Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,416
- 271,890
- Thread starter
- #21
Angalizo : Hotel zaanza kujaa , kama unahitaji kulala Mbeya mjini ili uwahi kongamano fanya booking mapema .
Kuna kitu hukijui kwenye sakata la Membe , wewe ni Great Thinker kweli ?Nimeshangazwa na wanachadema humu wako bize na Membe for 2020.
Wamejaribu hata kutuloga lakini imeshindikana !Chadema ni moja ya taasisi ya kisiasa imara sana inayoendeshwa kiueweredi sana
Makonda ndio yuko bize na hiyo tigo , si chadema , nadhani umesikia matamko yake .Na tigo ya Amber Ruttty
True !Mwlm Nyerere enzi za uhai wake alishawahi kusema "Chama cha upinzani hapa Tanzania ni Chadema peke yake"
Si wana wachochea mnyukane? fisi ukitaka uwaulie mbali anza kuwatupia fupa wanauana na kujeruhiana kisha unakuja kumalizia kwa kufyekelea mbaliNimeshangazwa na wanachadema humu wako bize na Membe for 2020.
huna ushahidi wowote , unajua Mashinji ndio kinara wa hizi sera mbadala ?Mashinji in katibu mkuu mzigo ndani ya chadema!
huna ushahidi wowote , unajua Mashinji ndio kinara wa hizi sera mbadala ?
Na ndio maana nikamuunga mkono Mwl Nyerere kwa vitendo, tunaziishi sera na maono ya CHADEMAMwlm Nyerere enzi za uhai wake alishawahi kusema "Chama cha upinzani hapa Tanzania ni Chadema peke yake"
Kabisa !Na ndio maana nikamuunga mkono Mwl Nyerere kwa vitendo, tunaziishi sera na maono ya CHADEMA
HIVI KWANINI KILA ANAYEWAZA KINYUME NA KICHAA//JIWE MNAMHUSISHA NA CHADEMANimeshangazwa na wanachadema humu wako bize na Membe for 2020.
Watakwambia hiyo wiki IGP atakua ameng'oa jino hivyo shughuli za kisiasa itabidi zisubiri kwa muda.Polisi hivi sasa wako busy kufikiria mbinu ya kuvuruga kongamano hilo! Masikio yao yako juu juu kama sungura!
Chadema iko kwenye akili ya Jiwe.HIVI KWANINI KILA ANAYEWAZA KINYUME NA KICHAA//JIWE MNAMHUSISHA NA CHADEMA
Polisi hivi sasa wako busy kufikiria mbinu ya kuvuruga kongamano hilo! Masikio yao yako juu juu kama sungura!
Mkuu huo uwanja mkubwa unataka jiwe atoe watu sadaka wasio na hatia? au wewe ni mgeni nchi hii?Kwa jiji zima kama la mbeya huwezi kufanyia kongamano katika kiroyal Kama tughimbe ni kidogo Sana japo naishi nyumba yakupanga ,kwa Mbalizi ni kweli inahadhi yake lakini ni padogo Sana angalau lingefanyika eneo Kama uwanja wa mahubiri ingekua ni nafasi kubwa kwa wananchi kuhudhuria kongamano Hilo mtawanyima nafasi na haki ya kimsingi kuwaunga mkono kwenye juhudi hizi
Naomba kuwasilisha
Chadema iko kwenye akili ya Jiwe.