Sera Mbadala: Chadema yatikisa Mbeya

Sera Mbadala: Chadema yatikisa Mbeya

Kwa jiji zima kama la mbeya huwezi kufanyia kongamano katika kiroyal Kama tughimbe ni kidogo Sana japo naishi nyumba yakupanga ,kwa Mbalizi ni kweli inahadhi yake lakini ni padogo Sana angalau lingefanyika eneo Kama uwanja wa mahubiri ingekua ni nafasi kubwa kwa wananchi kuhudhuria kongamano Hilo mtawanyima nafasi na haki ya kimsingi kuwaunga mkono kwenye juhudi hizi
Naomba kuwasilisha
Ombi lako limefikishwa meza kuu na litafanyiwa kazi .
 
Huku baadhi ya wanasiasa wakileta makongamano ya ngoma za kienyeji , chadema inaleta makongamano ya sera .
 
Kwa jiji zima kama la mbeya huwezi kufanyia kongamano katika kiroyal Kama tughimbe ni kidogo Sana japo naishi nyumba yakupanga ,kwa Mbalizi ni kweli inahadhi yake lakini ni padogo Sana angalau lingefanyika eneo Kama uwanja wa mahubiri ingekua ni nafasi kubwa kwa wananchi kuhudhuria kongamano Hilo mtawanyima nafasi na haki ya kimsingi kuwaunga mkono kwenye juhudi hizi
Naomba kuwasilisha
Umetumwa
 
Naona mnabalance vitabu vya ruzuku
FB_IMG_1540815368171.jpg
 
Kinacho wabeba CDM ni kimoja tu, viongozi wake wengi wana high IQ. Bado sijajua ni mchakato gani wanapitia kuwapata, natamani sana kama taifa tungewaiga. Kwenye jambo jema la ubunifu tuweke itikadi pembeni.
 
Kuna tetesi kwamba Membe ameanza mazoezi makali sana , eti ni kweli ?
Sina taarifa zozote mkuu;

Ninachokifahamu Membe bado ni mwana CCM.

Vipi huko , jamaa kakubali kuondoa kipengele kisichokua na ukomo kwa nafasi ya uwenyekiti?
 
Back
Top Bottom