Cathelin
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,071
- 3,992
- Thread starter
- #21
Hatutaki msamaha kwa ushahidi wa Kingai na Mahita, eti wamtie hatiani, mkimtia hatia hukumu ni kunyongwa, wamnyonge sio msamahaTatizo sio hukumu/Adhabu, Suala ni yeye kukutwa na hatia, adhabu anaweza akasamehewa hiyo ipo pia. Suala akisha tiwa hatian je sheria zinamruhusu kuendeleza siasa kwa ukubwa ule? ( kushika nyadhifa mbali mbali?).
Waliomshitaki wanamalengo makubwa zaidi ya adhabu za kisheria kutoka mahakaman. Nchi hii haitaki mpinzani msumbufu sana kwa Serikal yake.