Serikali ebu tangazeni ajira za maana

Serikali ebu tangazeni ajira za maana

Kila siku mtu ukiingia ajira portal ajira zilizopo ni za madereva, waendesha office,watendaji wa vijiji,walimu,na wasaidizi wa kumbukumbu,halafu waajiri ni halmashauri.
Ebu tangazeni ajira za maana kutoka taasisi za maana pia.
Bwanamdogo kwa hiyo arrogance utapata kazi kweli? Hicho kitu gani cha maana kuliko wengine ulichosoma
 
Mkuu humo Kuna ajira chungu mzma, sema una bahati na hizo LGA
 
Kila siku mtu ukiingia ajira portal ajira zilizopo ni za madereva, waendesha office,watendaji wa vijiji,walimu na wasaidizi wa kumbukumbu pekee,halafu waajiri ni halmashauri.
Ebu tangazeni ajira za maana kutoka taasisi za maana pia.
Hizo ndio Ajira zilizopo watoto wa Masikini wote wakajazane huko zile zenye ulaji wa maana hutoona wanazitangaza kamwe
 
Vijana bwana,kwa hiyo halmashauri sio sehemu ya maana mkuu?
Kuna baadhi ya watu waliofanya kazi huko wanashauri usipende kwenda kufanya kazi huko ndio maana mleta mada kaja juu
 
Kila siku mtu ukiingia ajira portal ajira zilizopo ni za madereva, waendesha office,watendaji wa vijiji,walimu na wasaidizi wa kumbukumbu pekee,halafu waajiri ni halmashauri.
Ebu tangazeni ajira za maana kutoka taasisi za maana pia.
Subiria 2030 utapata unazo zitaka
 
We ni mgeni nin...mbona zipo kibao na huwa zinatangazwa....
Au ww ni mtendaji na unataka taasisi ya maana
 
Kazi za Ubunge na Urais zimetangazwa na INEC. Kazi kwako mkuu
 
Kila siku mtu ukiingia ajira portal ajira zilizopo ni za madereva, waendesha office,watendaji wa vijiji,walimu na wasaidizi wa kumbukumbu pekee,halafu waajiri ni halmashauri.
Ebu tangazeni ajira za maana kutoka taasisi za maana pia.
Ajira za maana ni zipi??
 
Back
Top Bottom