Selikali mmekopa Stanbic sasa wanatukomesha

Wakuu nimestishwa sana na tozo ya tsh 12000 kwa mwezi kwa ajili ya current account gharama ambayo imepanda kwa asilimia 1200 awali ilikuwa tsh 1000 sasa nauliza haya mabenki hayana mdhibiti? Au kwa kuwa mdhibiti wamemkopesha? Tozo hii ni kubwa mno aikubaliki

Kichwa na yaliyomo vitu kumi tofauti. Hoja yako ni ipi?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kichwa na yaliyomo vitu kumi tofauti. Hoja yako ni ipi?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
mkuu mbona jamaa kaeleweka vizuri tu watu 23 wameshamuelewa wanajadili mada wewe ndugu yangu unakichwa kigumu kiasi gani kutoelewa tozo ya 12000 kwa current account ni kubwa? na imeongezeka kwa asilimia1200?
 
Hawa Stanbic hata ukichukua mkopo kwao wanaongeza ongeza riba kila mwezi kisa eti inflation. Ni wezi sana, napigana nipate fungu fasta nikalipe deni lao kwa mkupuo nifunge na account kabisa.
 
Mimi karibu wiki nzima sasa, kila nikiamka asubuhi nakuta meseji kwenye simu yangu kutoka stanbic bank inayohusu makato kwenye akaunti yangu. So far wameshakata zaidi ya shilingi 20,000 ndani ya wiki moja. Kesho nawadamkia. Kama vipi na akaunti yenyewe nafunga.

Afterall Stanbic ni kama wamefilisika hivi, ndio maana hata mikopo wamesimamisha tangu mwaka jana.
Muda si mrefu tunaweza kusikia yaliyotokea Meridian Biao na Greenland Bank.

Tuwe makini na vijisent vyetu!

NBC, Stanbic, KCB....mhhh dead living. Hata Isalmic banking waliyoanzisha ni kama wanaongeza mitaji yao maana hawatoi riba, ila pesa yako wanaifanyia biashara.
 
Acha kudanganya Wananchi Stanbic Tanzania ni kampuni inayojitegemea TANZANIA kufanya biashara ya benki.Uhusiano wake na Standard Bank ni wa ukimiliki Tu.Biashara ikigomba Tanzania inakufa Stanbic TZ Tu.Mimi ntavyojua pesa za wateja pale sio salama ila wazungu wamesema Caveat Ampter(buyer be aware) na waswahili wanasema abiria chunga mzigo wako

STANBIC Bank Tanzania has been named the most customer-focused bank in Tanzania,
according to latest survey released by audit and advisory firm, KPMG. According to the Africa
Banking Industry Customers’ Satisfaction Survey that ranked 32 banks operating in Tanzania,
Stanbic Bank apart from becoming overall winner as most customer-focused bank among other
banks operating in Tanzania, it clinched top position in the aspects of Transaction Methods and
Systems, Products and services with 80.9 and 78.8 points respectively. The survey which was
conducted across 14 countries in Africa between June and December 2012, judged banks on
customer care, transaction methods and systems, pricing, products, services and convenience.
Commenting on the survey over the weekend at the Bank’s headquarters in Dar es Salaam,
Stanbic Bank Tanzania Head of Marketing and Corporate Affairs Abdallah Singano said his bank
is committed to offering tailor-made banking services to tap into the unbanked. “We are happy
to be ranked the most customer -focused bank in Tanzania. Our success can be partly attributed
to the bank’s strong knowledge of the local, leverage on technology and dedicated staff. “As a
bank, we are committed to investing in research so as to come up with more tailor-made
products in a bid to tap into the untapped banking industry potential. We are committed to
supporting our customers to become key players in transforming the country’s economic
landscape,” said Mr Singano. He added that the bank is in the process of repositioning itself to
becoming instrumental in the key economic development areas in the country and becoming a
bank of choices for profitable customers across all sectors. According to Bisi Lamikanra, KPMG
Africa Banking Project Team Leader, Africa’s banking sector in particular has benefited from the
rapid penetration of mobile technology in recent years across the continent. “Such technological
advancements are not just shaping how people interact with one another; they are also changing
the behaviour and expectation of bank customers who are increasingly becoming used to the
immediacy offered by technology,” she said. She said the survey results reveal the dominance of
branches and the Automated Teller Machine (ATM) over other channels in Africa. “However, the
feedback is clear that African banks have come a long way, but there is still much further to go
to meet the expectations of customers. “Banks in Africa will need to focus on maintaining their
financial stability while simultaneously sharpening their customer service capabilities if they
hope to capture and grow their markets,” she added. “Some of these banks have succeeded in
replicating the high service delivering performance established in their home countries and in
other markets they play in,” noted the report. The survey ranked five categories that included
customer care, Transaction methods and Systems (TMS), Pricing, Products and Service and
Convenience. Ends
3
source BUSINESS TIMES
 
