our self-centeredness and shortcomings, yet deeply wanting a relationship with us. Jesus revealed that although he views us as sinners, worthy of his punishment, his love for us ruled and he came up with a different plan.

God himself took on the form of man and accepted the punishment for our sin on our behalf. Sounds ludicrous? Perhaps, but many loving fathers would gladly trade places with their child in a cancer ward if they could. The Bible says that the reason we would love God is because he first loved us.

Jesus died in our place so we could be forgiven. Of all the religions known to humanity, only through Jesus will you see God reaching toward humanity, providing a way for us to have a relationship with him. Jesus proves a divine heart of love, meeting our needs, drawing us to himself.

Because of Jesus' death and resurrection, he offers us a new life today. We can be forgiven, fully accepted by God and genuinely loved by God. He says, "I have loved you with an everlasting love, therefore I have continued my faithfulness to you."20 This is God, in action.

Photo of a woman, drinking a cup of coffee and reading the Bible, in order to know the God who exists on a personal level.
Does God exist? If you want to know, investigate Jesus Christ. We're told that "God so loved the world that he gave his only Son, that whoever believes in him should not perish but have eternal life."21

God does not force us to believe in him, though he could. Instead, he has provided sufficient proof of his existence for us to willingly respond to him. The earth's perfect distance from the sun, the unique properties of water, the human brain, DNA, the number of people who attest to knowing God, the gnawing in our hearts and minds to determine if God is there, the willingness for God to be known through Jesus Christ. If you need to know more about Jesus and reasons to believe in him, please see: Beyond Blind Faith.

Personal Evidence for God: If you want to begin a relationship with God now, you can.​

This is your decision, no coercion here. But if you want to be forgiven by God and come into a relationship with him, you can do so right now by asking him to forgive you and come into your life. Jesus said, "Behold, I stand at the door [of your heart] and knock. He who hears my voice and opens the door, I will come into him [or her]."22

If you want to do this, but aren't sure how to put it into words, this may help: "Jesus, thank you for dying for my sins. You know my life and that I need to be forgiven. I ask you to forgive me right now and come into my life. I want to know you in a real way. Come into my life now. Thank you that you wanted a relationship with me. Amen."

God views your relationship with him as permanent. Referring to all those who believe in him, Jesus Christ said of us, "I know them, and they follow me; and I give them eternal life, and they shall never perish, and no one shall snatch them out of my hand."23

Looking at all these facts, one can conclude that a loving God does exist and can be known in an intimate, personal way.
......... "
 
Kimsingi Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania haitokani na Serikali yenyewe bali inatokana na wananchi.

Watanzania ndiyo wenye Serikali na siyo Serikali ndiyo inawamiliki watanzania. Serikali inawajibika kwa Watanzania na watanzania wanawajibika kwa sheria za nchi na baadhi ya yaliyomo kwenye Katiba ya JMT.

Na ndiyo maana wanasiasa wamewekewa kwenye Katiba kuwepo madarakani kwa miaka mitano, watumishi wa Umma wanaruhusiwa kufanya Kazi mwisho miaka sitini na baada ya hapo wanatakiwa kustaafu Kazi.

Lakini hakuna muda wa mwisho wa Mtanzania kuwa Mtanzania.

Kwa hivyo, Maelekezo, maonyo, mazuio, makatazo yoyote yanayotolewa na waliomo serikalini KINYUME cha Katiba na sheria za nchi, bila ya kujali vyeo walivyo navyo, ni BATILI.

Kwa mfano watanzania wanao Uhuru wa kujieleza unaolindwa na Katiba. Mtanzania hazuiwi na Katiba anapotaka kuelezea hisia zake. Na Serikali haina haki ya kulazimisha hisia zake ndiyo ziwe hisia za Watanzania.

