"Serikali hii ya Awamu ya Sita" Kunani kila Kiongozi ukumbushia?

voicer

JF-Expert Member
Jul 13, 2020
5,553
11,885
Ilianza kidogo kidogo baada ya uchaguzi.
Lakini sasa imekuwa kero,kila kiongozi wa serikali hii hawezi kuishia kutaja majukumu tekelezi ya Serikali bila kurudia maneno

"Serikali hii ya awamu ya Sita"

Kuna lengo gani au faida gani kwao?

Je, wakiishia kuitaja serikali bila kurudia kusema ni awamu ya ngapi majukumu hayatatekelezeka?

Au wanadhani wananchi ni wafinyu wa kumbukumbu?

Kwanini Serikali inaishi kwa kufanya kampeni ya kuibeba CCM,wakati vyama vingine vikiambiwa uchaguzi ulikwishaisha?

Lakini pia kwa nini CCM hii inaishi kwa kupigana na kivuli cha JPM?

Kwa kweli mapambio yamezidi hadi imekuwa Kero kwa wananchi walio wengi nchini.

Kauli kama
"haijawahi kutokea tangu Uhuru"

Zinawafedhehesha kuanzia Bungeni mpaka mitaani.

Ni kama vile CCM na watendaji wake huko serikalini hawana uhakika na 2025,kwamba kuna hofu imetanda ya kupigwa chini na wananchi?

Au ni hofu ipi iliyo mioyoni mwao ambayo inaelekea kuwatesa muda wote?

Au ni mpango mahsusi wa walamba Asali kupigana na kivuli cha jpm huku wakijitahidi kuifuta Legacy yake?
 
Awamu iliyopo ni Ya tano tu, kwa kuwa ilani inayotekelezwa haikuwahi kubadilishwa.

Kama ingekuwa Kuna uchaguzi mwingine Ulifanyika kuinadi ilani tofauti Kuingiza uongozi huu hapo neno Awamu ya 6 ni Sahihi.
 
Ilianza kidogo kidogo baada ya uchaguzi.
Lakini sasa imekuwa kero,kila kiongozi wa serikali hii hawezi kuishia kutaja majukumu tekelezi ya serikali bila kurudia maneno

"Serikali hii ya awamu ya Sita"

Kuna lengo gani au faida gani kwao?

Je! wakiishia kuitaja serikali bila kurudia kusema ni awamu ya ngapi majukumu hayatatekelezeka?

Au wanadhani wananchi ni wafinyu wa kumbukumbu?

Kwa nini Serikali inaishi kwa kufanya kampeni ya kuibeba CCM,wakati vyama vingine vikiambiwa uchaguzi ulikwishaisha?

Lakini pia kwa nini CCM hii inaishi kwa kupigana na kivuli cha JPM?

Kwa kweli mapambio yamezidi hadi imekuwa Kero kwa wananchi walio wengi nchini.

Kauli kama
"haijawahi kutokea tangu Uhuru"

Zinawafedhehesha kuanzia Bungeni mpaka mitaani.

Ni kama vile CCM na watendaji wake huko serikalini hawana uhakika na 2025,kwamba kuna hofu imetanda ya kupigwa chini na wananchi?

Au ni hofu ipi iliyo mioyoni mwao ambayo inaelekea kuwatesa muda wote?

Au ni mpango mahsusi wa walamba Asali kupigana na kivuli cha jpm huku wakijitahidi kuifuta Legacy yake?
Wewe unawashwa na nini wakikumbushia? Kama inakukera kajambe ulale..
 
Awamu iliyopo ni Ya tano tu, kwa kuwa ilani inayotekelezwa haikuwahi kubadilishwa.

Kama ingekuwa Kuna uchaguzi mwingine Ulifanyika kuinadi ilani tofauti Kuingiza uongozi huu hapo neno Awamu ya 6 ni Sahihi.
Kweli hii kitu inafikirisha sana!
Kwanza hakuna uchaguzi uliorudiwa.
Rais wa sasa ndiye huyo aliekuwa Makamu wa Rais.

Makamu wa Rais ametokea Uwaziri wa fedha awamu ya tano.

Waziri mkuu ni Yuleyule wa awamu ya Tano.

Ilani ya uchaguzi inayotumiwa ni ile ile iliyotembezwa na kunadiwa kwenye uchaguzi wa awamu ya Tano.

Hivi hii awamu ya sita imezaliwa vipi?
 
Wewe unawashwa na nini wakikumbushia? Kama inakukera kajambe ulale..
Mimi Jambawazi kama wewe!

Mimi sio muwashwa kama wewe!

Unapaswa kuheshimu wenzio!

Na sio lazima ukomenti kila uzi humu!

