Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,452
- 271,974
- Thread starter
- #41
Mungu ibariki Chadema
Tulia watu wakombolewe kifikra ili hizo T-shirt na kofia zenu ziwe madekioViwonder vya chadema!,badala ya kubuni miradi ya kuwaongezea mapato yakujiendesha na kukarabati vyoo vya ufipa wamekalia majungu na mikutano ya ajabuajabu aaaaghrrrrrrrrrrrh!
Mbona kama wanakwaya, Au wapo Kanisani?
Ombi lako limefikishwa meza kuu na litafanyiwa kazi .Kwa jiji zima kama la mbeya huwezi kufanyia kongamano katika kiroyal Kama tughimbe ni kidogo Sana japo naishi nyumba yakupanga ,kwa Mbalizi ni kweli inahadhi yake lakini ni padogo Sana angalau lingefanyika eneo Kama uwanja wa mahubiri ingekua ni nafasi kubwa kwa wananchi kuhudhuria kongamano Hilo mtawanyima nafasi na haki ya kimsingi kuwaunga mkono kwenye juhudi hizi
Naomba kuwasilisha
Ni kama hewa kamwe haizuiliki na ukijaribu sana kuizuia itakupasulia mbaliHiki chama sasa kimeshindikana , ukikibana huku utashangaa kiko upande ule !
Karibu sana mkuu .Mbona kama wanakwaya, Au wapo Kanisani?
Mkuu acha kuwashitua hao fisisiemu bado akili zao mgandoSi wana wachochea mnyukane? fisi ukitaka uwaulie mbali anza kuwatupia fupa wanauana na kujeruhiana kisha unakuja kumalizia kwa kufyekelea mbali
Mkuu pandisha hizi picha 2 kwenye post yako
Pole Inaonekana hili kongamano limekuuma kwel kweli... Tulia dawa iingie... Usikukuruke.. Nitamwaga njeViwonder vya chadema!,badala ya kubuni miradi ya kuwaongezea mapato yakujiendesha na kukarabati vyoo vya ufipa wamekalia majungu na mikutano ya ajabuajabu aaaaghrrrrrrrrrrrh!
tayariMkuu pandisha hizi picha 2 kwenye post yako
UmetumwaKwa jiji zima kama la mbeya huwezi kufanyia kongamano katika kiroyal Kama tughimbe ni kidogo Sana japo naishi nyumba yakupanga ,kwa Mbalizi ni kweli inahadhi yake lakini ni padogo Sana angalau lingefanyika eneo Kama uwanja wa mahubiri ingekua ni nafasi kubwa kwa wananchi kuhudhuria kongamano Hilo mtawanyima nafasi na haki ya kimsingi kuwaunga mkono kwenye juhudi hizi
Naomba kuwasilisha
Naona mnabalance vitabu vya ruzuku
Hapo hesabu zimekaa vizuri ; kuna ushahidi mpaka wa picha kama hivi.
karibu sana mjomba , tupo Royal Tughimbe hapa .Hapo hesabu zimekaa vizuri ; kuna ushahidi mpaka wa picha kama hivi.
Sawa mkuu nikipata nafasi nitafika...karibu sana mjomba , tupo Royal Tughimbe hapa .
Kuna tetesi kwamba Membe ameanza mazoezi makali sana , eti ni kweli ?Sawa mkuu nikipata nafasi nitafika...
Sina taarifa zozote mkuu;Kuna tetesi kwamba Membe ameanza mazoezi makali sana , eti ni kweli ?