Serena acquires Mövenpick Hotel in Dar es Salaam

Tegelezeni

JF-Expert Member
Dec 31, 2009
268
124
PIX1.jpg

File | Nation Guests choose delicacies from a buffet laid out at the Movenpick Hotel.


Updated Thursday, November 24 2011
Tourism Promotion Services (TPS), the operator of the Serena Hotels chain, has bought a five-star hotel in Tanzania.

Movenpick Hotels and Resorts, which will be renamed Dar es Salaam Serena Hotel on December 1, is TPS's latest acquisition, which adds 230 rooms to its fold.

Mr Mahmud Janmohamed, the TPS Eastern Africa Group managing director, said the acquisition now gives them a presence in Dar es Salaam, while increasing its footprint in the region.

"We have always wanted to have a strong presence across East Africa and this is part of the strategy," he said.

The managing director added that it is a premier up-market five-star hotel.

He added: "With our Serena portfolio, the hotel will benefit from the group's regional presence. We can offer a circuit covering Tanzania, Zanzibar, Kenya, Mozambique, Rwanda, and Uganda."

Mr Janmohamed declined to reveal the value of the transaction.

Upgrading Nairobi Serena

This comes at a time when the firm has announced a Sh4 billion plan to upgrade the Nairobi Serena hotel.

"The plan is still on course and we are in the tendering stage," Mr Janmohamed told the Nation on phone.

TPS operates in Kenya, Zanzibar, Mozambique, Rwanda and Uganda. It also has a presence in northern Tanzania.

TPS Serena Hotels has expanded from four units in the early 1970s to a collection of 25 luxury hotels, resorts, camps and safari lodges, offering accommodation in six countries in Africa - Tanzania, Zanzibar, Kenya, Mozambique, Uganda and Rwanda, and 10 properties in three countries in Asia - Afghanistan, Pakistan and Tajikistan.

Its main shareholder is the Aga Khan Fund for Economic Development, an international development agency.




Earlier:

Sasa ni dhahiri Movenpick imeshauzwa kwa mmiliki mpya ambaye ni Aga Khan anayemiliki Hoteli za Serena


Hoteli hiyo ambayo tumeshuhudia ikiendeshwa kwa kupokezana kama mbio za vijiti ilianzishwa hapo mnamo mwaka 1995 ikiwa inamilikiwa na wafanyabiashara wa Kitanzania wakishirikiana na Wa-Russia ambapo waliunda kampuni wakaiita TANRUSS ikiwa ndio mmiliki wa jengo, lakini Hotel ikaitwa Sheraton, kwa sababu ilikuwa ikiendeshwa na menejimenti ya chain ya Sheraton...........

Baada ya TUNRUSS kutoridhishwa na namna menejimenti ya Sheraton ilivyokuwa ikiendesha Hotel hiyo wakaitimua Kimafia na kuisimika menejimenti ya Legacy Hotel ya kule South Africa, lakini wakaamua kuweka Property name ili wasije wakapoteza Identity kama wakibadilisha menejimenti kwa mara nyingine. Kwa hiyo ikaitwa Royal Palm Hotel na kuAnzia hapo Hotel ikajulikana kwa jina la Legacy Royal Palm Hotel. Baada ya miaka kadhaa TUNRUSS wakaamua kuuza mjengo kwa Mwana wa Mfalme wa Saudia Walid BinTalal kwa silimia 99 huku TANRUSS wakibakiwa na asilimia 1 ambapo umiliki ukahamia kwenye kampuni ya mwana huyo wa Mfalme iitwayo Kingdom Hotel Investment. Hotel ilikabidhiwa kwa menejimenti ya Movenpick ambapo mwana wa mfalme ana hisa zizokadiriwa kufikia asilimia 36 katika Chain ya Movenpick. Na sasa Mwana wa Mfalme ameamua kumuuzia Aga Khan ambapo sasa inaitwa Serena Royal Palm Hotel................


