Kiranja wa jamii
JF-Expert Member
- Jan 2, 2023
- 230
- 547
Nchi zetu za kiafrika uzalendo uko chini sana na hasa hasa kwetu Tanzania
Nieleweke neno uzalendo hapa namaanisha ile hali ya mtu kuwa commited kutekeleza majukumu yake kikamilifu kutoka ndani ya moyo wake pasipo kulazimishwa au kushurutishwa na wakubwa wa kazi
Watumishi wengi hasa sekta ya afya hii commitiment hawana kabisa kabisa kabisa hasa hasa hawa vijana wadogo ambao tulitegemea wawe chachu kazini kwasababu ya morali na ari ya kutaka kujiimarisha zaidi kwenye field zao
Kwanini nahusianisha na Bima ya Afya kwa wote?
Kumekuwa hakuna mwongozo sahihi wa gharama za matibabu na kumbuka mgonjwa hana namna ya kuhoji gharama atakayotajiwa
Baadhi ya vituo vya afya (zingatia neno "Baadhi") hasa vya serikali unaanza kuhudumiwa kwa kuangaliwa usoni! Kama mwonekano wako sio wa hela hela utakufa wakati wahudumu wanacheza na simu zao na vicheko juu
Hakuna anayejali kuhusu afya yako kama hauna hela. Ukiandikiwa gharama zilizojuu ya uwezo wako hakuna atakayekusikiliza zaidi ya kukupa maneno ya dhihaka
Endapo mfumo wa Bima ya Afya kwa wote ukiwekwa vizuri hiki kichaka cha kutohudumia watu kwasababu ya kukosa hela hakitakuwepo hivyo vitabaki vichaka vichache ambavyo ni rahisi kuwadhibiti hawa watoa huduma za afya
Mgonjwa akirudishwa nyumbani bila kuhudumiwa au akifia hospitali kwa kukosa huduma sababu ya ukosefu wa hela, mtoa huduma anayo room ya kujitetea kuhusu sheria inayomtaka mgonjwa kulipia matibabu
Nieleweke neno uzalendo hapa namaanisha ile hali ya mtu kuwa commited kutekeleza majukumu yake kikamilifu kutoka ndani ya moyo wake pasipo kulazimishwa au kushurutishwa na wakubwa wa kazi
Watumishi wengi hasa sekta ya afya hii commitiment hawana kabisa kabisa kabisa hasa hasa hawa vijana wadogo ambao tulitegemea wawe chachu kazini kwasababu ya morali na ari ya kutaka kujiimarisha zaidi kwenye field zao
Kwanini nahusianisha na Bima ya Afya kwa wote?
Kumekuwa hakuna mwongozo sahihi wa gharama za matibabu na kumbuka mgonjwa hana namna ya kuhoji gharama atakayotajiwa
Baadhi ya vituo vya afya (zingatia neno "Baadhi") hasa vya serikali unaanza kuhudumiwa kwa kuangaliwa usoni! Kama mwonekano wako sio wa hela hela utakufa wakati wahudumu wanacheza na simu zao na vicheko juu
Hakuna anayejali kuhusu afya yako kama hauna hela. Ukiandikiwa gharama zilizojuu ya uwezo wako hakuna atakayekusikiliza zaidi ya kukupa maneno ya dhihaka
Endapo mfumo wa Bima ya Afya kwa wote ukiwekwa vizuri hiki kichaka cha kutohudumia watu kwasababu ya kukosa hela hakitakuwepo hivyo vitabaki vichaka vichache ambavyo ni rahisi kuwadhibiti hawa watoa huduma za afya
Mgonjwa akirudishwa nyumbani bila kuhudumiwa au akifia hospitali kwa kukosa huduma sababu ya ukosefu wa hela, mtoa huduma anayo room ya kujitetea kuhusu sheria inayomtaka mgonjwa kulipia matibabu