Godfrey Roman
Member
- Dec 29, 2016
- 21
- 16
Hizo za buku 2 wapi mkuu maana huku mwanza buku 2 na jero
Ndovu ni nafuu mkuu kulinganisha na safari au Kilimanjaro... ila ukinywa Heineken na Windhoek aisee ni fresh mno unaamka utasema hujanywa pombe yaani kichwa ipo fresh....kwani ndovu haina harufu.. hata wines zina harufu
Hapa mjadala ni POMBEJamaa kaniambia pombe ni hatari ndo maana nikataka kumkumbusha kwamba kuna hatari zaidi ya pombe.
Man lusungo ngoja nami nianze kunywa hiyo.. maana mm mzee wa castle lager tuNdovu ni nafuu mkuu kulinganisha na safari au Kilimanjaro... ila ukinywa Heineken na Windhoek aisee ni fresh mno unaamka utasema hujanywa pombe yaani kichwa ipo fresh....
Ndo ipo maeneo gani hiyo?.....kuna toto nzuri?
Ukiweza hamia kwa akina Windhoek na Heineken kabisa.... ila kuna castle lite zimeingia jamaa alinambia nijaribu aisee tamu tofauti na za awali zina vizipo vimechorwa hivi havijafunikwa kama vile vya awali.... nilikunywa niliamka fresh kama nimekunywa windhoek....Man lusungo ngoja nami nianze kunywa hiyo.. maana mm mzee wa castle lager tu
K vant ndio ipi mkuuPiga K vant mkuu'
ha haaa haaaa 1.9! umenichekesha kweli mkuuhalafu ina harufu ya kimea kama imeungulia, Mkemia wao naona alipata GPA ya 1.9 ST John
Acha ushamba bwanamdogo unaendaje bar na wife? dunia unaifaidije sasa?Makuburi pembeni ya TFDA.
Watoto naowaonaga ni wa kawaida. Labda kwavile huwa nakuja hapa na my wife na ni mzuri kimtindo.
nakuambia huyu jamaa hana nia nzuri na sisi, atatunywesha sumu siku mojaha haaa haaaa 1.9! umenichekesha kweli mkuu
UmetishaaIn wine there is wisdom,
In beer there is strength,
In water there is Bacteria,
Buku jeroNayo ni buku?
aisee nawapongeza kampuni za bia kujitahidi kuendana na hali halisi.... naona vijana wengi wamehamia kwenye eagle....Buku jero
Tafadhali msiniache... Grants naona ishakuwa kama uji kwa mgonjwa.Lakini mpaka umalize chupa nzima ya Stolichnaya si unakua unaongea habari ingine.....?.....
Leo tukutane wapi tupige hiyo......mrusi nomaaa.....