Power G
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 3,886
- 1,194
Hii yote inaonyesha ulegelege wa serikali yetu. Hawa jamaa wanachofanya ni kuuziana na kubadili majina ya makampuni baada ya muda wa msamaha wa kodi kwisha (Tax holiday). Anayeingia naye anaanza kipindi chake cha msamaha wa kodi kikiisha anajiondokea na kummuzia mwingine. Na bahati nzuri wawe wameshatoa suti, tunafumba macho kama hatuwaoni vile.