Mtoa mada, naweza ipata wapi hiyo sera ili niisome kwanza niielewe ndio nije nitoe mchango.
Hata kama ni nzuri kiasi gani lazima wananchi tuelimishwe, isije kuwa another sera maslah.
Mikoa mimngine haina hata ulanga sijui itakuwaje.
Kila mkoa nchi hii una rasilimali za kutosha kwa namna yake.
Hebu taja mkoa m1 tu ambao ni maskini wa rasilimali?