Acha kudanganya Wananchi Stanbic Tanzania ni kampuni inayojitegemea TANZANIA kufanya biashara ya benki.Uhusiano wake na Standard Bank ni wa ukimiliki Tu.Biashara ikigomba Tanzania inakufa Stanbic TZ Tu.Mimi ntavyojua pesa za wateja pale sio salama ila wazungu wamesema Caveat Ampter(buyer be aware) na waswahili wanasema abiria chunga mzigo wako

Mbangaizaji Stanbic Bank (T) is one of the 4 biggest Bank in Tanzania and the most credit wealthy in the country
 
Mbangaizaji Stanbic Bank (T) is one of the 4 biggest Bank in Tanzania and the most credit wealthy in the country
Upcoming si ujibu hoja za Uzi haswa kuhusu malalamiko ya kuongezeka gharama,riba za mikopo zinavyopandishwa kiholela etc.Haya survey hayasaidii maana ni yanategemea uhusiano wa biashara.KPMG Ndo mkaguzi wa Standard Bank ss unategemea nn?Hata Lehman Brothers US ilikuwa no 2 investment bank na ikifa,Huduma Mbovu haijalishi rank unaweza Kuwa no 4 kutokana na kundi bovu la Huduma Mbovu na Za ujanjaujanja 2 sikilizeni malalamiko ya wateja sio kukalia kujisifia ranking Za kisanii
 
Gharama za ni 9,500 kwa T plus a/c na 12,000 for current na hii ni kutokana na gharama za uendezhaji huduma bora unayo ipata Stanbic Bank kuhusu riba stanbic hawajatoka kwenye range ya rate iliyotolewa na BOT na customer may be hakusoma repayment schedule miezi ya mwanzo ya repayment customer anaweza kuchajiwa rate ndogo kum encourage cauz turnover yake inaweza kuwa ndogo na after sometime bank ina assume turnover yake imepanda na rates zinaweza kuongezeka lkn vyote hivyo vinakuwepo kwenye terms and conditions kabla mteja haja sign contract
 
Mimi karibu wiki nzima sasa, kila nikiamka asubuhi nakuta meseji kwenye simu yangu kutoka stanbic bank inayohusu makato kwenye akaunti yangu. So far wameshakata zaidi ya shilingi 20,000 ndani ya wiki moja. Kesho nawadamkia. Kama vipi na akaunti yenyewe nafunga.

Afterall Stanbic ni kama wamefilisika hivi, ndio maana hata mikopo wamesimamisha tangu mwaka jana.
Muda si mrefu tunaweza kusikia yaliyotokea Meridian Biao na Greenland Bank.

Tuwe makini na vijisent vyetu!

Wapumbavu sana nahisi sasa hivi ni vizuri tukakaa na hela zetu majumbani au tuanze kukopesha kwa riba ndogo ili tutengeneze faida.
 
