Kinachoendelea sasa hivi katika kampuni ya tiGO in ubabaishaji mtupu uliosheheni wizi na dhuruma kwa wateja kwa zaidi ya miezi miwili sasa! Hivi hawa tiGO mikataba yao ya uwekezaji hapa nchini inasemaje mbona watanzania tunafanyiwa vituko kama vile nchi haina serikali?!
TiGO wamechoka mbaya nahisi wanaweza kutimka wakati wowote wakaiacha serikali solemba kama ilivyotokea kwa Meridian Beao Bank miaka ya nyuma.
Kama mitambo ya mtandao wa tiGO ni mibovu isiyotengenezeka na hawana uwezo wa kununua mipya basi ni vema wafunge virago watanzania tumechoshwa kuibiwa na kunyimwa huduma tulizozitarajia.
Fikiria hata kuongeza muda wa maongezi inakuwa taabu, watu kupiga simu hamsikilizani lakini pesa inakwenda, ukiweka sh. 2,000 ukatuma meseji 14 tu salio limekwisha, ukiongeza salio kutumia tiGO Pesa yaani ujue umekwisha! na usilogwe ukawakopa unapoishiwa salio maana wataendelea kukukata pesa yako kila unapoweka bila wewe kujua.
Halafu wanakela na mi-message yao ya kijinga ya promotion na upatu kila wakati mchana na usiku wa manane. Naomba mamlaka zinazohusika kuifungia mara moja hii kampuni kimeo ya tiGO.
Naomba kuwakilisha.
Kinachoendelea sasa hivi katika kampuni ya tiGO in ubabaishaji mtupu uliosheheni wizi na dhuruma kwa wateja kwa zaidi ya miezi miwili sasa! Hivi hawa tiGO mikataba yao ya uwekezaji hapa nchini inasemaje mbona watanzania tunafanyiwa vituko kama vile nchi haina serikali?!
TiGO wamechoka mbaya nahisi wanaweza kutimka wakati wowote wakaiacha serikali solemba kama ilivyotokea kwa Meridian Beao Bank miaka ya nyuma.
Kama mitambo ya mtandao wa tiGO ni mibovu isiyotengenezeka na hawana uwezo wa kununua mipya basi ni vema wafunge virago watanzania tumechoshwa kuibiwa na kunyimwa huduma tulizozitarajia.
Fikiria hata kuongeza muda wa maongezi inakuwa taabu, watu kupiga simu hamsikilizani lakini pesa inakwenda, ukiweka sh. 2,000 ukatuma meseji 14 tu salio limekwisha, ukiongeza salio kutumia tiGO Pesa yaani ujue umekwisha! na usilogwe ukawakopa unapoishiwa salio maana wataendelea kukukata pesa yako kila unapoweka bila wewe kujua.
Halafu wanakela na mi-message yao ya kijinga ya promotion na upatu kila wakati mchana na usiku wa manane. Naomba mamlaka zinazohusika kuifungia mara moja hii kampuni kimeo ya tiGO.
Naomba kuwakilisha.
Acha ukenge wewe hii ni free market mtandao haupo m1 hapa tz,kama tiGO wanakuboa unaweza sepa tu,sasa serikali wakifunga hao wafanyakazi utawalipa wewe? Unajua cost za ku-run sites wewe au kujenga mnara m1?
Unajua vitu vinavyaffect networks hasa hz za MW? Acha umasabauri wewe,mitandao hapa tz hipo kama nane unaweza ukasepa tu,yani kupata msg moja tu unalalamika, mtu mwenyewe unaweka jero baada ya wiki,ndio maana hata ikipotea sh10 unalalamika fanya kazi wewe uongeze kipato chako!
Waliokutuma wamekupa pesa kiasi gani??
Acha ukenge wewe hii ni free market mtandao haupo m1 hapa tz,kama tiGO wanakuboa unaweza sepa tu,sasa serikali wakifunga hao wafanyakazi utawalipa wewe? Unajua cost za ku-run sites wewe au kujenga mnara m1?
Unajua vitu vinavyaffect networks hasa hz za MW? Acha umasabauri wewe,mitandao hapa tz hipo kama nane unaweza ukasepa tu,yani kupata msg moja tu unalalamika, mtu mwenyewe unaweka jero baada ya wiki,ndio maana hata ikipotea sh10 unalalamika fanya kazi wewe uongeze kipato chako!
Msimbeze mtoa mada, kuna uwezekano mkubwa hii kampuni imeshauzwa, baadhi ya ofisi zao zimeshahamishwa na minara yao wameshaiuzia kampuni kutoka nje inayoitwa HTT Infranco limited. Si mnaona jinsi walivyo na dharau kwa wateja wao, sababu wanajua hawana watakachopoteza.
Acha ukenge wewe hii ni free market mtandao haupo m1 hapa tz,kama tiGO wanakuboa unaweza sepa tu,sasa serikali wakifunga hao wafanyakazi utawalipa wewe? Unajua cost za ku-run sites wewe au kujenga mnara m1?
Unajua vitu vinavyaffect networks hasa hz za MW? Acha umasabauri wewe,mitandao hapa tz hipo kama nane unaweza ukasepa tu,yani kupata msg moja tu unalalamika, mtu mwenyewe unaweka jero baada ya wiki,ndio maana hata ikipotea sh10 unalalamika fanya kazi wewe uongeze kipato chako!
Msimbeze mtoa mada, kuna uwezekano mkubwa hii kampuni imeshauzwa, baadhi ya ofisi zao zimeshahamishwa na minara yao wameshaiuzia kampuni kutoka nje inayoitwa HTT Infranco limited. Si mnaona jinsi walivyo na dharau kwa wateja wao, sababu wanajua hawana watakachopoteza.
Mkuu King Kong III - punguza hasira!
Dah jamaa amepanic sana sijui ni mmiliki wa tigo?
Dah jamaa amepanic sana sijui ni mmiliki wa tigo?