Bado kuna wingu zito kuhusiana na haki za wafanyakazi kulingana na tamko rasmi kutoka Movenpick Head Office, kwani hawajui hatma yao. Labda sasa wana sheria watusaidie kutuelimisha kama Wafanyakazi waliofanya kazi tangu Sheraton Mpaka sasa wanayo mafao yoyote au wataendelea na kazi wakiwa na mwajiri mpya bila kulipwa mafao yao?

ANGALIZO: Ikumbukwe kwamba Hotel ina miaka 16 sasa tangu ifunguliwe hapo mnamo mwaka 1995

Na hapa chini ndio tamko toka Movenpick makao makuu……..


Internal Announcement

July 27, 2011

Mövenpick Hotels & Resorts will no longer manage Mövenpick Royal Palm Hotel, Tanzania

Dear Colleagues,
We regret to announce that Mövenpick Hotels & Resorts will no longer manage Mövenpick Royal Palm Hotel, Dar es Salaam – Tanzania. We are currently under negotiation with the ownership for the exact exit date.

KHI, the owning company of the hotel, has decided to sell the property to the Serena Hotel Group that not only owns hotels but also operates them.

The hotel staff are currently employed by a subsidiary of KHI and will be
employed by the new owner after the sale of the property. We have been
assured that there will be no changes to the employment agreements. We are also working with all parties involved to find an adequate solution for those employees who are flexible and who want to stay with us.

"We have been managing the hotel since 2005 and we regret to see this property leaving our Africa portfolio. We would like to thank all the hotel employees for their hard work and dedication over the past years, they have achieved great results and were a key contributor to our region and Mövenpick Hotels & Resorts", said Roger Kacou, Senior Vice President – Africa.

On a positive note, we have already signed a property in Arusha, Tanzania and we are continuously looking for potential management opportunities in the African region.

Best Regards,

Roger Kacou

Senior Vice President - Africa
 
nilimuona mzee Walioba juzi ITV akiongelea kitu ambacho awali nilidhani nakijua kumbe la! Alisema "madini sio mali yetu" ...na akatoa ufafanuzi kidogo kuwa wamemilikishwa wawekezaji na ndio maana hata bei ikipanda mara 10,000 Mtz huna haja ya kujua au kuuliza maana hata hiyo 3% ni wao wanaopiga mahesabu!
Sikupenda kueleza hayo yote lakini nakumbuka wakati wa utawala wa Mzee Mwinyi wakitaka kujenga 'Sheraton' kuna mtu hata alitaka kwenda mahakani kupinga lakini sote tunajua hilo lilivyokuwa gumu.
Kweli tumekuwa watu wa ajabu na sijui itatuchukua miaka mingapi kurecover kutokana na ujinga huu, tangia niifahamu Hilton - Nairobi, Sheraton-Kampala na nyinginezo ni miaka mingi lakini mbona wako consistent na majina hayajawahi kubadilika, japo sijui juu ya wamiliki/waendeshaji.

my take:
kama kuna msomi ambaye ana interest na Tanzania, naomba afanye research ya 'ni nini hasa kinasumbua watu wa eneo hili la dunia (Tanzania)?
 
nilimuona mzee Walioba juzi ITV akiongelea kitu ambacho awali nilidhani nakijua kumbe la! Alisema "madini sio mali yetu" ...na akatoa ufafanuzi kidogo kuwa wamemilikishwa wawekezaji na ndio maana hata bei ikipanda mara 10,000 Mtz huna haja ya kujua au kuuliza maana hata hiyo 3% ni wao wanaopiga mahesabu!
Sikupenda kueleza hayo yote lakini nakumbuka wakati wa utawala wa Mzee Mwinyi wakitaka kujenga 'Sheraton' kuna mtu hata alitaka kwenda mahakani kupinga lakini sote tunajua hilo lilivyokuwa gumu.
Kweli tumekuwa watu wa ajabu na sijui itatuchukua miaka mingapi kurecover kutokana na ujinga huu, tangia niifahamu Hilton - Nairobi, Sheraton-Kampala na nyinginezo ni miaka mingi lakini mbona wako consistent na majina hayajawahi kubadilika, japo sijui juu ya wamiliki/waendeshaji.

my take:
kama kuna msomi ambaye ana interest na Tanzania, naomba afanye research ya 'ni nini hasa kinasumbua watu wa eneo hili la dunia (Tanzania)?


