Sent from my blackbel, iphone s, galaxy, nokia asha..... Ni ushamba

Sent from my blackbel, iphone s, galaxy, nokia asha..... Ni ushamba

A VILLAGER

Member
Joined
Sep 29, 2012
Posts
27
Reaction score
6
Hatuhitaji kujua aina ya visimu mnavyotumia, ni ushamba mkubwa heti kwa kuwa unatumia simu ku google, basi unafikiri uko juuu saaaana! Lo! eti 'sent from my nokia asha, ...... sent from my blackbel' Hivi tangu simu zimeanza kutumika Tanzania nyie ndio kwanza mnaanza kutumia internet kweye simu ee? Acheni ulimbukeni huo!
 
Hatuhitaji kujua aina ya visimu mnavyotumia, ni ushamba mkubwa heti kwa kuwa unatumia simu ku google, basi unafikiri uko juuu saaaana! Lo! eti 'sent from my nokia asha, ...... sent from my blackbel' Hivi tangu simu zimeanza kutumika Tanzania nyie ndio kwanza mnaanza kutumia internet kweye simu ee? Acheni ulimbukeni huo!
inaonekana unakaa uswazi haswaa! sema ipi ni jinsia yako, yaelekea unapenda sana mipasho!
haya tujuze pia hapo kwenye red ndio nini hiyo!!!!?
 
Wewe kweli ndo Villager kama jina lako lilivyo! Karibu sana mjini, karibu sana katika ulimwengu wa digitali..

Utasonyajeeeeeee!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mara nyingine ni kukujulisha tu kwamba ukiona typos, mistakes, mtu kashindwa ku format etc, ni kwa sababu imetumwa kutoka katika simu ya kiganjani na sio kwenye computer ambapo mtu ana access na tools zote.

Mswahili akiona hivyo anaona unamringishia, wakati usipotoa disclosure hiyo atakulaumu unaandika na typos pia bila kujua kwamba unatumia simu!
 
zinajiandika zenyewe wewe ndo mshamba hujui hilo


sent from Nokia ya tochi
 
Una ushamba sana,kumbe hujawahi kutumia hizi Simu?hiyo msg zinaandika zenyewe!


Ni kweli lakini unaweza kutoa kama utataka!!Tukubaliane tu jamani kiroho safi kuwa tunapenda mauzo wabongo kwani uongo???
 
Nadhani hii thread mletaji ingekuwa vema
akaileta kama swali ili apate majibu ya kina

Jukwaa la Teknolojia huduma hizi zipo
sasa simu unayotumia unashauriwa
kama simu yako ina uwezo na unapenda
unaweza tumia.

Mimi natumia Smartphone GT S6102
Lakini huwa sipendi.
 
Hatuhitaji kujua aina ya visimu mnavyotumia, ni ushamba mkubwa heti kwa kuwa unatumia simu ku google, basi unafikiri uko juuu saaaana! Lo! eti 'sent from my nokia asha, ...... sent from my blackbel' Hivi tangu simu zimeanza kutumika Tanzania nyie ndio kwanza mnaanza kutumia internet kweye simu ee? Acheni ulimbukeni huo!

ndugu usijiaibishe.....ile msg ya SENT FROM MY BLACKBERRY....inakuja yenyewe........
 
Mkuu! Unaweza kuondoa pia. Naungana na mleta mada. Ni ushamba hasa ukiwa umekusudia.

Uondoe ili iwejee???

Kama simu yako haina unaweza kuandika tu mwenyewe .. Kwii kwiiiiii Kuwa mbunifuu bana.

Unaweza kuandika .. Sent from my nokia ya tochii blaaaaaa

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hatuhitaji kujua aina ya visimu mnavyotumia, ni ushamba mkubwa heti kwa kuwa unatumia simu ku google, basi unafikiri uko juuu saaaana! Lo! eti 'sent from my nokia asha, ...... sent from my blackbel' Hivi tangu simu zimeanza kutumika Tanzania nyie ndio kwanza mnaanza kutumia internet kweye simu ee? Acheni ulimbukeni huo!

Mkuu hapa utajiaibisha bure! Inaonekana kumbe hujui kwanini inaandikwa ivo. Kwa mfano katika app ya Mail in iphone, ukituma email, signature ya email huansikwa sent from my iphone. Haijawekwa na mts hiyo imewekwa na wazungu wenyewe. Jitoe ushamba kidogo, kuna baadhi ya App za simu ukitumia kama kutuma message, ama kupost chochote basi itaandikwa sent from "either app name or phone". Hata katika facebook ukiingia utakuta message inaandikwa sent from mobile, au chat..... Kwaiyo wacha ushamba huo. You need to learn.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom