Inawezekana yanayosemwa ni kweli kuhusu serikali kukosa hela. Kila dalili zipo, kwa mfano Wakuu wa mikoa na wilaya bado kuteuliwa, Nafasi za kazi zilizotangazwa miezi kama 6 iliyopita bado kuitwa kwa usaili (interview)
http://www.dsm.go.tz/kurasa/habari_nyingine/T_Kazi.pdf
utumishi.go.tz
http://www.dsm.go.tz/kurasa/habari_nyingine/T_Kazi.pdf
utumishi.go.tz