Hatupati hiyo mkuu huwa tunagawana hivi;
1.mwekezaji 97%
2.kampuni ya Ku audit migodi
1.9% (kama una kumbukumbu ndo Basil mramba aliisamehe kodi)
3.
watz (wazawa) 1.1%
total 100%

tz bila amani inawezekana!
 
Hizo ndiyo pros na cons za International Business. Huna sababu kukomaa na li biashara ambalo unaona halikupi faida kwa hiyo ' kuna free entry na free exit. Ule mfumo wa 'Kichaga" wa kung'ang'ania kumiliki Toyota Stout mpaka urithishe wanao hauna nafasi kwenye globalised market.
 

Moevenpick royal palm hotel.jpg


Sasa ni dhahiri Movenpick imeshauzwa kwa mmiliki mpya ambaye ni Aga Khan anayemiliki Hoteli za Serena


Hoteli hiyo ambayo tumeshuhudia ikiendeshwa kwa kupokezana kama mbio za vijiti ilianzishwa hapo mnamo mwaka 1995 ikiwa inamilikiwa na wafanyabiashara wa Kitanzania wakishirikiana na wafanyabiashara wa Ki-Russia ambapo waliunda kampuni wakaiita TANRUSS ikiwa ndio mmiliki wa jengo, lakini Hotel ikaitwa Sheraton, kwa sababu ilikuwa ikiendeshwa na menejimenti ya chain ya Sheraton........... Baada ya TUNRUSS kutoridhishwa na namna menejimenti ya Sheraton ilivyokuwa ikiendesha Hotel hiyo wakaitimua Kimafia na kuisimika menejimenti ya Legacy Hotel ya kule South Africa, lakini wakaamua kuweka Property name ili wasije wakapoteza Identity kama wakibadilisha menejimenti kwa mara nyingine. Kwa hiyo ikaitwa Royal Palm Hotel. na kuAnzia hapo Hotel ikajulikana kwa jina la Legacy Royal Palm Hotel. Baada ya miaka kadhaa TUNRUSS wakaamua kuuza mjengo kwa Mwana wa Mfalme wa Saudia Walid BinTalal kwa silimia 99 huku TANRUSS wakibakiwa na asilimia 1 ambapo umiliki ukahamia kwenye kampuni ya mwana huyo wa Mfalme iitwayo Kingdom Hotel Investment. Hotel ilikabidhiwa kwa menejimenti ya Movenpick ambapo mwana wa mfalme ana hisa zizokadiriwa kufikia asilimia 36 katika Chain ya Movenpick. Na sasa Mwana wa Mfalme ameamua kumuuzia Aga Khan ambapo sasa inaitwa Serena Royal Palm Hotel................

Bado kuna wingu zito kuhusiana na haki za wafanyakazi kulingana na tamko rasmi kutoka Movenpick Head Office, kwani hawajui hatma yao. Labda sasa wana sheria watusaidie kutuelimisha kama Wafanyakazi waliofanya kazi tangu Sheraton Mpaka sasa wanayo mafao yoyote au wataendelea na kazi wakiwa na mwajiri mpya bila kulipwa mafao yao?

ANGALIZO: Ikumbukwe kwamba Hotel ina miaka 16 sasa tangu ifunguliwe hapo mnamo mwaka 1995

Na hapa chini ndio tamko toka Movenpick makao makuu……..



Internal Announcement

July 27, 2011

Mövenpick Hotels & Resorts will no
longer manage Mövenpick Royal Palm
Hotel, Tanzania


Dear Colleagues,
We regret to announce that Mövenpick Hotels & Resorts will no longer manage
Mövenpick Royal Palm Hotel, Dar es Salaam – Tanzania. We are currently
under negotiation with the ownership for the exact exit date.

