kahesabianeni misikitini na makanisani. Msitake serikali iwafanyie kazi yenu kwa gharama zake. Tafteni hoja nyingne ya kugomea sensa.
SENSA kwa maendeleo kama mwataka maendeleo hamna budi kuhesabiwa ili serikali iweze jua ina wananchi kiasi gani ili iweze kupanga mambi vizuri ni miaka 10 toka tumehesabiwa ili mipango ifanyike kuhesabiwa inatubidi mimi sipingi na hata familia yangu wako tayari kuhesabiwa
Polisi Watawaonyesha Watanzania kuwa Taifa lipo kwa kuwafundisha Adabu Waislam Wasio na Elimu hata ya Sensa. Mfano Mzuri ni KIGOMA,KILIMANJARO na TANGA. Masheikh Wapo Ndani Tayari
Tatizo lao Wameshajiwekea Akili za Kutoelimishwa..
1. Wasipohesabiwa hakuna Msaada wowote watapata hata kama kuna Njaa na Ukame maana Serikali haiwajui.. Hata kama watatumiwa Mahindi hayatatosha
2. Miradi ya Maji na kupeleka Dawa kwao hakuta kuwa na Misaada hiyo
3. Hakuna Shule ya Serikali itajengwa maana Hawana idadi ya Watoto Wanaosoma
4. Hakuna huduma za Bure zitatolewa kwa Wazee maana hawatapata idadi yao
5. Hakuna Kituo cha Watoto yatima ama Walemavu kitafunguliwa iwe kwa Serikali au Binafsi maana hawatajua idadi yao
6. Hakuna Uwekezaji wowote utafanywa maana Wawekezaji wanaangalia na Eneo husika kwa Kuangalia sensa ya Eneo hiyo kwanza
7. Hakuna Pembejeo za Kilimo zitapelekwa maana hawajui wakulima ni Wangapi
FUTENI UJINGA KWANZA. Maana sijasikia Sheikh akiwaambia haya. Ila Anawaambia tu Mgome.
YOU CAN TAKE IT or NOT
Yes its pay back time,
Matola siku zote unafki kwangu mwiko, mimi ni miongoni mwa watu tuliofurahishwa na ninaendelea kufurahishwa huku nikicheka meno yote 32 nje.
Kwanini nafurahi? ni kwa sababu kwa miaka nenda rudi CCM imeigeuza jamii ya Waislamu na hasa Bakwata kama chombo chao cha kufanikishia maslahi yao, na pale linapokuja swala la waislamu kuomba madai yao basi huishia kwenye ghiriba tu.
Twende taratibu:
Mahakama ya kadhi: Huu ni mkenge CCM waliingizwa na Augustine Mrema ambaye aliwaahidi Waislamu kama angeshinda Urais basi angerudisha Mahakama ya kadhi, nao CCM kwa sababu ni mabingwa wa kuiga bila hata ya kufikiri nao wakaingiza kwenye ilani yao swala hili na mbaya zaidi Rais ni Mwislamu lakini anashindwa kutimiza ahadi halali iliyomo ndani ya chama chake.
Igunga:
Baada ya CCM kuona maji yapo shingoni waliamuwa kununuwa Bakwata na kuendesha kampeni za kidini eti Chadema kisipigiwe kura na Waislamu kwa sababu kimedhalilisha Mwanamke wa Kiislamu anayedhini na Mkristo Fatuma Kimario.
CCM kana kwamba hakielewi madhara ya Propaganda hizi chafu imekuwa ni silaha yake kusema Cuf ni chama cha Waislamu na Chadema ni Chama cha Wakristo, ila tu wao ndio hawajajitambulisha bado je ni chama cha shetani?
Kwa uchache tu niseme hili swala la Waislamu kugomea Sensa mimi nawaunga mkono kwa 100% angalau labda linaweza kuwa fundisho la kufungamanisha dini na siasa, kama CCM isingekuwa inaendesha Propaganda za kidini haya yasingekuwepo ndio maana nasema Yes is pay back time.
Tukumbuke hata kule Congo kwa kuendekeza ujinga kama huu kanisa Katoliki nalo lilikuwa na waangalizi wake kwenye ule uchaguzi na mpaka leo Kanisa katoliki Congo halimtambui Joseph Kabila kama Rais halali, na kanisa linayo matokeo yake ya ule uchaguzi. huu ndio uppuzi ambao CCM wanataka kutufikisha.
Tujadili.[/QUO
Mzee hapo umenena, umeongea fact tupu. CCM wamekuwa wakiwatumia waislam kama mtaji, sasa wamewageuka. Waislam kazeni kamba, wamekula kura zenu siku nyingi kwa kushirikiana na BAKWATA
Ukitaka cha mtu sharti uliwe, Sasa ni zamu ya kuitafuna CCM. Mmeshatutumia vyakutosha tunadai nchi yetu na haki yetu kama Waislam. Tutaanza na la Sensa na tutayatimiza yote tunayotaka, rafiki wetu wakaribu tunae kama CCM.
1.Tunaanza na Sensa, ilikujua idadi yetu sisi Waislam na tukimaliza tunakuja na haya hapa
2. Kuirudisha mahakama ya Kadhi
3.Kujiunga na OIC
4. Kuitangaza Tanzania nchi ya Kiislam asiyetaka ahame, liwalo na liwe
5. Sharia Law
6. Wanawake kuvaa Hijabu, hutaki hama nchi
7. Kuwafukuza Wakiristu
8. Kurekebisha mfumo wa Elimu
Na mambo mengine yatafuatia taratibu, CCM tupeni Uhuru wetu, tumeshakusaidie sana na mmetutumia sana
Ukitaka cha mtu sharti uliwe, Sasa ni zamu ya kuitafuna CCM. Mmeshatutumia vyakutosha tunadai nchi yetu na haki yetu kama Waislam. Tutaanza na la Sensa na tutayatimiza yote tunayotaka, rafiki wetu wakaribu tunae kama CCM.
1.Tunaanza na Sensa, ilikujua idadi yetu sisi Waislam na tukimaliza tunakuja na haya hapa
2. Kuirudisha mahakama ya Kadhi
3.Kujiunga na OIC
4. Kuitangaza Tanzania nchi ya Kiislam asiyetaka ahame, liwalo na liwe
5. Sharia Law
6. Wanawake kuvaa Hijabu, hutaki hama nchi
7. Kuwafukuza Wakiristu
8. Kurekebisha mfumo wa Elimu
Na mambo mengine yatafuatia taratibu, CCM tupeni Uhuru wetu, tumeshakusaidie sana na mmetutumia sana
polisi watawaonyesha watanzania kuwa taifa lipo kwa kuwafundisha adabu waislam wasio na elimu hata ya sensa. Mfano mzuri ni kigoma,kilimanjaro na tanga. Masheikh wapo ndani tayari
Wewe ulieainisha madai yenu akiri yako ni kama ya mtoto wa miezi 6
Utakuwa chekechea wewe hujui hata kama kodi ya wananchi wote ndio inayotumika. Unadhani hizo billioni 141 zimetoka mfukoni mwa serikali? Kajipange before posting
utaanza wewe kuhama nchi na uislam lazma ufe tanzania ,usidanganywe na tende za bure toka urabuni