Sera Mbadala: Chadema yatikisa Mbeya

Sera Mbadala: Chadema yatikisa Mbeya

Polisi hivi sasa wako busy kufikiria mbinu ya kuvuruga kongamano hilo! Masikio yao yako juu juu kama sungura!
Watakwambia hiyo wiki IGP atakua ameng'oa jino hivyo shughuli za kisiasa itabidi zisubiri kwa muda.
Tena jinsi walivyokua makini wameanza kwenye mkoa ambao mkuu wake ni mmoja wa mapompo
 
chadema kuna mambo ingewapaisha kisiasa km mauaji ya waliopigwa risasi huko kigoma upotevu wa 1trilion ambayo haijapelekwa bot.
 
Polisi hivi sasa wako busy kufikiria mbinu ya kuvuruga kongamano hilo! Masikio yao yako juu juu kama sungura!
Subpost 1 - Kongamano la - SeraMbadala  linaendelea jijini mbeya Muda huu..jpg
 
Kwa jiji zima kama la mbeya huwezi kufanyia kongamano katika kiroyal Kama tughimbe ni kidogo Sana japo naishi nyumba yakupanga ,kwa Mbalizi ni kweli inahadhi yake lakini ni padogo Sana angalau lingefanyika eneo Kama uwanja wa mahubiri ingekua ni nafasi kubwa kwa wananchi kuhudhuria kongamano Hilo mtawanyima nafasi na haki ya kimsingi kuwaunga mkono kwenye juhudi hizi
Naomba kuwasilisha
Mkuu huo uwanja mkubwa unataka jiwe atoe watu sadaka wasio na hatia? au wewe ni mgeni nchi hii?
 
Back
Top Bottom