Stanbic Bank named ‘most customer -focused bank’ in Tanzania
Written by TIMES CORRESPONDENT
Friday, 28 June 2013 10:43
STANBIC Bank Tanzania has been named the most customer-focused bank in Tanzania,
according to latest survey released by audit and advisory firm, KPMG. According to the Africa
Banking Industry Customers’ Satisfaction Survey that ranked 32 banks operating in Tanzania,
Stanbic Bank apart from becoming overall winner as most customer-focused bank among other
banks operating in Tanzania, it clinched top position in the aspects of Transaction Methods and
Systems, Products and services with 80.9 and 78.8 points respectively. The survey which was
conducted across 14 countries in Africa between June and December 2012, judged banks on
customer care, transaction methods and systems, pricing, products, services and convenience.
Commenting on the survey over the weekend at the Bank’s headquarters in Dar es Salaam,
Stanbic Bank Tanzania Head of Marketing and Corporate Affairs Abdallah Singano said his bank
is committed to offering tailor-made banking services to tap into the unbanked. “We are happy
to be ranked the most customer -focused bank in Tanzania. Our success can be partly attributed
to the bank’s strong knowledge of the local, leverage on technology and dedicated staff. “As a
bank, we are committed to investing in research so as to come up with more tailor-made
products in a bid to tap into the untapped banking industry potential. We are committed to
supporting our customers to become key players in transforming the country’s economic
landscape,” said Mr Singano. He added that the bank is in the process of repositioning itself to
becoming instrumental in the key economic development areas in the country and becoming a
bank of choices for profitable customers across all sectors. According to Bisi Lamikanra, KPMG
Africa Banking Project Team Leader, Africa’s banking sector in particular has benefited from the
rapid penetration of mobile technology in recent years across the continent. “Such technological
advancements are not just shaping how people interact with one another; they are also changing
the behaviour and expectation of bank customers who are increasingly becoming used to the
immediacy offered by technology,” she said. She said the survey results reveal the dominance of
branches and the Automated Teller Machine (ATM) over other channels in Africa. “However, the
feedback is clear that African banks have come a long way, but there is still much further to go
to meet the expectations of customers. “Banks in Africa will need to focus on maintaining their
financial stability while simultaneously sharpening their customer service capabilities if they
hope to capture and grow their markets,” she added. “Some of these banks have succeeded in
replicating the high service delivering performance established in their home countries and in
other markets they play in,” noted the report. The survey ranked five categories that included
customer care, Transaction methods and Systems (TMS), Pricing, Products and Service and
Convenience. Ends
 
Gharama za ni 9,500 kwa T plus a/c na 12,000 for current na hii ni kutokana na gharama za uendezhaji huduma bora unayo ipata Stanbic Bank kuhusu riba stanbic hawajatoka kwenye range ya rate iliyotolewa na BOT na customer may be hakusoma repayment schedule miezi ya mwanzo ya repayment customer anaweza kuchajiwa rate ndogo kum encourage cauz turnover yake inaweza kuwa ndogo na after sometime bank ina assume turnover yake imepanda na rates zinaweza kuongezeka lkn vyote hivyo vinakuwepo kwenye terms and conditions kabla mteja haja sign contract
we upcoming mnafiki huduma gani wakati transaction mnakata kuuliza salio mnakata kila kitu mnatoza ni kipi mnachotoa bure baada ya kukwapua 12k zetu? majambazi wakubwa nyie
 
Katika Biashara ya ushindani hata kama unafuata rates elekezi kutoka BOT huwezi increase riba ya mkopo zaidi ya asilimia 5% bila kumpa taarifa mteja,inaumiza sana imenifanya nichukie mikopo
kabisa,

Makato yamekuwa mengi sana kwa mwezi hata rejesho la mkopo linakatwa zaidi ya mara mbili ili
hali account iko na kiasi ambacho rejesho linaweza katwa mara moja.

Mimi nimetoa akiba yangu yote na nitaendelea kufanya hivo daima,mwisho wake ni kufunga kabisa account yangu hapo.
 
Wakuu nimestishwa sana na tozo ya tsh 12000 kwa mwezi kwa ajili ya current account gharama ambayo imepanda kwa asilimia 1200 awali ilikuwa tsh 1000 sasa nauliza haya mabenki hayana mdhibiti? Au kwa kuwa mdhibiti wamemkopesha? Tozo hii ni kubwa mno aikubaliki

Current account ulikuwa unailipia buku kwa mwezi?...dah, rahisi sana! 12000 ni sawa tu bhana, current akaunti inatakiwa kuwa ya kibiashara bana, kama unataka urahisi funga fungua savings!
 
kuna jamaa alikopa Stanbic mil 25 , hadi mda huu amesepa nazo ajawahi kulipa hata senti au ndo wanafidia kwa kuwakata wengine
 
Stanbic kwa kweli mmezidi, si sehem moja hawa jamaa wanalalamikiwa, sehemu nyingi sana, badilikeni bwana.
 
Back
Top Bottom