KHI, the owning company of the hotel, has decided to sell the property to the
Serena Hotel Group that not only owns hotels but also operates them.
The hotel staff are currently employed by a subsidiary of KHI and will be
employed by the new owner after the sale of the property. We have been
assured that there will be no changes to the employment agreements. We are
also working with all parties involved to find an adequate solution for those
employees who are flexible and who want to stay with us.

"We have been managing the hotel since 2005 and we regret to see this property
leaving our Africa portfolio. We would like to thank all the hotel employees for
their hard work and dedication over the past years, they have achieved great
results and were a key contributor to our region and Mövenpick Hotels &
Resorts", said Roger Kacou, Senior Vice President – Africa.

On a positive note, we have already signed a property in Arusha, Tanzania and
we are continuously looking for potential management opportunities in the
African region.

Best Regards,

Roger Kacou

Senior Vice President - Africa
 

Attachments

  • Jengo.JPG
    Jengo.JPG
    34.2 KB · Views: 83
<font color="#0000ff"><b>Hatupati hiyo mkuu huwa tunagawana hivi;<br />
</b></font><font color="#0000FF"><b> 1.mwekezaji </b></font><font color="#ff0000"><b>97%</b></font><font color="#0000FF"><b><br />
2.kampuni ya Ku audit migodi </b></font><font color="#ff0000"><b>1.9%</b></font><font color="#0000FF"><b> (kama una kumbukumbu ndo Basil mramba aliisamehe kodi)<br />
3.</b></font><font color="#ff0000"><b>watz (wazawa) 1.1%</b></font><font color="#0000FF"><b><br />
total 100%</b></font><br />
tz bila amani inawezekana!
<br />
<br />
Hivi mikataba ya namna hii husainiwa/huingiwa hata huko kwa wenzetu,ama?MI NAHISI HATA MUNGU ANATUSHANGAA WATZ,THE WAY TUNAVYOKUBALI KUDHULUMIWA!
 
Bora imeuzwa, ile kitu sasa hivi hali yake ni mbaya sana, pale barkers basket na kule garden kumeharibika sana, inahitaji matengenezo ya hali ya juu, ili iweze kurudi kwenye hadhi yake.
 
kimekuwa kichaka cha mafisadi na wakurugenzi kugaiana ten percent na wahindi
 
Jambo kama hili linafanyika na serikali inajua, cha kushangaza sirikali inakuwa upande wa wamiliki wa hotel, wafanyakazi wa tanzania wanakuwa kama watoto yatima!
Pole sana
 
Yale yale ya samaki wa Fukushima, watanzania tuamke rasilimali za nchi yetu zinachakachuliwa hivi hivi mchana kweupeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!
 
Wanajamvi, ule mchezo wa mahoteli ya Tanzania kubadili majina unaendelea kama ilivyo ada. Baada ya Kempinski sasa kwa mara nyingine ni Movenpick. Kutokana na mazungumzo binafsi na mmoja wa maafisa mauzo wa hoteli hiyo ni kwamba sasa itaitwa Serena Hotel baada ya kununuliwa na Aga Khan. Kwa maelezo yake ni kwamba kutokana na utaratibu wa Serena wa kupendelea kuajiri wafanyakazi wazawa, tayari baadhi ya Wakenya wameshatimkia kwao wakihofia vibarua vyao kupotea.
 
Mkulu wa magogoni this time wamempa nini, suti ama kanzu? Maana mwezi wote wa Ramdhani alikuwa anabadilisha kama nani hii... That wahi hata hiyo movenpck itabadilishwa sana , walishamfahamu udhaifu wake.
 
Your Highness Mtukufu Agha Khan naomba this time umnunulie prezidaa viatu na soksi. Tayari suti anayo! Usisahau kumnunulia na leso pamoja na mafuta ya kujipaka
 
Back
Top Bottom