Easymutant
R I P
- Jun 3, 2010
- 2,564
- 1,129
Nimewahi kutembelea hotel kadhaa hapa TZ,
Kuna hotel ambazo zinajitahidi kuchangia pato la watanzania kwa kununua bidhaa za kitanzania kwa matumizi ya hotel zao, lakini serena hotels imekuwa ya maajabu kwangu na sielewi kwa nini waimport maji ya kunywa kutoka Nairobi lodge zao zote ukitembelea utakutana na maji ya Aquamist imported from Kenya, kama sikosei kuna kipindi Kikwete ashawahi kuchimba mkwara kuhusu mambo kama hayo wakasitisha kwa muda sasa sijui nguvu ya mkwara imeisha ama namna gani, kama sijasahau vyema nakumbuka mwalimu wangu wa somo la biashara alishawahi kusema hii kitu inaweza kuwa controlled kwa kuincrease kodi kwa imported product kama hizi ili kuruhusu the same product kuuza zaidi, sina idea kama inaweza tumika hii njia, but kilimanjaro yetu bado ina kwality nzuri sana sijajua nini shida au kwa sababu wakenya wamehodhi sana serena??
Maana top bosses wote wakenya japo nawatz wanapewa vinafasi vya danganya toto, lakini hili la kutoa maji Kenya as if hakuna maji TZ inaniumaaaaaaaaaaaaaaaaa!!
Kuna hotel ambazo zinajitahidi kuchangia pato la watanzania kwa kununua bidhaa za kitanzania kwa matumizi ya hotel zao, lakini serena hotels imekuwa ya maajabu kwangu na sielewi kwa nini waimport maji ya kunywa kutoka Nairobi lodge zao zote ukitembelea utakutana na maji ya Aquamist imported from Kenya, kama sikosei kuna kipindi Kikwete ashawahi kuchimba mkwara kuhusu mambo kama hayo wakasitisha kwa muda sasa sijui nguvu ya mkwara imeisha ama namna gani, kama sijasahau vyema nakumbuka mwalimu wangu wa somo la biashara alishawahi kusema hii kitu inaweza kuwa controlled kwa kuincrease kodi kwa imported product kama hizi ili kuruhusu the same product kuuza zaidi, sina idea kama inaweza tumika hii njia, but kilimanjaro yetu bado ina kwality nzuri sana sijajua nini shida au kwa sababu wakenya wamehodhi sana serena??
Maana top bosses wote wakenya japo nawatz wanapewa vinafasi vya danganya toto, lakini hili la kutoa maji Kenya as if hakuna maji TZ inaniumaaaaaaaaaaaaaaaaa!!