THE NEXT DON
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 307
- 302
W
Wala kutafuta haki?utumishi wa umma ni wito, sio kutafuta utajiri
Wala kutafuta haki?utumishi wa umma ni wito, sio kutafuta utajiri
Awamu ya 5 inabidi ije kushitakiwa hapo baadae kwa kutoongeza Mshahara kwa wafanyakazi wake,watakuja kudai fidia na sirikali kuja kulipa.Serikali ya awamu ya tano,kama ilivyo kwa serikali zote za CCM zilizotangulia,imeendeleza tabia ya kutolipa watu haki zake huku awamu hii ya tano ikija na maajabu ya kutotoa nyongeza ya mishahara ya kila mwaka kwa watumishi wa umma nyongeza ambayo ipo kisheria na ambayo haitolewi kwa mapenzi ya Raisi au serikali anayoiongoza bali hutolewa kwa mujibu wa sheria.
Kwakuwa nyongeza hii iko kisheria,basi ni swala la muda tu kabla ya watumishi kupitia vyama vyao vya wafanyakazi(visivyoongozwa na makada), kuja kufungua kesi mahakamani na kudai nyongeza hiyo ambayo itakuwa ni kwa mabilioni kwani katika miaka yote minne ya utawala huu, nyongeza hii imetolewa mara moja na kama sikose ni katika mwaka wa fedha uliiopita(2018/2019) ila miaka mingine yote ukiwemo mwaka huu wa wa fedha wa 2019/2020 hakuna kilichoongezwa hivyo ni wazi deni litakuwa kubwa tu.
Kama nyongeza hiyo ilitolewa kwa miaka yote niliyoitaja ukiwemo na mwaka huu wa fedha wa 2019/2020,basi niko tayari kukoselewa.
Tundu Lissu alikuwa sahihi sana kusema tuwe na sheria inayoruhusu kukamata mali za serikali kwani hii ndio njia pekee ya kulazimisha hizi serikali zilipe madeni yake.
Wao(wanasiasa) wanajilipa vizuri tena kwa wakati ila kulipa haki za watu wengine wanaona tabu(ubinafsi)!!
Hilo ni takwa la kisheriaMkiongezwa mishahara hizi kesi zilizoachwa na nyerere tutatoa wapi pesa ya fidia? Tusipojenga vitega uchumi hiyo mishahara itatoka wapi? Jpm sio mganga wa jadi kuwa anapiga ramli pesa inapatikana,
Kuna ukweli mchungu ambao upo kwenye suala hili.Kesi zitakuwa nyingi sana msione watu wamepoa sababu wanajua hawawezi pata haki yao sasa, kuna waliobomolewa Nyumba zao, bambikiwa kesi za uhujumu uchumi, kubomolewa Kwa bilicana,Shamba, waliotaifishiwa Mashamba Mali zao,kesi zitakuwa nyingi sana wakati huo uchumi utakuwa huko shimoni kabisa deni La taifa likifikia tilioni zaidi ya 90 yaani mufilisi kabisa,waliokatishwa mikataba yao nao wakikaba koo,miradi yote ikiwa hata nusu haijakamilika hata ikikamilika hakuna cha kurudisha mapema faida sababu ya uchumi kufa mzunguko wa pesa Hakuna. Tuendako si Salama sana na Kesi za kuishtaki serikali iliyopita zikiwa nyingi sana ndani na nje,sababu ya maamuzi ya kukurupuka yasiyofata sheria toka Kwa watendaji.
Unata watekwe?Kwa nini visifungue sasa hivi? Au vinasubiri seriklai ya CCM itoke madarakani? Haitoki madarakani sasa!!!!
Tundu Lissu akirudi salama atadai stahiki za matibabu yake kama mbunge na tutamlipa kwa riba
Afadhali wangekosa maarifa wangepewa.Sasa wamezaliwa "mazuzu by nature" hata wapigwe viboko vya shingoni hawaelewi kituWanajikaanga kwa mafuta yao wenyewe kutokana na kukosa maarifa!!
Wazo kuu la kijinga la siku ya leo!!!wakiona maisha magum si waache kazi kuna vijana kibao hawana kazi wapo street tu
Ni kweli kabisa unayosema na ndio maana tutatumia mabilioni ya shilingi kuwaita watendaji wa kata Magogoni ili tu chama chetu kiendelee ku-survive.Balimar, wakati ukidai nyongeza kumbuka kuna mama yuko leba hana vifaa vyakujifungulia, kuna ambulensi haina mafuta, kuna mtoto hana dawati, kuna mkulima hana pembejeo, kwanza kudai nyongeza ni umasikini, ulishasikia mtumishi wa japan au marekani akidai nyongeza?
Ukiona kiumbe kinasema;wakiona maisha magum si waache kazi kuna vijana kibao hawana kazi wapo street tu
Nyerere hakuwahi kutamani makabila makubwa kuitawala Tanzania, ni ubishi wetu tu, lakini pia kuna makabila hayajawahi kumiliki akiliKesi zitakuwa nyingi sana msione watu wamepoa sababu wanajua hawawezi pata haki yao sasa, kuna waliobomolewa Nyumba zao, bambikiwa kesi za uhujumu uchumi, kubomolewa Kwa bilicana,Shamba, waliotaifishiwa Mashamba Mali zao,kesi zitakuwa nyingi sana wakati huo uchumi utakuwa huko shimoni kabisa deni La taifa likifikia tilioni zaidi ya 90 yaani mufilisi kabisa,waliokatishwa mikataba yao nao wakikaba koo,miradi yote ikiwa hata nusu haijakamilika hata ikikamilika hakuna cha kurudisha mapema faida sababu ya uchumi kufa mzunguko wa pesa Hakuna. Tuendako si Salama sana na Kesi za kuishtaki serikali iliyopita zikiwa nyingi sana ndani na nje,sababu ya maamuzi ya kukurupuka yasiyofata sheria toka Kwa watendaji.
Nyerere hakuwahi kutamani makabila makubwa kuitawala Tanzania, ni ubishi wetu tu, lakini pia kuna makabila hayajawahi kumiliki akili