Serikali haimuoni Chief Godlove ?

Serikali haimuoni Chief Godlove ?

Wapo vijana maskini wa akili ambao wataona Mimi Nina wivu ama chuki dhidi ya huyu jamaa anae jiita Chief Godlove.

Huyu jamaa kimsingi ni tapeli ambae amekuwa akiwatapeli maskini pesa zao.

Mwanzo alikuwa anajitukuza kwa kusema yeye ni freemasoni na hiyo ndio njia iliyo wavuta watu wengi wenye kutamani mafanikio ya haraka.

Kwasasa anendelea kuunganisha watu na jicho la tatu ambapo amekuwa akiwatoza watu pesa ya kiingilio kwaajili ya huduma ya jicho la tatu, anadai ndani ya group lake amekuwa akiwapa elimu ya jinsi ya kuona mambo yasiyo weza kuonekana kwa jicho la kawaida, amekuwa akiwapa elimu ya jinsi ya kupata pesa.

Najaribubu kujiuliza maswali je? Serikali inaruhusu iyo elimu na je ? Serikali imefanya uchunguzi dhidi ya hiyo elimu.

Huyu jamaa anawafanya vijana wawe wajinga wajinga wakiamini zipo pesa zinazo weza kupatikana wa kujiunga na group tuu la watsup (jicho la tatu )

Alikuwepo tapeli mmoja aliye jiita DANIEL SHILLA baada ya kutapeli watu pesa za kutosha sasa amehamia Dubai.

Je, serikali inasubiri huyu chief ahame nchi ndio ianze kumchunguza.
We jamaa ni mnoko, ni mkuda na una husda. Wanasiasa na (Mitume/wachungaji/freemasons/ illuminati/waganga wa kienyeji) they all fall into one category hivyo kama kushtaki if you're fair basi kashitaki wote hao.
Winning is about setting your strategies intelligently, mjini mipango mambo ya kufanya kazi kwa kutoka mijasho na kuhema ni vijijini huko labda na wabeba mizigo(makuli). Hata ughaibuni usidhani Wabongo wote ni manamba, akili kukichwa.
 
Screenshot_20241206-222716.jpg
 
Uzuri hashikii mtu mtutu kumlazimisha kujiunga kwenye huo upuuzi wake, Acha awapige
 
Wapo vijana maskini wa akili ambao wataona Mimi Nina wivu ama chuki dhidi ya huyu jamaa anae jiita Chief Godlove.

Huyu jamaa kimsingi ni tapeli ambae amekuwa akiwatapeli maskini pesa zao.

Mwanzo alikuwa anajitukuza kwa kusema yeye ni freemasoni na hiyo ndio njia iliyo wavuta watu wengi wenye kutamani mafanikio ya haraka.

Kwasasa anendelea kuunganisha watu na jicho la tatu ambapo amekuwa akiwatoza watu pesa ya kiingilio kwaajili ya huduma ya jicho la tatu, anadai ndani ya group lake amekuwa akiwapa elimu ya jinsi ya kuona mambo yasiyo weza kuonekana kwa jicho la kawaida, amekuwa akiwapa elimu ya jinsi ya kupata pesa.

Najaribubu kujiuliza maswali je? Serikali inaruhusu iyo elimu na je ? Serikali imefanya uchunguzi dhidi ya hiyo elimu.

Huyu jamaa anawafanya vijana wawe wajinga wajinga wakiamini zipo pesa zinazo weza kupatikana wa kujiunga na group tuu la watsup (jicho la tatu )

Alikuwepo tapeli mmoja aliye jiita DANIEL SHILLA baada ya kutapeli watu pesa za kutosha sasa amehamia Dubai.

Je, serikali inasubiri huyu chief ahame nchi ndio ianze kumchunguza.
Serikali gani wakati wote wako kitanda kimoja wakifanya kitu kilekile? Kwani huyu shaitwani ni wa kwanza? Umewasahau akina Getrude Rwakatare, Christopher Mwakasege, Gamanywa, Moses Kulola, Kakobe, na wengine wengi? Huwaoni akina Gwajima, Lusekelo, Mwampasa na wengine wengi wanaoendeleza libeneke?
 
Unajua upumbavu/ujinga wako ndio mtaji kwa wengine.
Wewe unakuwa ndio njia ya mafanikio ya wengine
Watu wana tapeliwa kwa njia nyingi:
1.kisiasa
2.kiuchumi (Mr.Kuku, Nguruwe, kalynda,namaingo, deci,Sir Jef, Chief Godlove, nk nk )
3.kiimani (angalia idadi ya mitume na manabii walivyo wageuza watu kuwa mifugo yao )

Leo ghafla mtu anaibuka na kujiita tajiri na kukunga kwenye ma group na kukutoza pesa.
Na wewe unatoa kwa hiari yako,
SERIKALI Hapa ifanye nini sasa?
 
ni fake.

hakuwa na utajiri mkubwa hivyo kabla ya kuanza kutapeli vijana mtandaoni

tapeli ni tapeli tu hata kama hana shida ya hela.
Si tapeli, yule alikuwa kickboxer mwenye mafanikio, alikuwa millionaire toka akiwa kickboxer.
Ana biashara nyingi. Na kiufupi "real world" ambayo wewe unaita utapeli haichangii hata 20% ya utajiri wake!
 
Ushabiwa baba yake ni lugumi bado unaongea ongea shaur yako
 
Wapo vijana maskini wa akili ambao wataona Mimi Nina wivu ama chuki dhidi ya huyu jamaa anae jiita Chief Godlove.

Huyu jamaa kimsingi ni tapeli ambae amekuwa akiwatapeli maskini pesa zao.

Mwanzo alikuwa anajitukuza kwa kusema yeye ni freemasoni na hiyo ndio njia iliyo wavuta watu wengi wenye kutamani mafanikio ya haraka.

Kwasasa anendelea kuunganisha watu na jicho la tatu ambapo amekuwa akiwatoza watu pesa ya kiingilio kwaajili ya huduma ya jicho la tatu, anadai ndani ya group lake amekuwa akiwapa elimu ya jinsi ya kuona mambo yasiyo weza kuonekana kwa jicho la kawaida, amekuwa akiwapa elimu ya jinsi ya kupata pesa.

Najaribubu kujiuliza maswali je? Serikali inaruhusu iyo elimu na je ? Serikali imefanya uchunguzi dhidi ya hiyo elimu.

Huyu jamaa anawafanya vijana wawe wajinga wajinga wakiamini zipo pesa zinazo weza kupatikana wa kujiunga na group tuu la watsup (jicho la tatu )

Alikuwepo tapeli mmoja aliye jiita DANIEL SHILLA baada ya kutapeli watu pesa za kutosha sasa amehamia Dubai.

Je, serikali inasubiri huyu chief ahame nchi ndio ianze kumchunguza.
Wanamhitaji sana ili kuwaweka wapumbavu busy na matumaini hewa
 
Wapo vijana maskini wa akili ambao wataona Mimi Nina wivu ama chuki dhidi ya huyu jamaa anae jiita Chief Godlove.

Huyu jamaa kimsingi ni tapeli ambae amekuwa akiwatapeli maskini pesa zao.

Mwanzo alikuwa anajitukuza kwa kusema yeye ni freemasoni na hiyo ndio njia iliyo wavuta watu wengi wenye kutamani mafanikio ya haraka.

Kwasasa anendelea kuunganisha watu na jicho la tatu ambapo amekuwa akiwatoza watu pesa ya kiingilio kwaajili ya huduma ya jicho la tatu, anadai ndani ya group lake amekuwa akiwapa elimu ya jinsi ya kuona mambo yasiyo weza kuonekana kwa jicho la kawaida, amekuwa akiwapa elimu ya jinsi ya kupata pesa.

Najaribubu kujiuliza maswali je? Serikali inaruhusu iyo elimu na je ? Serikali imefanya uchunguzi dhidi ya hiyo elimu.

Huyu jamaa anawafanya vijana wawe wajinga wajinga wakiamini zipo pesa zinazo weza kupatikana wa kujiunga na group tuu la watsup (jicho la tatu )

Alikuwepo tapeli mmoja aliye jiita DANIEL SHILLA baada ya kutapeli watu pesa za kutosha sasa amehamia Dubai.

Je, serikali inasubiri huyu chief ahame nchi ndio ianze kumchunguza.
Learn to mind your business, utafika mbali
 
Wapo vijana maskini wa akili ambao wataona Mimi Nina wivu ama chuki dhidi ya huyu jamaa anae jiita Chief Godlove.

Huyu jamaa kimsingi ni tapeli ambae amekuwa akiwatapeli maskini pesa zao.

Mwanzo alikuwa anajitukuza kwa kusema yeye ni freemasoni na hiyo ndio njia iliyo wavuta watu wengi wenye kutamani mafanikio ya haraka.

Kwasasa anendelea kuunganisha watu na jicho la tatu ambapo amekuwa akiwatoza watu pesa ya kiingilio kwaajili ya huduma ya jicho la tatu, anadai ndani ya group lake amekuwa akiwapa elimu ya jinsi ya kuona mambo yasiyo weza kuonekana kwa jicho la kawaida, amekuwa akiwapa elimu ya jinsi ya kupata pesa.

Najaribubu kujiuliza maswali je? Serikali inaruhusu iyo elimu na je ? Serikali imefanya uchunguzi dhidi ya hiyo elimu.

Huyu jamaa anawafanya vijana wawe wajinga wajinga wakiamini zipo pesa zinazo weza kupatikana wa kujiunga na group tuu la watsup (jicho la tatu )

Alikuwepo tapeli mmoja aliye jiita DANIEL SHILLA baada ya kutapeli watu pesa za kutosha sasa amehamia Dubai.

Je, serikali inasubiri huyu chief ahame nchi ndio ianze kumchunguza.
1. Mwamposa
2. God Love
3. Geo Davie
4. na wengine kibaooo
Wotee ni matapeli.

Ila unakomaa na serikali amshughulikie God Love tu.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Kipindi cha magufuli chief godlove alikuwa wap asee
Alikuwa amepanga appartment zipo maeneo fulani. Alikuwa anashoot sana kwenye zile appartment. Enzi hizo anatumia toyota ile.

Serikali imuone kafanya kosa?

Watakuwa wanamfuatilia na kuona ni kujitangaza tu hakuna kosa lolote

hat wewe unaweza jitafutia umaarufu mkuu
 
Back
Top Bottom