instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 11,381
- 14,186
Watu zaidi ya million 3 utumia hii stendi kusafiria kwenda mikoa mbalimbali na Pia wilaya mbalimbali.
Rais ni mtu wa wanyonge. Sijui wanyonge wapo kama watu milioni tatu waishio Kagera hatoi hata bilion 2 kujenga stendi lakin bilion 100 kununua ndege zinapatikana au labda CCM wengi huja Bukoba Kwa ndege?
Au labda Kwa kuwa wanaishi Dar?maana Dar hata stendi ya Mbagala au Mbezi inazidi stendi kuu ya mkoa wenye watu million 3 Kagera.
Dah serikali haijali watu wake
Rais ni mtu wa wanyonge. Sijui wanyonge wapo kama watu milioni tatu waishio Kagera hatoi hata bilion 2 kujenga stendi lakin bilion 100 kununua ndege zinapatikana au labda CCM wengi huja Bukoba Kwa ndege?
Au labda Kwa kuwa wanaishi Dar?maana Dar hata stendi ya Mbagala au Mbezi inazidi stendi kuu ya mkoa wenye watu million 3 Kagera.
Dah serikali haijali watu wake