Nimekuelewa sana mkuu, mimi nilitaka tuwekane sawa kwanza tukiwa wawili baadae tutahanika adhalani what matters, mambo mengi mtu unayo jifunza vyuo vikuu vinakupa mwanga kitu gani kinaendelea under the hood hivyo ukipata changa moto unajua where to zero in - hasa hasa kama umepata bahati ya kusoma vyuo vikuu vya wenzetu ambao wakufunzi wao webgi wao wana uzoefu kutoka viwandani wanajua jinsi ya ku simulate faults ili upate hand on experience ya changa moto ambazo utakumbana nazo kwenye carrier yako siku za usoni - kumbuka systems zote zunazotumia teknolojia ya kiDigitali ni highly predictable uwezi kulinganisha na system za analogue ambazo zina ugumu wake katika masuala ya fault diagnosis, mwisho wa siku wenzetu wa Dunia ya kwanza wana msemo usemao "FIKIRI KWANZA IS THE MOST IMPORTANT THING" na hicho hakuna mtu anaweza kukufunfisha.
Sasa linapokuja suala la ku code application it doesn't matter unatumia code/language hipi, hizo zinakusaidia wewe kama binadamu lakini komputa haielewi chochote kuhusu lugha/code zunazo tumiwa na binadamu - ili komputa ielewe unachotaka/kisema ili ikifanyie kazi inabidi itumike compiler kutafisiri lugha za binadamu kwenda lugha ya namba za hexadecimal finally to binary basi hapo program counter ndani ya processor ina take over either counting up au down kutegemea na design ya microprocessor inadecode program nzina line by line serially ndiyo maana Von Neuman machines zinaitwa serial processor kama kuna subroutine kwenye program na hizo hazikosekani basi stack pointer inakuwa invoked processing last in first out, ikimaliza masuala yaliyomo kwenye stack pointer inarudi kwenye counter ya main program na kuendelea na kazi kila kitu kipo kwenye binary format ndiyo maana uwezi kwenda kwenye checker board ya machine code ukakuta sujui C++/Python/rubie/Pascal/Ada/Java/VisualBasic/COBOL/Fortran(kama inatumika siku hizi) na lugha nyingine lukuki and what have you.
Hapa nazungumzia kinacho jili kwenye pc machines na laptops,likini linapo kuja suala la machine hizo kuzungumza zenyewe kwa zenyewe chumba kimoja, kwenye compus nk hapo una hiari ya kutumia protocols za nawasiliano unazotaka kutegemea operating system inatumia zipi kwenye masuala ya nawasiliano ndani ya nchi au nje - zamani kila kumpuni ilikuwa inatumia protocols zake katika nasula ya mawasiliano/network mfano: Novell Netware walitumia IPX/SPX, McIntosh-AppleTalk, IBM (SNA), Microsoft non-routable NetBIEU, Xerox- Banyan VINES NIC na wengine baadae wote wakakubaliani watumie TCP/IP.
Nimejaribu kueleza kwa kiasi change wengine wanaweza kudhani nimekwenda off point-ninacho taka kuonyesha hapa ni kwamba ni vizuri mtu kuelewa kiundani kinacho endelea nyuma ya pazia including addressing modes zinazo tumika kwenye microprocessor zinazo kuwa nanufactured na different vendors nikiangalia tu siftware najua manufacturer ni yupi hata bila ya kuangalia hardware/processor yenyewe.
Nisije nakaeleweka vibaya I don't underrate umuhimu wa system na application softwares katika ku run komputa lakini watu wengi naona kama vile wanataka kuwatisha tisha wengine eti husipo elewa mambo ya ku code sijui application zipi basi wewe unakosa mengi au ufahi vile - hiyo si kweli - anybody mwenye nia ya kijifunza akichukua kitabu chochote cha masuala haya anaweza kuandika apps zozote Duniani ndani ya wiki moja - what counts ni nia na kujua kinacho endelea under the hood. THANKS.