USTAADHI
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 1,516
- 136
ujinga huu wa udini ulipoanzishwa na rais na washirika wake wengi tulijua kwamba madhara yake kwa baadae yatakua makubwa, ni jambo la ajabu kwamba chama kinachojiita tawala CCM baada ya kubanwa na Chadema kwa jinsi kilivyoshindwa kuongoza wakaona propaganda pekee ya kuwasaidia ni udini kule Mtwara mwenyekiti wa uwt SOPHIA SIMBA aliwambia watu kwamba Chadema ni chama cha wakristo sasa wanavuna walichopanda asante Mungu kwa kuwajibu hawa wanafiki kwa kile walichokitenda.