king herode
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 368
- 566
Hatimae wale wadau wa Canal Sport, kilio chenu kimesikika sasa ligi ya Serie A itaanza kuonekana katika king'amuzi cha Canal Sport kwanzia mwezi huu wa 8 tarehe 24.
Kupitia Canal Sport sasa utapata ligi zifuatazo mubashara
Uefa Champions League
Uefa Europa League
EPL
La Liga
Serie A
Ligue 1
CAF Champions League
Tunafaidi uhondo wote huo kwa Tshs. 40,000/= (Elfu Arobaini) kwa mwezi tu. Tafuta wakala wake ufaidi uhondo, huko kwengine unaibiwa, toroka uje!
NB:
Mimi nimewashtua tu wadau wa soka, mimi siuzi hivyo ving'amuzi, nimeamua kutumia kauli mbiu, Kizuri kula na mwenzako.
View attachment 1178239
Hii 65 ya kununua kisimbusi?Boss nisaidie namba ya wakala wako huu mm nina jamaa ananila 65k mzee
0767 489 899Boss nisaidie namba ya wakala wako huu mm nina jamaa ananila 65k mzee
Search Canal East Africa kule Facebook utapata taarifa kwa kina mkuu...Kisimbuzi chake jumla na kufunga bei gani?
Wakala anayeuza, Facebook sachi Canal East AfricaNaitahi wakara mzee nampataje nashidah n hii
0767 489 899Wapi mkuu?kama unajua mtu anayeuza hivi ving'amuzi naomba namba yake
Yah ni kweli kule lugha ni kifaransa pasee!Kwa sababu programu nyingi zilizopo huko ni kwa lugha ya Kifaransa...
Na hakuna TV za kiswahili swahili huko sijui kina ITV, Citizen n.k
Tayari nishampaAkikupa unitonye?
ZipoHivi mkuu hiki kisimbuzi kina channels zinazoonyesha movies (hollywood) kwa kiingereza mkuu na sio mambo ya lugha za kifaransa.
Jamaa anapata faida ya 25k kutoka kwako.Boss nisaidie namba ya wakala wako huu mm nina jamaa ananila 65k mzee
0767 489 899
0658 489 899
Watu wananunua azam kwa ajili ya ligi kuu,hebu waache ligi kuu kama watauza.DSTV inanunuliwa kwa sababu ya EPL na ligi zingine kibao halafu
Elfu 40Asante mkuu...kwa mwezi gharama kiasi gani
Endelea kukariri maishaWenye Tamaa ya kitonga lazima waliwe na walie...
Mikitu yote isiyo rasmi huwa ikimaliza mwaka zari lako.. but mostly huwa ni trial na mataperi hutumia nafasi hapo hapo