Artificial intelligence
JF-Expert Member
- Jan 28, 2021
- 1,262
- 2,191
- Thread starter
- #21
Ndiyo ndugu, inabidi antena ziondolewe pia zikiachwa zinakaba kooni.Ahahahahaa na antena mkuu,umenikumbusha mbali sana kipindi tunachoma panzi wakubwa machungoni