Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,422
- 271,899
Habari ndio hiyo wakuu.
UPDATES :
....................
Mungu ibariki Chadema
UPDATES :
....................
Mungu ibariki Chadema
Washindwe. Kwa nguvu za munguPolisi hivi sasa wako busy kufikiria mbinu ya kuvuruga kongamano hilo! Masikio yao yako juu juu kama sungura!
royal tughimbe ya mafyat itakua....pale pana ukubwa fulanKwa jiji zima kama la mbeya huwezi kufanyia kongamano katika kiroyal Kama tughimbe ni kidogo Sana japo naishi nyumba yakupanga ,kwa Mbalizi ni kweli inahadhi yake lakini ni padogo Sana angalau lingefanyika eneo Kama uwanja wa mahubiri ingekua ni nafasi kubwa kwa wananchi kuhudhuria kongamano Hilo mtawanyima nafasi na haki ya kimsingi kuwaunga mkono kwenye juhudi hizi
Naomba kuwasilisha
Pumbavu chadema siyo chama cha wafanyabiashara ni chama cha siasa! Upo hapo dogo!Viwonder vya chadema!,badala ya kubuni miradi ya kuwaongezea mapato yakujiendesha na kukarabati vyoo vya ufipa wamekalia majungu na mikutano ya ajabuajabu aaaaghrrrrrrrrrrrh!
Hii video ndio ambayo nimeipenda Sana maana imenithibitishia kile ninachowaambia watu kuwa Hata Akiondoka Mbowe, bado chama kitakua strong. Tizama hii video
Inanimbia invalid, Nimejaribu Sana imeshindikanaIko wapi hiyo video.
OK nimekuelewa mkuu shukrani kwa kunijuza nikajua royal tughimbe ya Mbaliziroyal tughimbe ya mafyat itakua....pale pana ukubwa fulan
Na tigo ya Amber RutttyNimeshangazwa na wanachadema humu wako bize na Membe for 2020.