Sera zenye mapungufu za NEMC zimesababisha hasara kubwa kwa Taifa!

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,882
13,171
NEMC , National Enviromental Management Council, ni chombo kinachohusika na kuangalia masuala yote yanayohusiana na mazingira nchini.

Tunajua NEMC ina husika na masuala mengine mengi lakini katika hili la mito(rivers) hasa inayokatiza jiji la Dar es saaam, maamuzi yao hayajakuwa na tija na kwa ujumla yamelitia Taifa hasara kubwa.

Tukisema Baraza hili la Mazingira lina neno "Management" ndani yake, basi hatujaona management yenye maana yoyote Zaidi ya kufukuza wachimba michanga mabondeni.

Tungetegemea NEMC ingekuja na utaratibu maalum wa jinsi , mosi, kuweka sera endelevu za upandaji miti kando kando ya mito pamoja na protection ya kingo za mito.

Pili, ya kuondoa mchanga katika mito, mchanga ambao umesababisha kina cha mito mingi kupungua sana na kusababisha madaraja kukatika na mito kujaa sana.

Sitaliongelea la mto Msimbazi, maana huo ni mfupa ambao ka sasa hata NEMC hawana ubavu wa kulifikiria utatuzi wake.


Tumeshuhudia mto Mpiji kukata kingo za daraja la Mpiji, na barabara kutopitika karibu siku tano.
Tumeona daraja la Kawe( maarufu kwa Malecela) likikatika kabisa na kuhitaji matengenezo makubwa.
Laiti michanga ingeondolewa kwa utaratibu unaoeleweka kama hatua zilivyochukuliwa na vyombo vingine hivi sasa, hasara kubwa tulizo shuhudia zingeweza kuepukika.
20180409_172957.jpg

(daraja la Kawe mchanga ukitolewa sasa kuongeza kina cha mto)
 
Mkuu name nitaleta picha za mto Mpigi.
Kuna mchanga pale wa miaka mitano, mpaka mashine imekuwa ndogo!
 
NEMC , National Enviromental Management Council, ni chombo kinachohusika na kuangalia masuala yote yanayohusiana na mazingira nchini.

Tunajua NEMC ina husika na masuala mengine mengi lakini katika hili la mito(rivers) hasa inayokatiza jiji la Dar es saaam, maamuzi yao hayajakuwa na tija na kwa ujumla yamelitia Taifa hasara kubwa.

Tukisema Baraza hili la Mazingira lina neno "Management" ndani yake, basi hatujaona management yenye maana yoyote Zaidi ya kufukuza wachimba michanga mabondeni.

Tungetegemea NEMC ingekuja na utaratibu maalum wa jinsi , mosi, kuweka sera endelevu za upandaji miti kando kando ya mito pamoja na protection ya kingo za mito.

Pili, ya kuondoa mchanga katika mito, mchanga ambao umesababisha kina cha mito mingi kupungua sana na kusababisha madaraja kukatika na mito kujaa sana.

Sitaliongelea la mto Msimbazi, maana huo ni mfupa ambao ka sasa hata NEMC hawana ubavu wa kulifikiria utatuzi wake.


Tumeshuhudia mto Mpiji kukata kingo za daraja la Mpiji, na barabara kutopitika karibu siku tano.
Tumeona daraja la Kawe( maarufu kwa Malecela) likikatika kabisa na kuhitaji matengenezo makubwa.
Laiti michanga ingeondolewa kwa utaratibu unaoeleweka kama hatua zilivyochukuliwa na vyombo vingine hivi sasa, hasara kubwa tulizo shuhudia zingeweza kuepukika.
View attachment 740427
(daraja la Kawe mchanga ukitolewa sasa kuongeza kina cha mto)
NEMC imeshindwa kuibadili mito ya Dar kuwa storm water drainage system kama iliyopo Dodoma kuelekea Mailimbili Mnadani.Huu ni mtaro mpana ambao hairuhusiwi mtu kufanya shughuri yoyote ile ndani yake, imeiacha mito hiyo iishi kama ilivyo.
 
NEMC imeshindwa kuibadili mito ya Dar kuwa storm water drainage system kama iliyopo Dodoma kuelekea Mailimbili Mnadani.Huu ni mtaro mpana ambao hairuhusiwi mtu kufanya shughuri yoyote ile ndani yake, imeiacha mito hiyo iishi kama ilivyo.
NEMC ni just a sort of outfit employing useless proffessionals who have never been good at anything.
Nshangaa kuona kuna flods evrywhere na wasijue causes na remedial technical steps to rectify the situation.

Kazi nzuri ya TANROADS inaharibiwa na watu hawa.
 
NEMC ni just a sort of outfit employing useless proffessionals who have never been good at anything.
Nshangaa kuona kuna flods evrywhere na wasijue causes na remedial technical steps to rectify the situation.

Kazi nzuri ya TANROADS inaharibiwa na watu hawa.
Hawa Jamaa wanakabiliwa na issue ya urasimu, wana wataalamu wazuri tu, ila kuna kitu kinaitwa rent seeking, sijajua maana yake kwa kiswahili kizuri. Ila kifupi hawana sheria nzuri na imara za kulinda na kusimamia mazingira. Unajua hata kama una wataalamu wazuri vipi, na sera nzuri lakini kama huna sheria nzuri za kusimamia na kulinda hizo Sera basi tegemea madudu. Kwa mfano angalia mapungufu YALIYOPO katika maeneo ya NEMC, TANAPA, Mamlaka ya misitu, Uvuvi, na wanyama pori. Sheria zetu zinawanyima meno hawa watu, matokeo yake wanaonekana wapo wapo tu.
 
Hawa Jamaa wanakabiliwa na issue ya urasimu, wana wataalamu wazuri tu, ila kuna kitu kinaitwa rent seeking, sijajua maana yake kwa kiswahili kizuri. Ila kifupi hawana sheria nzuri na imara za kulinda na kusimamia mazingira. Unajua hata kama una wataalamu wazuri vipi, na sera nzuri lakini kama huna sheria nzuri za kusimamia na kulinda hizo Sera basi tegemea madudu. Kwa mfano angalia mapungufu YALIYOPO katika maeneo ya NEMC, TANAPA, Mamlaka ya misitu, Uvuvi, na wanyama pori. Sheria zetu zinawanyima meno hawa watu, matokeo yake wanaonekana wapo wapo tu.
Mkuu kusimamia maxingira is a technical issue amnalo NEMC are ill equiped.
Si suala la sheria tu lakini hata msukumo na vision ya NEMC ina matatizo.
 
Back
Top Bottom