Uongo wangu kwa siku ya Leo
1. Mimi ndio nimemtuma Mzee wa Magoma wa Yanga aende mahakamani ili tumuondoe Eng Hersi, alafu baadaye nichukue timu.
2. Vijana wa Gen Z Kenya nawalipa ili kisieleweke
3.Nitagombea Urais wa Tanzania 2025
4. Kuanzia leo siogi hadi Kmc awe bingwa NBC.
Sema na wewe