Mimi nimejipanga kutoa DATA za uongo! Na hawana namna ya ku-verify! RIP sensa!
Kwa hiyo kama UK wamehalalisha shoga, kuuleta hapa siyo tatizo?Prof Lwaitama jana alifunguka kwenye TV ya SEBUKA na kusema haoni tatizo kuwa na kipengele cha dini! Nimejaribu kuangalia mtandaoni nimeona hata nchi kama UK kipengele hicho kipo sasa najiuliza kwanini sisi tusiwe na hiyo kitu? au sisi ni binadamu special? au kuna jambo linafichika nyuma ya hili jambo la kutoweka dini kwenye dodoso la sensa?
Click hapa chini angalia kipengele number 10.
https://www.census.ac.uk/Documents/CensusForms/2001_England_Household.pdf
Kwa hiyo kama UK wamehalalisha shoga, kuuleta hapa siyo tatizo?
Kila nchi ina misingi yake. Waingereza wameweka hicho kigezo cha dini kwa malengo yao wenyewe.
Imagine Iran ingekuwa powerful kama USA. Nadhani dunia nzima tungekuwa tunaangalia Kibra...Nashukuru sana kwa mwenyezimungu, mataifa haya ya European Union, UK, USA, CANADA na JAPAN siyo mataifa ya Islamia Jamhuria otherwise tungenyanyaswa sana na lazima kungekuwa na kipengele ukitaka kuingia Marekani na kufanya kazi ni lazima uwe mwislamu ndio upewe Viza.
Kweli Mungu amesoma kabla ya wasomi wote, Uingereza Taifa la kikristo ambalo Anglicana ndio dini yao rasmi lakini Waislamu wana haki ya kununuwa majengo na kuyageuza misikiti haijarishi hata kama lilikuwa na Bar au kanisa, kumbe wao akili yao kwamba eti ndio wanauwa Ukristo!! huu ni zaidi ya uchizi.
Mpaka Kikwete anaondoka 2015, tutaona mengi.Jamani wadau hebu tushirikiane kufikiri katika hili. Mimi ni miongoni mwa makarani wa sensa hapa Dodoma kata ya K/NDENGE, jana nilipewa madodoso 40 na nikamaliza yote,....
JINSI ZOEZI LA SENSA LILIVYO POKELEWA KWA HISIA TOFAUTI
MWAKA HUU TUTAONA MENGI NA KUSIKIA MENGI
Jamani wadau hebu tushirikiane kufikiri katika hili. Mimi ni miongoni mwa makarani wa sensa hapa Dodoma kata ya K/NDENGE, jana nilipewa madodoso 40 na nikamaliza yote,......
Kwa hiyo Tanzania wameficha kuweka kipengele cha dini ili msichafue malengo yenu.
Prof Lwaitama jana alifunguka kwenye TV ya SEBUKA na kusema haoni tatizo kuwa na kipengele cha dini! Nimejaribu kuangalia mtandaoni nimeona hata nchi kama UK kipengele hicho kipo sasa najiuliza kwanini sisi tusiwe na hiyo kitu? au sisi ni binadamu special? au kuna jambo linafichika nyuma ya hili jambo la kutoweka dini kwenye dodoso la sensa?
Click hapa chini angalia kipengele number 10.
https://www.census.ac.uk/Documents/CensusForms/2001_England_Household.pdf
Kwa hiyo kama UK wamehalalisha shoga, kuuleta hapa siyo tatizo?
Kila nchi ina misingi yake. Waingereza wameweka hicho kigezo cha dini kwa malengo yao wenyewe.
Imagine Iran ingekuwa powerful kama USA. Nadhani dunia nzima tungekuwa tunaangalia Kibra...
Kipengele hicho serikali ya UK kinawasaidia kujuwa kasi ya magaidi wanaoingia na kuishi UK ili kuandaa strategy na kudhibiti magaidi.Una maana gani unaposema kila nchi ina misingi yake? je sensa ya mwanzo baada ya uhuru mbona kipengele cha dini kilikuwepo? tulifata msingi wa nani? na kwanini nyerere alikitoa kipengele hicho mwaka 77? au ndio ilikuwa kwa malengo maalum kama ulivyosema?