Vinginevyo nitakuita malaya wa mitandaoni.

Halafu wewe inakuudhi nini mimi kuhoji?

Au mmojawapo wa hao wanaorudiarudia ni Baba watoto wako?

Jaribu kuutumia ubongo wako vizuri huku Social Platforms.

Sio chumbani kwako na ndio maana ya Social.
 
Mimi Jambawazi kama wewe!

Mimi sio muwashwa kama wewe!

Unapaswa kuheshimu wenzio!

Na sio lazima ukomenti kila uzi humu!

Vinginevyo nitakuita malaya wa mitandaoni.

Halafu wewe inakuudhi nini mimi kuhoji?

Au mmojawapo wa hao wanaorudiarudia ni Baba watoto wako?

Jaribu kuutumia ubongo wako vizuri huku Social Platforms.

Sio chumbani kwako na ndio maana ya Social.
Hakuna unachohoji zaidi ya rubbish
 
Ilianza kidogo kidogo baada ya uchaguzi.
Lakini sasa imekuwa kero,kila kiongozi wa serikali hii hawezi kuishia kutaja majukumu tekelezi ya serikali bila kurudia maneno

"Serikali hii ya awamu ya Sita"

Kuna lengo gani au faida gani kwao?

Je! wakiishia kuitaja serikali bila kurudia kusema ni awamu ya ngapi majukumu hayatatekelezeka?

Au wanadhani wananchi ni wafinyu wa kumbukumbu?

Kwa nini Serikali inaishi kwa kufanya kampeni ya kuibeba CCM,wakati vyama vingine vikiambiwa uchaguzi ulikwishaisha?

Lakini pia kwa nini CCM hii inaishi kwa kupigana na kivuli cha JPM?

Kwa kweli mapambio yamezidi hadi imekuwa Kero kwa wananchi walio wengi nchini.

Kauli kama
"haijawahi kutokea tangu Uhuru"

Zinawafedhehesha kuanzia Bungeni mpaka mitaani.

Ni kama vile CCM na watendaji wake huko serikalini hawana uhakika na 2025,kwamba kuna hofu imetanda ya kupigwa chini na wananchi?

Au ni hofu ipi iliyo mioyoni mwao ambayo inaelekea kuwatesa muda wote?

Au ni mpango mahsusi wa walamba Asali kupigana na kivuli cha jpm huku wakijitahidi kuifuta Legacy yake?
Watanzania wa ccm uchawa umewazidia.
Wataitaja serikali ya awamu iliyopo. Hawataishia hapo. Kwa kila kitu watamtaja Rais hata kama wakipiga chafya!
 
Ilianza kidogo kidogo baada ya uchaguzi.
Lakini sasa imekuwa kero,kila kiongozi wa serikali hii hawezi kuishia kutaja majukumu tekelezi ya serikali bila kurudia maneno

"Serikali hii ya awamu ya Sita"

Kuna lengo gani au faida gani kwao?

Je! wakiishia kuitaja serikali bila kurudia kusema ni awamu ya ngapi majukumu hayatatekelezeka?

Au wanadhani wananchi ni wafinyu wa kumbukumbu?

Kwa nini Serikali inaishi kwa kufanya kampeni ya kuibeba CCM,wakati vyama vingine vikiambiwa uchaguzi ulikwishaisha?

Lakini pia kwa nini CCM hii inaishi kwa kupigana na kivuli cha JPM?

Kwa kweli mapambio yamezidi hadi imekuwa Kero kwa wananchi walio wengi nchini.

Kauli kama
"haijawahi kutokea tangu Uhuru"

Zinawafedhehesha kuanzia Bungeni mpaka mitaani.

Ni kama vile CCM na watendaji wake huko serikalini hawana uhakika na 2025,kwamba kuna hofu imetanda ya kupigwa chini na wananchi?

Au ni hofu ipi iliyo mioyoni mwao ambayo inaelekea kuwatesa muda wote?

Au ni mpango mahsusi wa walamba Asali kupigana na kivuli cha jpm huku wakijitahidi kuifuta Legacy yake?
Ni kawaida tu hata kiongozi mkuu wa malaika alikua anaponda awamu zilizopita na haswa iliyomkabidhi kijiti
 
Mkuu

Propaganda ya neno AWAMU YA SITA.

Inawezesha mtajwa uhalali wa kugombea 2025 Ili atawale KWA vipindi viwili.


Wakitaja awamu ya tano itazuia asigombee 2025 na huu utakuwa muhula wa Mwisho kwake!!!

Kuna watu walimshauri hii kitu Ili agombee 2025!!

Pole pole alitumwa kusemea hilo wakamshushua japo alisema UKWELI!!!


TUSUBIRI!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom