Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,896
Kesi Na. 158/2016 iliyokuwa inamhusu Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Mh. Salum Mwalimu na wenzake katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Bariadi imetupiliwa mbali, hivyo washtakiwa wote wako huru.
Haki huinua Taifa, Mapambano lazima yaendelee
Haki huinua Taifa, Mapambano lazima yaendelee