Sema kimeumana

Sema kimeumana

Planett

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2014
Posts
10,570
Reaction score
16,358
Hivi hawa jamaa kwanini ukiwastukia wanajaa mapovu?
Screenshot_2023-04-05-18-07-51-25_a81d76fe6fecd8e2975b078797dca290.jpg
 
huyu wa pili aliniweza siku moja, nilivomtumia hiyo code account yangu ikaanza kusumbua
 
Kunq mmoja alinipolomoshea matusi baada ya kuniuloza una shilingi ngapi kwenye akaunti yako ya tigo pesa. Nikamwambia nina Bilioni 890 kwenyw TiGO pesa.
 
Back
Top Bottom