mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,843
- 8,232
Katika pitapita yangu nimeona hii tablet iitwayo Seltab Pc Tablet ikiuzwa katika maduka ya kampuni ya Sapna hapa dar kwa bei ya tsh 550,000.nimejaribu ku google haipo kwa hiyo specs zake nimeshindwa kuzijua sasa kama kuna mdau ambaye amenunua au anayo naomba aniambia specs zake,uzuri na ubaya wake ,inatumia android.