Kwa mfano kwa kuwa hakuna kipimo cha kisayansi kuthibitisha wanaokufa kama wanakufa kwa COVID 19 au la, basi wananchi wanaohisi ndugu zao wamekufa kwa COVID 19 wasizuiwe kueleza hisia zao hizo kwamba ndugu zao wamekufa kwa COVID 19.

Kama Serikali inataka Watanzania waache kutumia hisia kwenye kuelezea vifo vya ndugu zao vinavyotokea sasa, basi Serikali itumie vipimo vya kisayansi kupima CORONA.

Maana tangu Mheshimiwa Rais aseme vipimo vilivyokuwa vinatumiwa kupimia CORONA ni FEKI, Serikali haijawahi kusema kama imeagiza vipimo vingine.

Kwa ivo inawezekana na Serikali nayo haina uhakika kama wanaokufa nao wanakufa kwa COVID 19 au la.

Ili wananchi waache kuhisi ndugu zao kama wamekufa kwa CORONA, ni LAZIMA Serikali Sasa ianze kupima wagonjwa wote wanaohisiwa kuwa wamembukizwa COVID 19.

Kinyume cha hapo serikali itakuwa inahisi tu kuwa wanaokufa hawafi kwa COVID 19 haki ambayo wananchi nao pia wanayo ya kusema kuwa ndugu zao wanakufa kwa COVID 19.
Umesema kweli kabisa

Amandla...
 
Hoja umeielewa!!??

Kama wao wanasema waliokufa hawajafa kwa CORONA, jee waliwapima na kujiridhisha Kuwa hawana CORONA kabla ya kufa kwao!!?
Anakuuliza swali la ajabu sana hilo.

Hii ndiyo inayoonyesha watu wanakuja humu kufanya ubishi bila ya kuwa na ufahamu hata kidogo, juu ya hayo wanayoyabishia.

Mtu anauliza:
"Hivi kumbe ni serikali inayotakiwa kupima"?

Hajui kabisa kwamba serikali inao wajibu wa kuweka kumbukumbu kuhusu mambo haya, kama vile inavyotakiwa kuwa na kumbukumbu za watoto kuzaliwa na mambo mengine muhimu.
 
Kama mtu kafa kwa kushindwa kupumua, huwezi kusema kafa kwa korona kama hujafanya isolation ya huyo virus, ndo maana wanatoa symptomatic diagnosis (labored breathing). Kuna utafiti bado unaendelea kuhusu huyo covid na chanzo chake, namna anavyoingia kwa binadamu na kusababisha madhara, nyenzo (proteins) zinazomsaidia kujishikiza (attachment), kuingia (entry) na kuzaliana (replication) na mambo mengine kibao..coronavirus yupo kwa mifugo miaka mingi sana lakini huwa hawaonyeshi dalili zozote au wanakuwa na dalili kidogo tu...maswali ya kujiuliza ni kwa nini coronavirus wamepata uwezo wa kuambukiza binadamu kutokea kwa mifugo na baadaye kuwa na uwezo wa kuambukiza toka binadamu mmoja hadi mwingine, hapa ndo wasiwasi ulipo huenda huyo covid katengenezwa maabara...
 
Kimsingi Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania haitokani na Serikali yenyewe bali inatokana na wananchi.

Watanzania ndiyo wenye Serikali na siyo Serikali ndiyo inawamiliki watanzania. Serikali inawajibika kwa Watanzania na watanzania wanawajibika kwa sheria za nchi na baadhi ya yaliyomo kwenye Katiba ya JMT.

Na ndiyo maana wanasiasa wamewekewa kwenye Katiba kuwepo madarakani kwa miaka mitano, watumishi wa Umma wanaruhusiwa kufanya Kazi mwisho miaka sitini na baada ya hapo wanatakiwa kustaafu Kazi.

Lakini hakuna muda wa mwisho wa Mtanzania kuwa Mtanzania.

