Sema mwenyewe, wamefanyana nini hawa?

Sema mwenyewe, wamefanyana nini hawa?

Mashaxizo

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2013
Posts
6,707
Reaction score
3,359
polls_0602_angry_couple_li_0919_929573_answer_2_xlarge.jpeg
 
Ndo nimeishasema mie narudi kwetu kama huna hela ya kunilisha we mwanaume

Hahahahahaaaa!
Usikute jamaa keshapanga mtoko na nyumba ndogo halafu kajaribu kusaundisha kakataliwa hapo! Teh teh teh!
 
Jamaa kesha haribu!

Aandae pampers tu!!

Hahahahahaaaa!
Hapa leo naweza kukata mbavu zangu afu nishindwe kula pasaka! lol!
...
Haya niambie sasa.
Kaharibu nini hata aandae pampers?
 
Back
Top Bottom