Hahahahahahahaaaa!
Mkuu yamekukuta nini?
Huyo dada kaja kuchukua hela ya pasaka halafu msela kibaruani wamezingua hadi j3.
kama umekolea lazima uwaze namna yakutatua tatizo hiloDoh! Na jamaa anamoyo kweli!
Maneno hayo ningeambiwa mimi, nisingeng'aang'aa sharubu hapo!
Ningekula uchochoro na kumeza kona mapema sana!
Hahahahahaaaa!
Hongera sana kiongozi!
Ukute jamaa kaambiwa kakope iba pora ila hela utanipa.
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Jamaa kambiwa kibamia hakinitoshelezi...
Hapo ningekumbuka wimbo flan wa banana zoro;[imba kwa sauti ya kulalamika.] kama ni mapenzi honeeey basi yameisha zamanii. Teh nikaibe ili nikuridhishe wewe?? Halafu nikifungwa au nikiuawa atakuridhisha nani??
Huyo dada kaja kuchukua hela ya pasaka halafu msela kibaruani wamezingua hadi j3.