Serengeti Lite ndio habari ya Mjini

Serengeti Lite ndio habari ya Mjini

Nilikuaga ARUSHA maeneo ya sakina (milestone) walikua na promotion ya Serengeti light nikiwa nimetoka zangu triple A jamaa zangu wa hiyo kampuni waliweka kama bia 16 hivi mezani nilipiga bia zaidi ya 6 lakina hamna kitu (too soft) inabidi tuagize na nyagi tuboost then show ikahamia PICNIC
Serengeti lite is too soft with 3.5% alcohol.
Mi naona ni kama napoteza pesa yangu tu nikinywa hiyo bia. # shikamoo balimi
Balimi vs serengeti lite=Makinikia Vs Pure Gold
 
Urithi wetu ndio ilikuwa bia yangu tokea enzi za shule mpaka leo hii nina maisha yangu. Ila hizi safari za sasa ni Kama wameongeza sukari aisee. Nikiwa Kempinski au kigrocery cha Mama shirima mtaani bia yangu ilikuwa Safari. Ila kwa sasa Mbuga (Serengeti) light imeniteka.
Hahah safari hizo nagongaga sehemu najua kuna supu ya maana nitakapo amka asubuhi la sivyo
 
Aisee kaskazini kuna Eagle za ndogo za buku buku.Yaani mwi shida wakuu.Na baridi hii ya mwezi wa sita.NI WAKATI MUAFAKA.UZURI MMOJA,HUKU HAKUNAGA HANG OVER,KWA KUWA SUPU NA CHAIR FIRE VINAPATIKANA KILA KONA MUBASHARA!
 
Wakuu kwa sasa Serengeti lite ndio habari ya mjini, imekuja kipindi muhimu sana ambacho mifuko ya wengi haiko poa. Kidogo inatupunguzia gharama ya kunywa Windhoek na Heineken kwakuwa hii bei yake ni ya wananchi yaani 1500 tu.
Asante sana kampuni ya SBL kwa kutujali wateja wenu

Umelipwa kiasi gani..? au ni mapenzi binafsi tu
 
Asee hicho kibia Ni too soft,Jana nmevinywa kama 15 hata sijasikia kitu,zaidi Ni ruti kibao za chooni,Yale Ni Maji Amna kitu.
 
Hata Wauze 10000/= kitu castle lager the perfect moment siwezi kuacha kunywa kitu cha baridi na sato wa kukaangwa kwa pembeni limao na pili pili kwa wingi unagonga nne kila wikendi watu woyoo
 
Shida ya balimi kesho yake ukikunya, ni kama kuna mzoga wa ng'onda ama kuna mtambo wa kusindika wanzuki chooni harufu mbaya kweli kweli
ahahahahahhaha sasa mkeo akunywa hii na ukagegeda si unasikia harufu tu ya ng'onda?
 
Back
Top Bottom