dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,126
- 49,384
Subirini muone; kwa uzuri wa sera hii, soon kupitia mgongo wa Katiba Mpya na propaganda nyingine MAGAMBA watai-download, kui-customize then watadai ni yao.
Kinachoudhi sio ku-implement hizo sera za wizi alimradi ni kwa faida ya wananchi na taifa kwa ujumla bali tatizo ni hizo dhihaka, dharau, na kejeli zao dhidi ya waasisi wa wazo husika.
Nashauri CHADEMA waiwekee hatimiliki (copyright) fasta ikibidi CCM wai-copy baada ya ku-acknowledge maana magamba wameishiwa ubunifu kabisa sasa hivi.
Kinachoudhi sio ku-implement hizo sera za wizi alimradi ni kwa faida ya wananchi na taifa kwa ujumla bali tatizo ni hizo dhihaka, dharau, na kejeli zao dhidi ya waasisi wa wazo husika.
Nashauri CHADEMA waiwekee hatimiliki (copyright) fasta ikibidi CCM wai-copy baada ya ku-acknowledge maana magamba wameishiwa ubunifu kabisa sasa hivi.