Kwa hivyo, Maelekezo, maonyo, mazuio, makatazo yoyote yanayotolewa na waliomo serikalini KINYUME cha Katiba na sheria za nchi, bila ya kujali vyeo walivyo navyo, ni BATILI.

Kwa mfano watanzania wanao Uhuru wa kujieleza unaolindwa na Katiba. Mtanzania hazuiwi na Katiba anapotaka kuelezea hisia zake. Na Serikali haina haki ya kulazimisha hisia zake ndiyo ziwe hisia za Watanzania.

Kwa mfano kwa kuwa hakuna kipimo cha kisayansi kuthibitisha wanaokufa kama wanakufa kwa COVID 19 au la, basi wananchi wanaohisi ndugu zao wamekufa kwa COVID 19 wasizuiwe kueleza hisia zao hizo kwamba ndugu zao wamekufa kwa COVID 19.

Kama Serikali inataka Watanzania waache kutumia hisia kwenye kuelezea vifo vya ndugu zao vinavyotokea sasa, basi Serikali itumie vipimo vya kisayansi kupima CORONA.

Maana tangu Mheshimiwa Rais aseme vipimo vilivyokuwa vinatumiwa kupimia CORONA ni FEKI, Serikali haijawahi kusema kama imeagiza vipimo vingine.

Kwa ivo inawezekana na Serikali nayo haina uhakika kama wanaokufa nao wanakufa kwa COVID 19 au la.

Ili wananchi waache kuhisi ndugu zao kama wamekufa kwa CORONA, ni LAZIMA Serikali Sasa ianze kupima wagonjwa wote wanaohisiwa kuwa wamembukizwa COVID 19.

Kinyume cha hapo serikali itakuwa inahisi tu kuwa wanaokufa hawafi kwa COVID 19 haki ambayo wananchi nao pia wanayo ya kusema kuwa ndugu zao wanakufa kwa COVID 19.

Umewaza na kuandika ki - profesheno kabisa. Na ni ukweli halisi huu...

Very good. Kongole ndugu Allen Kiliwella....
 
Kama mtu kafa kwa kushindwa kupumua, huwezi kusema kafa kwa korona kama hujafanya isolation ya huyo virus, ndo maana wanatoa symptomatic diagnosis (labored breathing). Kuna utafiti bado unaendelea kuhusu huyo covid na chanzo chake, namna anavyoingia kwa binadamu na kusababisha madhara, nyenzo (proteins) zinazomsaidia kujishikiza (attachment), kuingia (entry) na kuzaliana (replication) na mambo mengine kibao..coronavirus yupo kwa mifugo miaka mingi sana lakini huwa hawaonyeshi dalili zozote au wanakuwa na dalili kidogo tu...maswali ya kujiuliza ni kwa nini coronavirus wamepata uwezo wa kuambukiza binadamu kutokea kwa mifugo na baadaye kuwa na uwezo wa kuambukiza toka binadamu mmoja hadi mwingine, hapa ndo wasiwasi ulipo huenda huyo covid katengenezwa maabara...

Umeandika vizuri sana. Lakini hii siyo hoja ya mleta mada...

Ujumbe uliomo ktk andiko hili ni;

".....viongozi wa serikali waache kutisha wananchi, iache kila mwananchi kuwa na uhuru wa kutoa mawazo/hisia zake juu ya jambo lolote hata hili linalohusu Corona....."

Serikali ikitaka kuzuia hisia hizi kutoka kwa watu, basi yenyewe serikali iache mara moja kusema lolote kuhusu vifo vya Corona kwa hisia badala ya kutumia njia za kisayansi...

Kama serikali yenyewe inatoa matamko kuhusu ugonjwa wa corona kwa hisia za kubahatisha tu, unategemea wananchi wasemeje...?

Kwa hiyo unaweza kuona kuwa, ujumbe wa mada hii tunayojadili hauhusu chanzo cha mdudu korona, ya kwamba, alitokea na kwenda wapi na ikawaje baadaye...
 
Back
Top Bottom